Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

Mlimani City walikuwa wanajiamini na nini hadi kumgomea Magufuli hivi? Inamilikiwa na nani?

wangewanyima mngewasema.

wamewapa mnawasema tena mkijiuliza nguvu ile ilitoka wapi.... dah..kumbe nao wangewanyima tu..
Unaona kuna mtu kasemwa hapo,au hujui kurejea historia na kumsema mtu kukoje.tumia akili zako vizuri.
 
Ila CHADEMA wapuuzi sana. Mnajivunia kutumbua mihela ya ruzuku kwenye mahoteli ya kifahari huku chama hakiwezi hata kupangisha achilia mbali kujenga ofisi nzuri?

Huyo unayesema aliwahi kuwa meya wa sijui wa Ubungo miaka yote na asijue mmiliki wa ukumbi ulio katika eneo lake ni takataka kabisa.
Sasa ulitaka waje watumbue chumbani kwa mama yako
 
Leo yamebaki mafuvu tu utadhani siyo yule aliyejifanya Mungu mtu.
stil mafuvu yana nguvu kuliko chama ambacho hakieleweki kinasimamia nini.

huyu bongenyanya mwenyewe haeleweki anawashukuru mcity,anawashangaa ama anawalaumu.
 
Ila CHADEMA wapuuzi sana. Mnajivunia kutumbua mihela ya ruzuku kwenye mahoteli ya kifahari huku chama hakiwezi hata kupangisha achilia mbali kujenga ofisi nzuri?

Huyo unayesema aliwahi kuwa meya wa sijui wa Ubungo miaka yote na asijue mmiliki wa ukumbi ulio katika eneo lake ni takataka kabisa.
Kwani wamekwanbua shida yao ni kua na ofisi nzuri au unawashwa na mambo ya watu.
 
Tatizo ni kwamba kila baya au kosa lililofanyika awamu ya tano uhusishwa moja kwa moja na Jiwe, tofauti na sasa ambapo mazuri yote ndio uhusishwa nayo Samia ila mabaya ni ya wasaidizi wake ama ameshauriwa vibaya au hajui.
Jiwe ni mshamba na certified mwendewazimu ...mambo yote alitafanya kishamba ndio maana akafa kishamba na kuzikwa kiboya
 
Wanasiasa wanajuana, wanatuchanganya tu raia, siasa za Chadema ni za wachumia tumbo, wanatingishaga tu kibiriti wapate maslahi yao, uzuri walimkuta Ngosha acheki na Kima, uso wa mbuzi, Mbowe ni mtu wa maslahi,mbwa Koko, yupo pale kufanikisha deals zake, Ngosha alikuwa anajua kuwa Mbowe ni Mwanasiasa uchwala.

Sent from my WAS-TL10 using JamiiForums mobile app
Unatetea ujinga...biashara za watu zilidorora kwa ujinga huu
 
Kwa kifupi ni kwamba haya yalikuwa hayamhusu Magufuli wala hakuwatuma, walikuwa wanajaribu kumfurahisha, ingekuwa ni agenda ya Magufuli Hakuna namna mngefania vikao Mwabepande
Kwani angewafanyaje hao mlimani city? Angetuma jeshi kuwakamata? Angetoa sababu gani?
Au unamaanisha hakuwa na akili kuliko anavyodhaniwa?
 
Jiwe ni mshamba na certified mwendewazimu ...mambo yote alitafanya kishamba ndio maana akafa kishamba na kuzikwa kiboya
Mimi sizungumzii ushamba wake wala maziko yake, nachosema ni kwamba makosa yote yaliyofanyika awamu ya tano alihusishwa nayo Jiwe moja kwa moja ila awamu hii makosa yanayofanyika hahusishwi Samia japokuwa yeye ndio rais kama alivyokuwa Jiwe.
 
Kwani angewafanyaje hao mlimani city? Angetuma jeshi kuwakamata? Angetoa sababu gani?
Au unamaanisha hakuwa na akili kuliko anavyodhaniwa?
Kwahiyo hao mlimani city wameweza kushindana na Dikteta kwa kumdindia kwa kile alichokitaka? Nyie si ndio mnaolalamika kila siku Jiwe alichomfanya Mbowe.
 
Back
Top Bottom