Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo Mkubwa
Akili ya kimaskini sana hii. Haitakusaidia kitu...Achana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo Mkubwa
Hakuwa na boti na hana botiAtakuwa alikuwa amesimama kwenye boti lake. Mlango ukiwa umeshafunguliwa kwa ndani ni rahisi kuuvuta ufunguke
Umewahi kupanda ndege?? Unaweza kuvunja mlango wa ndege kwa kutumia kipande cha mti??Dogo hakufungua mlango Bali alivunja!
Punguzeni kelele basi
Ccm Wanasonya Na Kutema Mate Kando, Comment Chachu Kama NdimuAchana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo Mkubwa
Milango ya ndege hutumia Mannually mzee. Tuliza kichwa hiko utagundua dogo ni fix tumsitumie kanuni hii kwa kubisha scenario ya dogo,kumbuka ndege ilikuwa imeanguka imevunjika mifumo mingi kama inavyoonekana haikuwa katika hali yake ya kawaida.
kama ingekuwa nzima ilikuwa ni uchizi hata kufikiria kuvunja tu achia mbali kuvunja na kasia,vioo vya ndege sio kama vya kabati la vyombo,ukizingatia ilikuwa ndani ya maji,hapo isingewezekana kabisa.
but tuzingatie ndege ilikuwa imecrash.
Mimi suala la dogo kuwa kafungua mlango haliniingii akilini maana ni ngumu kwa nje kufunguaAchana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo Mkubwa
Pia liangalie la airhostess kuelekeza mlango ulipo wa dharura kisha kuufungua na bado ripoti inaeleza wahudumu wote wamepoteza maishaMlango wa ndege kufunguliwa kwa nje,
tena kuvunjwa kwa kutumia kasia. Isitoshe ndege ilikuwa ndani ya maji.
Ni jinsi gani unaweza kupiga mlango mpaka ufunguke na ni ndani ya maji?
Mimi sikatai ila najaribu kuangalia ugumu uliopo.
Milango ya ndege inaweza kufunguliwa Kwa nje pia. Siku nenda hata airport uulize maswali utapata upeo kidogo.Mimi suala la dogo kuwa kafungua mlango haliniingii akilini maana ni ngumu kwa nje kufungua
Kwanza vumbi tu la udongo na maji yale ya Ziwani aliwezaje kuonana na Pilot? Ukizingatia tukio limetokea punde...Achana na Dogo Majaliwa ni muongo ni tapeli na sirikali ya sisiem imeamua kupotezea mambo ya msingi kwa kumtumia Majaliwa- mlango wa Ndege kafungua Mhudumu wa Ndege na pia kwenye Ndege kulikuwa Giza after crash (lkn dogo anakuambia aliwasiliana na pilot kwa ishara).... Dogo ni muongo Mkubwa
Msikilize vizuri majaliwa na yule majeruhi wa kwanza kuhojiwa utapata labda kwa uchache tu nanukuu kutoka kwa majeruhiMlango wa ndege kufunguliwa kwa nje,
tena kuvunjwa kwa kutumia kasia. Isitoshe ndege ilikuwa ndani ya maji.
Ni jinsi gani unaweza kupiga mlango mpaka ufunguke na ni ndani ya maji?
Mimi sikatai ila najaribu kuangalia ugumu uliopo.
Aisee sasa alifikaje kwenye ule mlango wa ndegeHakuwa na boti na hana boti