Mlimba Morogoro jau sana, ikifika saa 9 jioni haujageuka Ifakara ndio nitolee hadi kesho hiyo!

Ahahahaa!! We jamaa Califonia akachungulie nini? Ugeni wangu uliochanganyika na uenyeji kuna siku nimekaa Califonia napiga maji ya Devi. Kama unavyojua kibofu kikaanza fujo.

Nimeenda washroom nilichokutana nacho ni balaa 🤣 acha niishie hapa.
Hapa nahitaji maelezo mkuu 😂😂
 
Nadhani kuna ulazima wa lami fasta kuwekwa maana kuna wanakijiji wengi sana
 
Kwa hiyo ikigawanywa umbali kutoka eneo moja kwenda lingine unapungua?
 
Ukikuta sehem kuna noah usipele tata useme unarahisha itakula kwako,
Noah inaingia watu 10-15 tata inaingia abilia 40 kwaaana ww mwenye tata utakuwa hauja,I kwenye noa wakifika abilia 12 noah inatembea, mwenye tata uktega ukiwa na abilia 15 ikija noah wanashuka na kupanda noah
 
Dah, aisee kuna maisha hapa bongo mtu wa town akisimuliwa haamini 😂
 
Dah mkuu umenikumbusha mbali miaka ya 2004 niliwahi kutoka ifakara kwenda malinyi ndan kidg kama kilosampepo usafiri ni trekta tu
 
Dah! Hiyo Califonia ndiyo Kahumba ya Ifakara hiyo!! Halafu zamani hata haikuwepo. Binafsi huwa nikija Ifakara, mara nyingi napenda kuweka kambi yale maeneo ya Posta. Kuna kuku wengi sana wa kuchoma nyakati za usiku.
Maeneo ya posta kidg kuna usalama pia lakini kwa sasa maeneo yaliochangamka ni mashimoni kwani kuna bar nying nzuri na za kisasa na hata ukicheki califonia nayo ipi line ya mashimoni
 
Dah mkuu umenikumbusha mbali miaka ya 2004 niliwahi kutoka ifakara kwenda malinyi ndan kidg kama kilosampepo usafiri ni trekta tu
Hahahaa raia kule wana maisha yao
 
Kusema kweli ukibaki Dar utahisi na wa mikoani kwingine kero zao ni foreni kama wewe. Kumbe uko ata magari tu hamna.
Na yaliopo Sasa!nakumbuka Kuna wakati Geita zile hiace fupiii kioo Cha pembeni kilinimwagikia chote na gari inaendelea TU driver na konda wanaongea kisukuma na abiria wanasikitika kisukuma huku wananiangalia na mi Niko na vioo vyangu hadi tunafika stend
 
Haha vile vidude navijua vifupi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…