Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio unaweza kufunguliwa Kwa NJe Tena manuallyNaomba kuuliza kwa wenye uelewa. Hivi.mlango wa ndege u aweza kufunguliwa kwa nje?
Inategemea na aina ya ndege.Naomba kuuliza kwa wenye uelewa. Hivi mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje?
Kwa kawaida chombo chochote cha Moto kikizama majini kunakuwa na external pressure ya maji, ambayo inasababisha milango, madirisha yajilock.Mtu wa nje tu ndio atakfungua.Ndio unaweza kufunguliwa Kwa NJe Tena manually
Mlango uliofunguka ni ule wa nyuma haukuwa majiniMlango wa ndege kufunguliwa kwa nje,
tena kuvunjwa kwa kutumia kasia. Isitoshe ndege ilikuwa ndani ya maji.
Ni jinsi gani unaweza kupiga mlango mpaka ufunguke na ni ndani ya maji?
Mimi sikatai ila najaribu kuangalia ugumu uliopo.
Achana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo MkubwaNaomba kuuliza kwa wenye uelewa. Hivi mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje?
Najua milango ya dharula kwenye ndege, inakua pia nyuma karibu na mkia, Kwa majibu wa muhanga mmoja, andai, watu wa mbele, walifunikwa na maji ila pia alimuona mhudumu akihangaika kuufungua mlango wa dharula.Kwa kawaida chombo chochote cha Moto kikizama majini kunakuwa na external pressure ya maji,ambayo inasababisha milango ,madirisha yajilock.Mtu wa nje tu ndio atakfungua.
Nimejiuliza sana bila majibu. Nadhani wahudumu wa ndege walifanya jitihada za kufungua mlango ndipo shujaa Majaliwa akasaidia kuunasua ama kuuvuta kwa nje maana kwa jinsi ile ndege ilivyokuwa mlango usingefunguka vizuri wao wakiwa ndani.Naomba kuuliza kwa wenye uelewa. Hivi mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje? Wajuzi wa mambo ya ndege tafadhali.
Uliwaza kama mimiNaomba kuuliza kwa wenye uelewa. Hivi mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje? Wajuzi wa mambo ya ndege tafadhali.
Aliuvuta yy akiwa amesimama wapi pale??Nimejiuliza sana bila majibu.
Nadhani wahudumu wa ndege walifanya jitihada za kufungua mlango ndipo shujaa Majaliwa akasaidia kuunasua ama kuuvuta kwa nje maana kwa jinsi ile ndege ilivyokuwa mlango usingefunguka vizuri wao wakiwa ndani.
Atakuwa alikuwa amesimama kwenye boti lake. Mlango ukiwa umeshafunguliwa kwa ndani ni rahisi kuuvuta ufungukeAliuvuta yy akiwa amesimama wapi pale??
Milango yote ya ndege inafunguliwa kwa nje, lkn ikiwa tu waliofunga nao wako nje ya hiyo ndege. Mfano wakienda kulala ile ndege inaachwa milango wazi??, Jibu hapana, wanafunguaje wao, jibu kuna namna ya kufungua.
Kwa ishu ya dogo, pale tumepangwa, ndege ikifungwa milango yake, na wahusika wakiwa ndani yake ni ngumu kwa mtu wa nje na asiyejua lolote kuhusu ndege akaweza kufungua.