4by94
JF-Expert Member
- Oct 1, 2019
- 9,214
- 8,306
sasa hao 26 uliwaokoa wewe ? wabongo ni watu wa ajab sana wakimilik smartphone na ukichaa unaanzia hapoPia liangalie la airhostess kuelekeza mlango ulipo wa dharura kisha kuufungua na bado ripoti inaeleza wahudumu wote wamepoteza maisha