Hahaha vizur Sana mkuu
Kuna wakati huwa tunakaa na kujadili jinsi tulivyo kutana, na kisha ananikumbusha jinsi alivyokua ananichukulia baada ya kugundua nami ni member mtiifu wa Jf.....hahahaaa..... Hakika ananikumbushaga mengi sana hadi jinsi nilivyo mtukutu humu jamvini...teh!!!Hahahaaaaa
Wow!, hiyo aya ya mwisho nimeipenda, nami nawatakia kila rakheri, Mungu akulindie baby hakikaShe is my neighbor "a little far from home"
Nilimfundisha hesabu alipo kua form 2 hapo mimi nimemaliza form 4.
Kamaliza form 6 tukaanza ku date rasmi till now.
Mama Zetu ni marafiki sana toka kitambo
Nakumbuka siku moja Mama aliwahi nitamkia "ingekua ni zile Zama zetu za kuchaguliwa mke ningependa uje uoe kwa flani 'kwao uyo binti', ila mwanangu najua wakati bado ila Muangalie binti wa kwa flani napendezwa nae hata ukianza nae urafiki sio mbaya miaka minne mi tano sio mbali " .
Kimoyoni nikajisemea mother ungejua.
Ila sasa nahis Mama anafaham japo hana uwakika.
Kati ya wanaume wenye binti mrembo basi nami ni mmoja wapo, she is beautiful very beautiful she is smart too.
Mungu mlinde mrembo wangu.
huyo jamaa kwenye profileBarabarani
Hahaha muite
Mambo trouble maker!@financial services
Mambo trouble maker!
Kwenye basi la super feo
Liendalo songea au wap?
Mwenza shikamoo!
Tulikutana Kwenuwewe na mpenzi wako katika kuanzisha mahusiano yenu ya kimapenzai, je at the first day mlimeet mahala gani?
Mkuu tumefanana mbona??Kwenye basi la super feo
Mkuu tumefanana mbona??