Ahahahaa!! We jamaa Califonia akachungulie nini? Ugeni wangu uliochanganyika na uenyeji kuna siku nimekaa Califonia napiga maji ya Devi. Kama unavyojua kibofu kikaanza fujo.Mad Max next time ukija ni pm mzee mimi ni afisa usafirishaji almaarufu kama boda boda hapa ifoza mpk idete mzee tubadilishane mawazo.
Lakini siku ukifika tena ifoza ulizia califonia ni wapi hata ukachungulie🤣🤣
Masqaroda, Tlawiy, Bashe,BashnetHaydom, Dongobesh
Mji kasoro bahari
Kuna daladala huwa zinatembea usiku hadi alfajiri tu zinaenda kulala.Dar saa 8 daladala zipo??
Ukisema mlimba au mahenge hapo sawa ila sio ifoza to moro twnNilikuwa hapo mwezi wa sita 2024 unataka niweke risiti za mafuta nilizoweka kwenye vituo vya mafuta huko Ifakara??
Point yangu ni barabara ya kwenda Mlimba, barabara ya kwenda Malinyi halikadhalika Magenge.
Huko ndio kwetu unajua maana ya jina langu?? Asili yake ndio huko.
Na ndio maana nkamwambie achungulie tu na asiwe mtendaji mkuu🤣🤣🤣Ahahahaa!! We jamaa Califonia akachungulie nini? Ugeni wangu uliochanganyika na uenyeji kuna siku nimekaa Califonia napiga maji ya Devi. Kama unavyojua kibofu kikaanza fujo.
Nimeenda washroom nilichokutana nacho ni balaa 🤣 acha niishie hapa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Morogoro yote jau mkuu. Kutoka wilaya Moja kwenda nyingine kunakuwaga na gari Moja ukiikosa mpaka kesho Tena[emoji23]
Ulipita njia ya serengeti,bariadi au ya mwanza?Hii nchi ni kubwa sana
Nimesafiri kutoka Karatu hadi Bunda toka saa moja asubuhi hadi saa 5 usiku
Ifakara kwenda mahenge bado hawajaweka lamii? DooohNilikuwa huko juzi kati.
Niliona ile lami ya Ruaha kwenda Ifakara ipo poa.
Shida ipo Ifakara kwenda Mlimba.
Ifakara kwenda Malinyi
Ifakara kwenda Mahenge.
Mashimo na vumbi la kufa mtu.
Ulanga iko karibu na Namtumbo mkoa wa Ruvuma, kuliko Morogoro enyewe.Ndio maana watu wa Morogoro bado wanalia sana na barabara,
Barabara zote zipo Morogoro mjini tu ndanindani hamna kitu
Halafu mkoa nao mi mkubwa sana, masaa manne mtu unasafiri ndani ya mkoa mmoja tu. Huu mkoa unatakiwa ugawanywe, watu wa ifakara na Mlimba wako mbali mno na Morogoro mjini, wako karibu na Njombe kuliko Morogoro mjini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapa nilishuka ili nimpishe abiria mwingine ashuke, wauza ndizi na karanga wapo serious walijaa mlangoni hadi kushuka mtiti.
View attachment 3110111
Dah! Siku nyingine ukishuka hapo Kisegese, mwambie boda akulete Mofu ili uje ule samaki wa Mto Kilombero. Msimu huu samaki aina Ndipi, njuju na ngogo; ni wengi sana. Ni mwendo tu wa kula na ubwabwa.Katika harakati za mtu mweusi, nikaenda Ifakara, Morogoro.
Sasa kufika hapo mchongo ukanitaka asubuhi niende Mlimba Morogoro pale Kihansi Hydropower. Nauliza wenyeji wanasema kwa “bus” ni kama masaa 2 hivi. Nikaona sio mbaya.
View attachment 3109716
Nikaamka saa 3 kujiandaa kufika saa 4 nipo stendi. Nikapanda Noah, kutoka hapo saa 5 hivi nafika Mlimba saa 10 jioni.
Njia ni vumbi mwanzo mwisho kuanzia Ifakara kilometa zote 150+, namaliza mishe kurudi naambiwa eti hamna gari hadi kesho.
Nikasema hamna siwezi kulala huku. Nikapanda Bajaji hadi Chita. Kufika pale hamna usafiri tena, nikasubiri ikaja bajaji nyingine inaishia Mngeta, kisha kama zali nikapata Noah inaishia Kisegese.
Hapo ishafika saa 3 usiku, kuna boda ndio akakubali kunipeleka Ifakara kwa 25,000/= aisee.
Wenye magari kule wana ringa sana.
Si kweli. Kutoka Moro to Ifakara magari yapo mpk saa Moja jioni. Au unapanda mabasi yanayotoka Dar, Arusha yanapita Moro mjini saa 1 mpk 2 hivi. Kwa siku hiyo route ina magari zaid ya 10-20 yaani ile to and fro. Barabara kwa sasa Mzee Magu kajenga rami kali sana na wakandalasi walikua hawa komesha ya wavaa makobazi, Waisrael. So, c wilaya zote jau. Hiyo njia ya Mlimba bado bado, ni ka-senta tu. Nadhani mkandalasi ndo kaingia saitiMorogoro yote jau mkuu. Kutoka wilaya Moja kwenda nyingine kunakuwaga na gari Moja ukiikosa mpaka kesho Tena😂
Masaa manne hayo yanasababishwa na ubovu wa barabara. Km 150 ni mwendo wa masaa mawil tuNdio maana watu wa Morogoro bado wanalia sana na barabara,
Barabara zote zipo Morogoro mjini tu ndanindani hamna kitu
Halafu mkoa nao mi mkubwa sana, masaa manne mtu unasafiri ndani ya mkoa mmoja tu. Huu mkoa unatakiwa ugawanywe, watu wa ifakara na Mlimba wako mbali mno na Morogoro mjini, wako karibu na Njombe kuliko Morogoro mjini
Dah! Hiyo Califonia ndiyo Kahumba ya Ifakara hiyo!! Halafu zamani hata haikuwepo. Binafsi huwa nikija Ifakara, mara nyingi napenda kuweka kambi yale maeneo ya Posta. Kuna kuku wengi sana wa kuchoma nyakati za usiku.Ahahahaa!! We jamaa Califonia akachungulie nini? Ugeni wangu uliochanganyika na uenyeji kuna siku nimekaa Califonia napiga maji ya Devi. Kama unavyojua kibofu kikaanza fujo.
Nimeenda washroom nilichokutana nacho ni balaa 🤣 acha niishie hapa.