raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Dogo alivunja mlango 😳😆Dogo hakufungua mlango Bali alivunja!
Punguzeni kelele basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo alivunja mlango 😳😆Dogo hakufungua mlango Bali alivunja!
Punguzeni kelele basi
Imagine....Dogo hakufungua mlango Bali alivunja!
Punguzeni kelele basi
Hasa kwa shoka huo ni mlango wa dharuraNaomba kuuliza kwa wenye uelewa. Hivi mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje? Wajuzi wa mambo ya ndege tafadhali.
Airport mbali...Milango ya ndege inaweza kufunguliwa Kwa nje pia. Siku nenda hata airport uulize maswali utapata upeo kidogo.
Na amalize Kozi yake ya uokoaji.Ungeacha majaliwa apokee hela zake zote kwanza
Wahudumu wawili wamepona na ndio waliofungua milangoPia liangalie la airhostess kuelekeza mlango ulipo wa dharura kisha kuufungua na bado ripoti inaeleza wahudumu wote wamepoteza maisha
Emergency aliufunguaje? Umewahi kupanda ndege?? Ndege za abiria zote huwezi fungua mlango zikiwa angani, yaan ndege zote unazoona ww duniani, ni ndege za Jeshi tu ndio zimeundwa uwezo wa kufungua mlango ingali mko angani.Ukweli ni kuwa ruban aliufungua mlango wa emergency thus why dogo ilikuwa easy kuufungua
😂😂🤣🤣 nimecheka hadi nimetema chakula kha!Nikampungia mkono wa baibai kisha akasema kwaheri ya kuonana
Mkuu maana yangu umeielewa kweli , nimesema mlango wa emergency ulifunguliwa na ruban , inaweza kuwa sio ruban akawa mhudumu wa ndege ,nachomanisha ninkuwa umefunguliwa Kwa ndani , pengine dogo hakujua hlo...sasa naona umenishukia kama mweweEmergency aliufunguaje? Umewahi kupanda ndege?? Ndege za abiria zote huwezi fungua mlango zikiwa angani, yaan ndege zote unazoona ww duniani, ni ndege za Jeshi tu ndio zimeundwa uwezo wa kufungua mlango ingali mko angani.
Mlango wamefungua wahudumu wa kwenye ndege, ukimsikia yule jamaa na dada walionusurika wote wamesema wahudumu ndio waliofungua milango.
Acha bangi wewe, wahudumu wawili kila mmoja akifungu mlango wake ili abiria watoke mule ndani, abiria wametoka nje na hakukuwa na mtu yeyote wala boti au mtumbwi wowote, wakawa wanaogopa kujirusha kwenye maji ndio watu wakaja na mitumbwi yao.Kumbe story, mnaweza kuisikiliza wote, ila huyu akaelewa hivi na huyu hivi, mimi nilivyo muelewa, yule manusura hakujiokoa kupitia mlango wa dharula uliokua unafunguliwa na muhumu.
Maelezo ya yule manusura, ni kuwa, alimuona muhudumu wa ndege, akihangaika kufungua mlango wa dharula, ila hujui kama alifanikiwa, kwa maalezo haya, kuwa yeye hakupitia mlango, uliokua ukifunguliwa na muhudumu.
Ila hata kama ndivyo ilivyokuwa bado Dogo anabaki na credit.Kweli unachosema mkuu yule majeruhi wa kwanza kuhojiwa ukimsikiliza mpaka mwisho na ukirudi kumsikiliza majaliwa unaona kabisa mlango ulifunguliwa na watu wa ndani majaliwa aliwakuta katika harakati hizo na yeye akahesabika kafungua.
Hahahaha dogo Sanaa Sana aisee[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787] nimecheka hadi nimetema chakula kha!
We ni kichaa, aliyekuambia kuwa milango ya nyuma ilikuwa kwenye maji ni nani? We ni mwehu na hujui lolote, abiria wote wametokea milango ya nyuma na haikugusa maji.wewe ndio utulize kichwa,unadhani ni jambo jepesi mtu kufungua mlango wa ndege ndani ya maji bila msaada kutoka nje???
Umemtaja rubani, ndio maana nimekushukia kama mwewe, sema Mhudumu.Mkuu maana yangu umeielewa kweli , nimesema mlango wa emergency ulifunguliwa na ruban , inaweza kuwa sio ruban akawa mhudumu wa ndege ,nachomanisha ninkuwa umefunguliwa Kwa ndani , pengine dogo hakujua hlo...sasa naona umenishukia kama mwewe
Mlango wa ndege kama huna uelewa huwezi kufungua hata uwe ndani, kama hujapanda Ndege huwezi nielewa hapa.Hili ni suala la kutumia common sense tu.
Iweje Chombo kinachobeba Abiria kukosa option ya kufungu mlango kwa nje?.
Unafunguka kwa nje ila siyo kwa kuupiga, ipo handle yakeMlango wa ndege kufunguliwa kwa nje,
tena kuvunjwa kwa kutumia kasia. Isitoshe ndege ilikuwa ndani ya maji.
Ni jinsi gani unaweza kupiga mlango mpaka ufunguke na ni ndani ya maji?
Mimi sikatai ila najaribu kuangalia ugumu uliopo.