Mkuu wa Wilaya ya Songwe ampiga na kumjeruhi mwanafunzi wa kike

Mitoto haina adabu, litakuwa lilikuwa na kosa la kinidham likamjibu kunya dc ndo akalishikisha adabu.

Huyo dc apandishwe cheo na kuwa rc
Kuna vitot vimelelewa vibaya labda amemtukana mkuu wetu wa wilaya
 

Unaongea sana mkuu kwa issue ya upande mmoja. Na ndio changamoto ya Sisi watanzania: tunapenda sana kujudge kutokana na mauchungu yetu yaliyosababishwa na Sisi wenyewe na mazingira yetu tulipo. Kwanini kwanza usishangae libandeji lile then kaaa kimya kusubiri upande wa pili? Mshauri kwa simu binti aende polisi pia.
 
Huyu siyo kufukuzwa tu na mashtaka ya kujeruhi yamfuate.
 
Siku huzi viongozi hata wakikutana kidimbwi...hko ndiko wanafanya mchakato wamchague nani

Ova
 
Kwa maana nyingine raisi kampiga huyo binti.
Huyo DC si ndio mwakilishi wa raisi, akisemacho yeye ni kama kimesemwa na mkuu wa nchi.
 
Mama wa Binti anasema alimkuta mwanae kavimba shavu!!! Sasa hiyo bandaji yote hapo usoni ni uvimbe tu!? Ha ha haaa

Kuna jambo siyo la kawaida linatafutwa
Labda alimtongoza bint akachomoa

Vp huyo binti Ana mshepu au

Ova
 
Hii okotaokota ni shida
Maana kuna wengine wakishateuliwa
Kazi yao kupora wake na madem za watu

Ova
 
Mkuu wa Wilaya ya Songwe, Simon Simalenga amempiga na kumuumiza jicho mwanafunzi wa kike.
View attachment 2437142
Hii ni kampeni chafu tuu kutaka kumchafua DC wetu, Simon Simalenga ni mtu muadilifu sana!, itakuwa kuna upigaji anadhibii hapo Songwe, sasa wanamtafutia sababu kwa kumtungia story ya uongo!. Huyu binti sijui analipwa kiasi gani kutunga uongo huu!. Usikute hata hiyo bandeji kuubwa jichoni ni amefungiwa tuu nyumbani, usikute hajaripoti polisi, hana PF3, na bandeji ikitolewa hana jeraha lolote!.
DC Simon Simalenga, wewe endelea kupiga kazi na kazi iendelee, huku kutengenezewa movie kama ile ya Gwajima ni vitu vya kawaida sana!. Kwenye mabadiliko ya ma DC na Ma RC yanayofuata, huyu awe RC!.
P
 
 
 
Jamaa linajifanyaga very serious, intelligent kumbe kichwani hamna kitu..
Hajifanyi!, he is very serious, na intelligent.
Is there any proof ya tuhuma hizo from just a single source, no police report, no PF3, no taarifa ya dakitari!. Hii kitu haijakaa sawa!.
Kwa sisi tunaomjua Simon Simalenga, is a man of impacable intergrity, unless he was provocked and was acting under provocation!.
P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…