Mlimba Morogoro jau sana, ikifika saa 9 jioni haujageuka Ifakara ndio nitolee hadi kesho hiyo!

Siku likitokea la kutokea huko kwa wakwe zangu siendi.
 
Bora umekuja kipindi hichi ukija wakati wa masika utahadithia ukitoka stand mwisho wa raha ni ng'ambo lumemo baada ya hapo ni tabu tupu na ukifika kisegese nd mwisho wa gari maana hapo kunakuwa na dimbwi hatari mtakuta gari nyingne ng'amb ya kuwachukua na sio mlimba tu hata malinyi n hvyo hvyo masika hapafai kule ni bonde kweli kweli
 
Wilaya ya Sikonge hiyo mzee
Ahahahaha napajua vizuri.
Kuna basi moja la saa 7 kama sikosei inaitwa SARDINI / SADINI hilo likienda leo linarud kesho alfajiri..

Ndani kuna chawa, viroboto kama wote, na siti zake ni 2 by 3 mlango mmoja.. ndani kunapakiwa kila aina ya mzigo.

Sasa usiombe ukae siti za nyuma nyuma alafu unataka kushuka😂 utachagua ushukie dirishani au utambae juu ya siti kama buibui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…