Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

Wazazi wako wamezaa tak.atak.a
 
Mimi ndio nimeuliza jamani, mbona una hasira sana?😅😅
 
Huyu jamaa ni mjinga sana ujue.

Anatajataja kumbi lakini hizo anazoziita kumbi nyingine hazitaji kwa majina.
 
Mbowe amekulia na kutoka katika maisha ya kitajiri tokea enzi za Nyerere wakati dingi wako alikuwa anashindia mihogo mibichi na alikuwa hana mpango wowote wa kuwa na familia....
Familia ya Mbowe Sr, hata mfu alikuwa anaijua tokea anasomeshwa kwa hela za serikali....
 
Wengi wanao mtukana uki wachunguza hamna walicho badilika ata jamaa alivyo dead wako pale pale
 
Siku Bunge
Mahakama zikiamua simama vizuri bila kuogopa tikiswa ba serikali ndo Tanzania itaendelea.

Mifumo yetu mibovu mno ila wakuibadilisha hawajazaliwa
 
Bila shaka wewe utakuwa unawafahamu Freeman Mbowe na marehemu Magufuli vizuri sana pengine kuliko Watanzania wote: Mbowe mbwa koko na magufuli mjuaji wake. Ingawa sijui una maana gani unaposema wanajuana na wanatuchanganya tu? Frustrations?

Anyway, Mbowe mbwa koko, kima na uso wa mbuzi bado yu hai, mzima wa afya na "deals zake" zinaendelea. Kasevu maafa kibao kuanzia mauaji ya Akwilina hadi kesi ya ugaidi. Mali zake zimerudi. Sasa anaongea moja kwa moja na Rais Ikulu. Sasa anaondolewaje asiendelee kutuchanganya baada ya Magufuli kwenda zake?
 

Halima Mbunge au mwingine.
 
Umemjibu vema sana huyo mpuuzi.
 
Mtaishia kubweka,imeisha hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…