Mlikutana wapi wewe na mke/mume au mpenzi wako?

Nilikutana nae mianzini Arusha saa 11 asubuhi nikiwa nawahi stand ya bus kuja dar.
Alikua anaonekana ana ogopa kwasababu muda huo kulikua bado kuna kagiza kiasi, nikamsalimia then nikamtoa wasiwasi kwa kumwambia mimi ni abiria naelekea stand.

Akaniambia na yeye pia anaelekea stand awahi bus la mghamba aende mwanza.

Tulienda huku tunapiga story za hapa na pale, tulivyofika stand akataka kununua mfuko mkubwa ili aweke begi lake lisichafuke na vumbi, akampa muuzaji elfu kumi bahati nzuri au mbaya muuzaji hakua na change ikabidi nimlipie na kumsaidia kuliweka begi lake kwenye mfuko.

Baada ya hapo nikamuaga kwa kumuomba namba ili tuwasiliane akiwa njiani na yeye bila hiyana akanipatia.

Ila siku hiyo nilitamani nibadili route ya dar niende mwanza kwa jinsi mtoto alivyokua anashawishi
 
Kitaa kimoja,enzi hizo nawakaza wadada anaona
Anakazwa na wahuni naona,lakini ndo nshaoa "and all the past experiences had been dropped out"
Saivi twaishi kwa amani na furaha tele and we thank God for everything
 
Kitaa kimoja,enzi hizo nawakaza wadada anaona
Anakazwa na wahuni naona,lakini ndo nshaoa "and all the past experiences had been dropped out"
Saivi twaishi kwa amani na furaha tele and we thank God for everything
Hongera mkuu
 
Hahahaha ungebadili to route mzee baba
 
wewe na mpenzi wako katika kuanzisha mahusiano yenu ya kimapenzai, je at the first day mlimeet mahala gani?
Na ambao hatuna na hatujawahi kuwa na wapenzi tunaruhusiwa kucomment kwenye hii thread?[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Wewe ni Nikki wa pili?

[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…