Kashishi yetu
JF-Expert Member
- Mar 22, 2014
- 3,509
- 3,741
Kwahiyo mtoto WA kiume anastahili kupigwa kama unapiga Ngoma?Aibu sana unapiga mtoto wa kike kama unapiga ngoma.
Kuna vitot vimelelewa vibaya labda amemtukana mkuu wetu wa wilayaMitoto haina adabu, litakuwa lilikuwa na kosa la kinidham likamjibu kunya dc ndo akalishikisha adabu.
Huyo dc apandishwe cheo na kuwa rc
Hizi nafasi za wakuu wa wilaya siku hizi nikama hisani tu , hawaangalii utashiTomaso
Huyu DC alikuwa muigizaji wa Kaole na akina Muhogo Mchungu
Hapa huwezi kumuona Shaka wala Mashaka, hata Huyo Dorothy atapiga kama hakuna kilichotokea. Akisema chochote NIITE nimekaa pale.Kesho mapema asubuhi utamsikia Dr Dorothy Gwajima
Hpn mkuu tuwalee hawa watot zote kwa pamoja simalenga ni mzazi ana haki ya kumuadhibu mtot ili tusiwekr sheria na wanaharakatiMama Samia, muondoe huyo Simalenga, ame prove failure
Kwa hiyo kesi zote zinaamuliwa Kwa ushahidi wa video siku hizi?Leteni video akipigwa ngumi, nje na hapo ni porojo, acheni uchochezi
Ndio faida ya kuteuwa Viongozi wasio maadili na kulipana fadhilaa na watu wasiokomaaa kiakiliii .enzi za BENJAMIN MKAPA WENYE KUPEWA NAFASI NI WATU WALIOKAA UTUMISHI WA UMMA WENYE UZOEFU WA MDA MREFU
Siku izi okotaokota tuu ilimradi uwe na mwanachama wa CCM na uwe na domo kayaaaa
Siku huzi viongozi hata wakikutana kidimbwi...hko ndiko wanafanya mchakato wamchague naniNdio faida ya kuteuwa Viongozi wasio maadili na kulipana fadhilaa na watu wasiokomaaa kiakiliii .enzi za BENJAMIN MKAPA WENYE KUPEWA NAFASI NI WATU WALIOKAA UTUMISHI WA UMMA WENYE UZOEFU WA MDA MREFU
Siku izi okotaokota tuu ilimradi uwe na mwanachama wa CCM na uwe na domo kayaaaa
Labda alimtongoza bint akachomoaMama wa Binti anasema alimkuta mwanae kavimba shavu!!! Sasa hiyo bandaji yote hapo usoni ni uvimbe tu!? Ha ha haaa
Kuna jambo siyo la kawaida linatafutwa
Wanawaacha watu kama Pascal Mayalla wanaenda kuteua wahuni tuYaani leo
Hii okotaokota ni shidaTatizo lipo kwenye vetting!!
Unateua msanii bila kujali maadili aliyonayo kiuweledi unadhani ata deliver!!?
"Ccm tafuteni watumishi wa umma wenye maadili walioitumikia serikali walau kwa miaka walau sita na kuendelea na sio kuchukua watu mitaani kisa wanaonekana kwenye tv!!
Hata kama ni mlevi ndiyo ujichukulie sheria mkononi????Huyu siyo mwanafunzi. Ni mlevi fulani tu
Hii ni kampeni chafu tuu kutaka kumchafua DC wetu, Simon Simalenga ni mtu muadilifu sana!, itakuwa kuna upigaji anadhibii hapo Songwe, sasa wanamtafutia sababu kwa kumtungia story ya uongo!. Huyu binti sijui analipwa kiasi gani kutunga uongo huu!. Usikute hata hiyo bandeji kuubwa jichoni ni amefungiwa tuu nyumbani, usikute hajaripoti polisi, hana PF3, na bandeji ikitolewa hana jeraha lolote!.Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
Tatizo lipo kwenye vetting!!
Unateua msanii bila kujali maadili aliyonayo kiuweledi unadhani ata deliver!!?
"Ccm tafuteni watumishi wa umma wenye maadili walioitumikia serikali walau kwa miaka walau sita na kuendelea na sio kuchukua watu mitaani kisa
Mtuhumiwa adaiwa kufia Mahabusu ya polisi
Matukio ya raia kudaiwa kufa wakiwa mikononi mwa polisi yanazidi kusikika nchini na safari hii, mkazi wa Msaranga katika Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, Charles Owenya (50) anadaiwa kufariki dunia akiwa kituo cha polisi Majengo. Hili ni tukio la nne katika kipindi cha miaka minne cha...www.jamiiforums.com
Hajifanyi!, he is very serious, na intelligent.Jamaa linajifanyaga very serious, intelligent kumbe kichwani hamna kitu..