Lovie Lady
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,826
- 4,652
๐๐๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐๐๐
dah, naomba niku PM๐๐๐
asalamaleko ndugu mwandishi.. tumekupata utokeapo ๐Nililetewa kutoka bush hukoo nikiwa chuo ,wanandugu walidai ukoo wetu mdogo so nifyatue tuu ili kukuza ukoo.Asalamaleko Tanzania.
๐๐dah, naomba niku PM
๐๐๐๐๐Nilimkuta nje ya duka lao anachambua matembele. Nikaacha kilicho nipeleka, nikaanza kumsaidia.
Kupiga piga story za kanisani kwao. Nikamuuliza kama wana group la vijana nikampa namba aniunge.
Cha ajabu group sikuungwa ikawa mwendo wa kuchart tu me nayeye.
Tumekuja shtuka tunaitana babe. Na ghetto anakuja kufanya usafi.๐๐๐
Mkuu ulielewa nilichoandika?mimba ilikua yako?
๐๐ ๐primary skuli tulipangwa dawati moja enzi hizo
mkuu ๐Kwa sangoma yeye alikua ndo nurse wa Sangoma katika kunitibu tibu ndo tukaanza hapo
Asee nimecheka kama fara xa marehem ndo ulikutana nae aumarehemu....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa sangoma yeye alikua ndo nurse wa Sangoma katika kunitibu tibu ndo tukaanza hapo
Asee nimecheka kama fara xa marehem ndo ulikutana nae au
Ahahahaaa haya bhn itakuwa alikuwa hajaelewaHahah...
We huoni hapo jamaa wa mwanzo kaandika kwamba alikutana na mpenzi wake msibani...
Sasa mleta mada anauliza swali la kizembe kwamba, huko msibani huyo mpenzi wa mshikaji alikuwa mfiwa?
Sasa swali gani hilo wakati msibani huwa kuna watu wa aina mbili mfiwa na marehemu...
Kwa Nini Sasa aliacha kazi[emoji23][emoji23][emoji23] Wa kwangu alikuwa traffic. Tulikutana barabarani. Alinitandika faini bhana, hata 10k ya rushwa niliyomtupia chini aliikataa
Aliniporomoshea matusi ya hapa na pale, muda huo mbupu zote zimelowa huku nikijaribu kujitetea. Nilitia huruma hakuna kilichosaidia. (Sintosahau)
Nilimuwinda kwa kila namna ili nimpate nimchakate mbususu ili machungu yaishe. Kesho yake nilijipitisha tena, hiyo siku alikuwa na ofisa Nkai wakiwa sare. Yule jamaa akanitupia matusi ya nguvu ila nilimpoza 5k akafunga bakuri lake
Sikuishia hapo. Nilipita tena na tena bila ya kurekebisha tatizo. Ilifika hatua huyo binti akaanza kunizoea mpaka pale aliponiachia namba zake za simu
Wiki 2 baadae nilimchakata mbususu nikiwa nimepaka mkongo kabisa. Ilihali nilimkanyaga usiku mzima, vilio na huruma aliyonionesha ilinifanya kuingiwa na majonzi. Kwa kuwa sikuwa tayari nimekwisha mpasua spika, ilinibidi nimsave kwenye software yangu ya huu mbichwa
Kwa sasa tuna mtoto mmoja, keshaacha utrafiki. Kwa sasa yuko na business yake ya saloon kubwa tu pale Mwenge
Niwatakie mihangaiko myema[emoji23]