Mlango wa ndege unaweza kufunguliwa kwa nje?

Tatizo watanzania wengi ni wajinga na wanadandia mambo kwa mbele.

Hakuna sentensi yeyote aliyotamkwa na Majaliwa kwamba alifungua mlango. Isipokuwa nasema alifika akakuta mlango haufunguki umejirock. Alipiga kasia lake kwa nje na mlango ukaweza kufunguliwa kwa ndani.

Tafuteni clip ya Majaliwa msikilize upya.

Wapotoshaji wakubwa ni wale wanasiasa walioshindwa kutimiza majukumu yao kwa wakati katika uokozi wanatafuta pa kujificha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…