Kwani wewe ndio uliyemuambukiza hiyo corona au wewe ni nani hadi ndio tukubali ulichosema kuwa ndio kweli?Wewe ndiye ulimchanja?
Dua za kuiondoa ccm chanzo cha matatizo yote mbona hajawahi kujibu? Unaweza kueleza kwanini?Mungu mkuu akatumalizia yale matesi. Tukamuomba Mungu naye akatusikia. Mungu wetu ni mwaminifu.
Wakati ccm wanavuruga huo mchakato wa katiba mpya rais alikuwa ni Kikwete,na ipo wazi kuwa ccm hawataki katiba mpya sasa hapo Dikteta unambebesha tu lawama. Samia mwenyewe anasema kelele za katiba mpya ni za mitandaoni tu.Kwa udikteta na ushenzi ule unafikiri hilo lengo lingefikiwa? Huwezi kuangusha mbuyu kama unakata mgomba.
Wewe unanipangia cha kumuomba Mungu.?? Mm so chadema, cuf wala ccm mm ni mtanzania sawa. Sina chama. Hatujuani hivyo tusielezeane ambayo hatujuani.Dua za kuiondoa ccm chanzo cha matatizo yote mbona hajawahi kujibu? Unaweza kueleza kwanini?
Kwani huyo uliyemuomba ni wa peke yako tuseme kwamba ni wewe tu ukimuomba ndio anakujibu ila wale wakimuomba hajibu? Acheni kumuhusisha Mungu kwa mambo yenu ya kipuuzi, hapo ulipo si ajabu una matatizo hadi kwenye nyayo ila hujamuomba Mungu akaziondoa halafu et ukamuombe Mungu amuondoe mtu duniani!Wewe unanipangia cha kumuomba Mungu.?? Mm so chadema, cuf wala ccm mm ni mtanzania sawa. Sina chama. Hatujuani hivyo tusielezeane ambayo hatujuani.
Ndo Mungu katupa ahueni maana tulitesekaKwani huyo uliyemuomba ni wa peke yako tuseme kwamba ni wewe tu ukimuomba ndio anakujibu ila wale wakimuomba hajibu? Acheni kumuhusisha Mungu kwa mambo yenu ya kipuuzi, hapo ulipo si ajabu una matatizo hadi kwenye nyayo ila hujamuomba Mungu akaziondoa halafu et ukamuombe Mungu amuondoe mtu duniani!
Miaka yote ccm imekuwa ikilaaniwa na kuombewa iondoke na huko ccm ndipo alipotoka Magufuli na kama atatokea Magufuli mwengine basi atatokea huko huko ccm maana ndio kajimilikisha nchi, ila hadi leo dua hazijibiwi wala laana haziwafikii sasa wewe umeona mtu kafariki unakuja na upuuzi wa kwamba et ulimuomba Mungu.
Nyie mlikuwa mnatoa wapi pesa kama sio pesa za mabeberu hizo kutoka uingereza? Hatutaki puppets, hata huyu aliyevagaa uRais sina imani nae kwa waarabuAnaandika Boniface Jacob ambaye alikuwa Meya wa Ubungo na Mjumbe wa Kamati Kuu Chadema, aisee inaonekana wafanyabishara wote wa ndani na wa kigeni walikuwa wakimuogopa Magufuli isipokuwa mmiliki wa Mlimani City kama anavyoandika Boniface Jacob hapa
================
ZAMA ZILE ZA GIZA kumbi nyingi sana Dar es Salaam ziligoma Kupokea Pesa za Chadema Kwa ajili ya Kukodi Kumbi za Kufanyia mikutano ya Kamati kuu 2016 Kuelekea Operation Ukuta Giraffe Hotel wao Katikati ya Kikao Walifuatwa na Magari ya Polisi, Wakaturudishia pesa zetu tuondoke
Basi tukavunja Kikao wakiwa wameshapika Chakula cha Wajumbe na Break fast, Ila wakarudisha pesa zote Tiffany Diamond, Wao Siku ya Kikao cha Kamati kuu,Waligoma Kufungua Ukumbi Kufuatia Vitisho walivyo pokea kutoka Serikalini, Wakaturudishia pesa zetu, tukatafuta Kumbi Nyingine
2017 Double Tree Hotel wao Walipokea pesa za Chadema Kwa ajili ya Kikao cha Kamati Kuu Siku 3 ila Baada tuh ya Kikao cha Siku ya Kwanza Kesho yake wakaomba tusi rudi tena pale Hotelini Kwao
Kufuatia Vitisho walivyopokea kutoka Serikalini
Siku Moja Week end baada ya Vikao pia tukaenda Hotel Moja Masaki Kupumzika na Kupata Chakula na Kinywaji Wao Wahudumu Walikatazwa kabisa Kuja kutusikiliza Mezani Kwetu,Tulipo kuwa wakali Meneja alituambia Maboss zake Wahindi Wametuona tukiwa tunaingia Wameogopa sana Ukaondoka
Wamiliki wa Kumbi moja tuh ya Mlimani City hadi Leo hatujui kwanini Walikuwa wanajiamini sana Mara zote Walipokea pesa na Wakatupatia Ukumbi Chadema,Serikali ilipofika kuwatisha Walikuwa Wanatoa akaunti namba za Benki,Serikali iweke pesa zote za Kuwa rudisha Chadema
Mwaka 2019 Ukumbi Wa Mlimani City pakiwa pamepambwa na bendera za Chadema,Serikali Walifika tena Kuwatisha ili tunyimwe Ukumbi, Jamaa wa Katoa Akaunti ya Benki Waingize pesa ili wao wavunje Mkataba na Chadema Kwahasira Serikali ilirudi Mida ya Saa 5 Usiku ikiwa na Polisi wengi
Polisi wakazingira Ukumbi Mlimani City,Usiku Ule Wajumbe wa Mkutano Mkuu waliokuwa Dar es Salaam tukahamasishana Kuja Mlimani City Wanachadema Walipojaa,Polisi Walitoka nje ya eneo la ukumbi kwahasira walipiga Mabomu wakaondoa Bendera zote za Barabarani pamoja Mgambo wa Jiji
Kwa Mabomu yale nilifikiri sasa Wamiliki wa Ukumbi Wa Mlimani City Wataingia Uoga, Siku Nyingine hatutopewa tena Ukumbi Tulienda tena 2020 kukakodi Ukumbi tulijua watagomea, Walaah hata hawakuuliza Maswali, Walipokea pesa wa Katoa Ukumbi, Tukampitisha Lissu kama Mgombea Urais
Nimeitoa TwitterView attachment 2252605
Wewe utabaki nini?Leo yamebaki mafuvu tu utadhani siyo yule aliyejifanya Mungu mtu.
hayawani bado yuko unamwita baba.Hahaa, naona umefura kwa hasira unaishia kutukana tu, ila ndio hivyo yule hayawani wenu hayupo tena, nchi inasonga mbele vizuri
Halafu ubunge mbona sio kitu kikubwa kivile? Au kama haupo interested na nafasi za kisiasa huwezi kuona maslahi ya taifa? Kweli wewe msukule
Kama ume mind sana fuata ule ushauri wa Zitto... Chato bado ina eneo kubwa tu la kuzikia
sibaki ila sijaua na kufanya udikteta kama huyo fala.Wewe utabaki nini?
Wewe unataka niamini kuwa kachanja kwa sababu wewe umesema? Wacha hizoKwani wewe ndio uliyemuambukiza hiyo corona au wewe ni nani hadi ndio tukubali ulichosema kuwa ndio kweli?
Elewa kwamba Magufuli alishanja kisirisiri hivyo hauwezi kuja kudai kafa na corona.
Lini watu waliacha kuteseka? Sasa hivi ukiwauliza wamachinga watakwambia wanateseka nao. Au teja wewe ulikuwa unateseka kupata unga enzi za dikteta?Ndo Mungu katupa ahueni maana tuliteseka
Kwani wewe unafanya nini hapa umeonesha ushahidi kuthibitisha kifo cha Jiwe ni cha corona au unasema tu kuwa kafa kwa corona na unataka tukuamini?Wewe unataka niamini kuwa kachanja kwa sababu wewe umesema? Wacha hizo
Katika dhambi kubwa moja wapo ni kuuwa ila zipo zengine pia, je huko nako haupo wewe?sibaki ila sijaua na kufanya udikteta kama huyo fala.
Mbaya zaidi ni kuwa mtakatifu na muovu wote watakufa na kuoza[emoji16]sibaki ila sijaua na kufanya udikteta kama huyo fala.
udictator hujafanya na utakufa kifo cha kifala tu,hata mkeo anakusahau mchana wake.sibaki ila sijaua na kufanya udikteta kama huyo fala.
ila siyo kama huyo aliyekufa akawa anapitishwa kwenye jua kama mshikakiudictator hujafanya na utakufa kifo cha kifala tu,hata mkeo anakusahau mchana wake.
ila kiongozi wa malaika bila shaka ndo anaongoza malaika sahiviMbaya zaidi ni kuwa mtakatifu na muovu wote watakufa na kuoza[emoji16]
Kumbe, na CCM na serikali inapopewa fedha na mabeberu kwani na wao vipi?Nyie mlikuwa mnatoa wapi pesa kama sio pesa za mabeberu hizo kutoka uingereza? Hatutaki puppets, hata huyu aliyevagaa uRais sina imani nae kwa waarabu