Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani MAKOLO na ukoo wao wote wamekuelewaAcha hizo neno mzungu siyo racist ni utani. Hicho kipengele cha racism hujakielewa vizuri. Fatilia jokes na racism. Jokes lengo ni kufurahi. Racism ni kuchukiza kwa kuonesha upendeleo, unyanyasaji au unyonyaji.
Fatilia vizuri mkuu.
Ahahaaaa...! Watakuua mikia weweMdhungu akipiga tizi kwenye daraja la pale TAZARA mbalizi.....mbeya[emoji23][emoji23]View attachment 2324622
Mikia maneno mseme nyie,wakisema wengine tayari ubaguzi. Mashabiki wa Yanga ni wastaraabu sana,ila nyie mikia mnapanic sana. Wenzenu wanatulia tuli mkitania kenge nyie.Hii sio sawa kabisa!
Mimi sio mshabiki wa simba hata kidogo ila huu uzi ni wa KIBAGUZI!
Kila siku tunalaani ubaguzi kwenye soka Ulaya sasa tusilete huku nyumbani kivingine
ungesema wachezaji wa simba angalau ila sio kumlenga mtu moja kwa moja kama una bifu naye!!!
MAKOLo hawajui wanatafuta niniMikia maneno mseme nyie,wakisema wengine tayari ubaguzi. Mashabiki wa Yanga ni wastaraabu sana,ila nyie mikia mnapanic sana. Wenzenu wanatulia tuli mkitania kenge nyie.
Mfano mzuri ni wa Manara. Alivyokuwa mikiani aliwaponda Yanga mno,lakini mashabiki wa Yanga walitulia. Manara amehamia Yanga ndipo alipoonja joto ya jiwe. Wengi huko mikiani mmemwita majina ya kufedhehesha sana. Mmemwita mpaka kwa majina ya ulemavu wake kwa waziwazi. Sasa upi uko sawa kumwita Manara vile alivyo kwa kumdhalilisha,na huu utani mlete mzungu?
Lazma tumpe umaarufu mzunguuuuuu [emoji23][emoji23]Mzee baba uzi wako hauna wachangiaji umeamu kuusubscribe mwenyewe yani kama vile unajitekenya mwenyewe. Nimeona upo tuu nikasema niangalie kuna jipyaaa kumbe ni ww mwenyewe unausongesha duuu kumbe watu mnapenda umaarufu hahahaaa
We sokwe nyani acha kumuongelea au hujawahi kuona wazunguLazma tumpe umaarufu mzunguuuuuu [emoji23][emoji23]
Na kafunga leo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kocha anamkataa Akpan.....Lkn ana mu appreciate mdhunguuu???? [emoji23][emoji23][emoji23]
Waache wivu wa kimamaMAKOLo ....wanataka upigwe ban ya maisha[emoji23][emoji23][emoji23]
Hamuwezi kukosa cha kusemaNyota njema huonekana asubuhi......
I think wote tumeona asubuh ya mdhunguuu [emoji23][emoji23].....ni very poor