Mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje?

Mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje?

Achana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo Mkubwa

wewe umejuaje kulikuwa na giza mpaka ktk cockpit??
 
Achana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo Mkubwa
Akili ya kimaskini sana hii. Haitakusaidia kitu...
 
Achana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo Mkubwa
Ccm Wanasonya Na Kutema Mate Kando, Comment Chachu Kama Ndimu
 
msitumie kanuni hii kwa kubisha scenario ya dogo,kumbuka ndege ilikuwa imeanguka imevunjika mifumo mingi kama inavyoonekana haikuwa katika hali yake ya kawaida.

kama ingekuwa nzima ilikuwa ni uchizi hata kufikiria kuvunja tu achia mbali kuvunja na kasia,vioo vya ndege sio kama vya kabati la vyombo,ukizingatia ilikuwa ndani ya maji,hapo isingewezekana kabisa.

but tuzingatie ndege ilikuwa imecrash.
Milango ya ndege hutumia Mannually mzee. Tuliza kichwa hiko utagundua dogo ni fix tu
 
Achana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo Mkubwa
Mimi suala la dogo kuwa kafungua mlango haliniingii akilini maana ni ngumu kwa nje kufungua
 
Mlango wa ndege kufunguliwa kwa nje,
tena kuvunjwa kwa kutumia kasia. Isitoshe ndege ilikuwa ndani ya maji.

Ni jinsi gani unaweza kupiga mlango mpaka ufunguke na ni ndani ya maji?

Mimi sikatai ila najaribu kuangalia ugumu uliopo.
Pia liangalie la airhostess kuelekeza mlango ulipo wa dharura kisha kuufungua na bado ripoti inaeleza wahudumu wote wamepoteza maisha
 
Kuna manusura alisema mudumu ndie aliyefungua mlango, hapa inawezekana mhudumu alifungua kitasa na aliyekua nje alifungua mlango, kwa aliyekua ndani ni dhahiri mlango ulikua mzito kutokana na presha ya maji, na muda huo pia akili za waliokua ndani ni tofauti na waliokua nje.
 
Achana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo Mkubwa
Kwanza vumbi tu la udongo na maji yale ya Ziwani aliwezaje kuonana na Pilot? Ukizingatia tukio limetokea punde...
 
Mlango wa ndege kufunguliwa kwa nje,
tena kuvunjwa kwa kutumia kasia. Isitoshe ndege ilikuwa ndani ya maji.

Ni jinsi gani unaweza kupiga mlango mpaka ufunguke na ni ndani ya maji?

Mimi sikatai ila najaribu kuangalia ugumu uliopo.
Msikilize vizuri majaliwa na yule majeruhi wa kwanza kuhojiwa utapata labda kwa uchache tu nanukuu kutoka kwa majeruhi

Wakati ajali imetokea muhudumu mmoja wa ndege aliwahi mlangoni akijaribu kufungua mlango na baadae aliona watu wameanza kutoka ila hajui kama ni yule mhudumu alifungua au sio yeye maana huyo majeruhi alikuwa mbali na mlango na hajui kama aliwahi kutoka na yeye hivyo kwa maelezo hayo majaliwa inawezekana alifungua mlango ambao tayari ulikuwa unaelekea kufunguka ila kuuvuta ukiwa ndani ilikuwa shida ila yeye kupiga kasia ilikuwa rahisi kwake inawezekana lakini.
 
Back
Top Bottom