Mlango umefungwa hakujawahi kuwepo na safari ya mwezini

Mlango umefungwa hakujawahi kuwepo na safari ya mwezini

Mwaka 1969 Neil Armstrong binadamu wa kwanza kuweka mguu wake wa kushoto katika ardhi ya mwezi.Voyager 2 chombo kilochosafiri umbali mrefu zaidi hadi kutoka nje ya mfumo wa jua na kupiga selfie ya solar system baada ya kuwa safarini kwa zaidi ya miaka 40!
Binaadam wakwanza ni Yuri Gagarin mwanajeshi na pia mwana anga wa Russia. Rashia ndio nchi ya kwanza kupeleka viumbe mwezini kabla ya binaadam. Walipekeka mbwa hakurudi, second time mbwa wawili streka na belka kwa majina, akafata Yuri Gagarin na chombo aina ya Vostok. Kisha wakafatia Marekeani sasa na Apollo yao.
 
Achana na dunia sasa ambayo mimi ni mmoja wao.Mbele yako mimi ni Simba. Kwa kukosa hoja juu ya safari za mwezini umenywea kama mtoto wa kondoo.Dunia nzima imeliona hilo na wewe mwenyewe ukiona.
Upo poa lakini mkuu?
 
Ila kweli swala la kusafir angani kwa miaka 40 duh ...ilikua Ni chai kama chai za masuala ya aliens wAlivolisha watu ..
Mkuu hiyo miaka 40 umeitolea wapi nipe source ya hiyo habari ya miaka 40 kama israel wakitoka utumwani?
Tulipigwa sana. Kuna masheikh wenzangu nao walijitia kujua ikawa wanasimulia tukio hili kumbe sifuri kabisa .Na hapa baada ya mlango kufungwa bado kuna watu wanatetea uongo.
Alipokuwa raisi Clinton aliwahi kuulizwa kuhusu uelewa wake wa safari ya mwezini akajibu kistaarabu kuwa amesikia tu kuhusu safari hiyo lakini hana uhakika nayo.
Amna mkuu hatujakataa huenda ikawa kweli au siyo kweli. Ndo mana mimi kwenye reply yangu nikasema kuna contradictory points zilizotolewa na NASA walizitolea ufafanuzi. Ndo mana nikakwambia hivi usingekuja kulalamika KWA sababu mtu kama elon kaongea. Je alitoa sababu gani kwamba ilishindikana kipindi hiko? Mimi kuna contradictory points kama nne ambazo NASA waliulizwa na wakazijibu. sasa ulipaswa KWA mtazamo utuletee facts za kupinga na siyo kusema elon alisema japo vitabu vingi viliandikwa vikipinga na vingine vikisapoti. Kwahyo BADO tupo dilemma ni swala la kuelimishana KWA facts. Wewe kama wewe unasemaje haiwezekani halafu unatoa sababu kadhaa ILI nasisi tujifunze. Wote waliobisha walikuwa na sababu na zikajibiwa labda mimi ungenisaidia mkuu ipi sababu unaona haliwezekani?🙏
 
Je mkuu KWA akili ya kawaida mbwa angerudi vipi? Alikuwa na uwezo wa kuongoza vyombo vilivyombeba? Nisaidie boss wangu KWA hili nijifunze zaidi
Binaadam wakwanza ni Yuri Gagarin mwanajeshi na pia mwana anga wa Russia. Rashia ndio nchi ya kwanza kupeleka viumbe mwezini kabla ya binaadam. Walipekeka mbwa hakurudi, second time mbwa wawili streka na belka kwa majina, akafata Yuri Gagarin na chombo aina ya Vostok. Kisha wakafatia Marekeani sasa na Apollo yao.
 
Binaadam wakwanza ni Yuri Gagarin mwanajeshi na pia mwana anga wa Russia. Rashia ndio nchi ya kwanza kupeleka viumbe mwezini kabla ya binaadam. Walipekeka mbwa hakurudi, second time mbwa wawili streka na belka kwa majina, akafata Yuri Gagarin na chombo aina ya Vostok. Kisha wakafatia Marekeani sasa na Apollo yao.
Yuri Gagarin alikuwa binadamu wa kwanza kusafiri anga za mbali ambapo aliizinguka anga la dunia tu lakini hakufika mwezini.
 
Je mkuu KWA akili ya kawaida mbwa angerudi vipi? Alikuwa na uwezo wa kuongoza vyombo vilivyombeba? Nisaidie boss wangu KWA hili nijifun

Je mkuu KWA akili ya kawaida mbwa angerudi vipi? Alikuwa na uwezo wa kuongoza vyombo vilivyombeba? Nisaidie boss wangu KWA hili nijifunze zaidi
Kwa info zaidi Kuna kitabu nilikisoma kinachoongelea Safari za anga nimekisahau jina Ila kimeelezea vizuri. Ila second time wale mbwa 2 walirudi ndio akafatia kwenda Yuri Gagarin.
 
Kwa info zaidi Kuna kitabu nilikisoma kinachoongelea Safari za anga nimekisahau jina Ila kimeelezea vizuri. Ila second time wale mbwa 2 walirudi ndio akafatia kwenda Yuri Gagarin.
Nilitaka kufahamu mbwa alifanya vipi kurudi? Usinichoke boss najaribu kufikiria tu KWA ufinyu wangu mdogo je mbwa aliendesha chombo kwenda na kurudi? Au walikuwa wanamuendesha wao kum control najaribu tu kufirikia jinsi mbwa alivyoenda huko. Kama utojali Mkuu nielezee japo kidogo walisema nini kwenye kitabu kuhusu mbwa alivyofanikiwa kwenda na kurudi?
 
Bendera inapepea Kama iko Kawe Beach na wanasema kule upepo hakuna.... iliwezaje kupepea ..... 🤣
 
Bendera inapepea Kama iko Kawe Beach na wanasema kule upepo hakuna.... iliwezaje kupepea ..... 🤣
sasa hizi ndo point za kuongelea siyo kuchukua maneno ya ya mtu na kuja kutuletea, hii ni moja ya point iliyozua mjadala. WANASEMA ivi NASA ile bendera pale juu kuna horizontal rods KWA maana kuna fimbo mlalo zilizoshikilia kitambaa cha bendera na si kweli kwamba bendera inapepea nenda ukaichunguze tena picha utaona kuna kama fimbo imelala juu na chini kwenye bendera na siyo kitambaa kitupu
 
sasa hizi ndo point za kuongelea siyo kuchukua maneno ya ya mtu na kuja kutuletea, hii ni moja ya point iliyozua mjadala. WANASEMA ivi NASA ile bendera pale juu kuna horizontal rods KWA maana kuna fimbo mlalo zilizoshikilia kitambaa cha bendera na si kweli kwamba bendera inapepea nenda ukaichunguze tena picha utaona kuna kama fimbo imelala juu na chini kwenye bendera na siyo kitambaa kitupu
America walificha ukweli ila naona Sasa wanajificha wao ukweli ukitokeza mitaani🏅
 
Helios 2 chombo chenye kasi zaidi kuwahi kuundwa kikiwa na mwendokasi wa 252,800 km/h kiliundwa mahsusi kuchunguza mfumo wa jua.Voyager 2 kilifanikiwa kupita karibu kabisa na sayari ya Jupiter na kupiga picha, pamoja na picha ya dunia nje ya mfumo wa jua maarufu kama pale blue dot.Science never lie, Kama yote haya yamewezekana mpaka kutoka nje ya mfumo wa jua milions of kilometres, sembuse hapo mwezini iwe uongo?
Kwa maelezo yako ina maana hiki chombo(Helios 2) kinaweza kutumia masaa mawili tu kufika mwezini??
 
Ni kweli mkuu walipeleka mbwa akaenda na kurudi? Ndo wakafata wao?
Hapana si kweli.Soviet union walifanikiwa kumpeleka mbwa anayeitwa Laika katika space (sio mwezini) kwenye orbit na hakufanikiwa kurudi alifia hukohuko kwenye space.Lakini binadamu wa kwanza kukanyaga mwezi ni Neil Armstrong.
 
America walificha ukweli ila naona Sasa wanajificha wao ukweli ukitokeza mitaani🏅
Mimi sijakataa boss wangu japo walijibu vyote walivyoulizwa. Ndo mana huwa nasemaga kama una argue unatoa na sababu maana wao hakuna sababu ambayo hawajaeleza. Mtu akisema ukweli unakuja ndo inabidi aje na sababu ILI tumsikilze tujue wapi walidanganya swala la bendera ilikuwa haipepepi ila ilifungwa horizontal rods nenda kaangalie boss wangu ni tunajifunza wote tu huenda pia wanadanganya ILA wanaowashutumu BADO hawana ushahidi. Kama kuna mengine unaona tulipigwa sema ILI tuelimishane boss
 
Binaadam wakwanza ni Yuri Gagarin mwanajeshi na pia mwana anga wa Russia. Rashia ndio nchi ya kwanza kupeleka viumbe mwezini kabla ya binaadam. Walipekeka mbwa hakurudi, second time mbwa wawili streka na belka kwa majina, akafata Yuri Gagarin na chombo aina ya Vostok. Kisha wakafatia Marekeani sasa na Apollo yao.
Yuri hakukusudiwa kupelekwa mwezini.Ilikuwa ni majaribio tu ya kupeleka binadamu anga za mbali.Akafa katika jaribio lake la pili.Marekani baadae ndio wakajidai wamepeleka mtu kabisa lakini kwa sinema.
 
Kwa maelezo yako ina maana hiki chombo(Helios 2) kinaweza kutumia masaa mawili tu kufika mwezini??
Upo sahihi.Kumbuka hivi vyombo vimeumbwa mahsusi kwa masafa marefu na huwa havibebi viumbe pia kumbuka huko nje hakuna hewa hivyo hakuna friction na vyombo husafiri katika full capacity.
 
Hivi kwanini waislam inawauma sana kuhusu wamarekani kufika mwezini? Au kwa kuwa inaonesha uongo wa moody. Moody yani ni false prophet ata ufanyaje. Yani mambo yake kuna muda kama kweli vile ila inakataa.
 
Hivi kwanini waislam inawauma sana kuhusu wamarekani kufika mwezini? Au kwa kuwa inaonesha uongo wa moody. Moody yani ni false prophet ata ufanyaje. Yani mambo yake kuna muda kama kweli vile ila inakataa.
Wapi inakataa. Na si kweli kuwa waislamu inawauma watu kwenda mwezini.Muhimu waislamu hawapendi uongo wa aina yoyote ile.
Kama huelewi uislamu ndio umewaelekeza watu waende mbali kuliko mwezini kama wataweza.Hakuna dini nyengine yenye maelekezo kama hayo.Hata habari za mbingu na mgawanyo wa anga upo kwa waislamu pekee.
Zaidi ya hapo elimu ya anga ni fani tunayoweza kusema imechukuliwa kwa waislamu kama hujui iulize Urusi. Waislamu ndio waliokwisha kupiga hatua kwa mahesabu makali ya tanjent na cosine na mengine makali makali hata Amerika haijajulikana ipo wapi. Waislamu ndio waliotoa maelekezo kuwa upande ule lazima kuna watu wanakaa hiyo ni miaka mingi baada ya dunia kupiga hatua kubwa za kimaendeleo,
 
Wapi inakataa. Na si kweli kuwa waislamu inawauma watu kwenda mwezini.Muhimu waislamu hawapendi uongo wa aina yoyote ile.
Kama huelewi uislamu ndio umewaelekeza watu waende mbali kuliko mwezini kama wataweza.Hakuna dini nyengine yenye maelekezo kama hayo.Hata habari za mbingu na mgawanyo wa anga upo kwa waislamu pekee.
Zaidi ya hapo elimu ya anga ni fani tunayoweza kusema imechukuliwa kwa waislamu kama hujui iulize Urusi. Waislamu ndio waliokwisha kupiga hatua kwa mahesabu makali ya tanjent na cosine na mengine makali makali hata Amerika haijajulikana ipo wapi. Waislamu ndio waliotoa maelekezo kuwa upande ule lazima kuna watu wanakaa hiyo ni miaka mingi baada ya dunia kupiga hatua kubwa za kimaendeleo,
Na jua linazama kwenye tope jeusi au sio? Alafu hayo mahesabu yalikuwapo kabla ya uislam. 630AD juzi tu.
 
Na jua linazama kwenye tope jeusi au sio? Alafu hayo mahesabu yalikuwapo kabla ya uislam. 630AD juzi tu.
Unazungumza hoja za kitoto kabisa.Lete hilo tamko jua linatua kwenye matope kama hujafahamu maana utapewa.
Dini inayozungumzia habari za galaksi itakosea wapi kuzungumza habari za jua linaonekana duniani.
 
Back
Top Bottom