Mlinda mlango wa Iran kuadhibiwa kwa kumkumbatia shabiki mwanamke

Mlinda mlango wa Iran kuadhibiwa kwa kumkumbatia shabiki mwanamke

Kuna viungo kwa mwanamke havitakiwi kuwa wazi public mfano nywele , na nguo iwe ndefu yenye kuficha mapaja na baadhi ya sehemu ya miguu yani kama uunavyoona masister kanisani ule ndio uvaaji sahihi kwa mwanamke kwemye uislamu na iran inafuata sheria za kiislamu wapo sahihi kukazia sheri zao

Huo uislamu huwa hamueleweki maana kuna sehemu nilisoma kwamba mwanaume hapaswi kuonyesha magoti, sasa mbona wachezaji wa timu ya Iran hapa naona magoti nje nje......
Picha ya pili timu ya wanawake Iran, hapo wamesitiri nywele sawa ila kwa mwanaume rijali hizo nguo walizovaa lazima nipate minyege, kwa hiyo nyie nyege mnapata tu kwa kuona nywele.

Mkiambiwa mstaarabike mnatuhumu watu kwa chuki, hizi sheria za mwarabu yule zilitekelezeka huko jangwani enzi zile lakini sio kwenye ulimwengu wa leo.


2022-09-23T160629Z_939259183_UP1EI9N18QR9Q_RTRMADP_3_SOCCER-FRIENDLY-IRN-URY-REPORT.jpg



image1_zbxa__v516x270__.jpg


1400070316334643823678864.jpeg
 
Hivi hata hizi kipilipili za Mwaju Ndala Ndefu zinazotia kinyaaa nazenyewe ni shida??
 
Upendo wa Hosein kwa Shabiki na kuonyesha Binadamu wote ni Sawa Utaleta Ukombozi Iran

Down Down Ayatollah
 
Si bora huyo ameitwa kwenye kamati ya nidhamu, aliye kuwa mkuu wa shirikisho la soka la Uhisipania mpaka sasa anakabiliwa na hatari ya kwenda jera baada ya kumkumbatia mchezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya nchi hiyo.
Sio amemkumbatia tu amemla mate bila ridhaa ya mchezaji!
 

Bora hata huyo wa miaka 11....hebu ona hii hapa mtume mwenyewe kafukunyua katoto ka miaka 9, tena ipo kwenye maandiko yao wala hamna aliyemusingizia

Muhammad aliikamilisha ndoa yao kwa tendo la unyumba wakati 'Aisha alipokuwa na umri wa miaka tisa."Bukhari juzuu ya 5 kitabu cha 58 sura ya 43 na.236, uk.153.
 
Si bora huyo ameitwa kwenye kamati ya nidhamu, aliye kuwa mkuu wa shirikisho la soka la Uhisipania mpaka sasa anakabiliwa na hatari ya kwenda jera baada ya kumkumbatia mchezaji wa timu ya taifa ya wanawake ya nchi hiyo.
Huyu Luis Rubiales alimbusu mchezaji Jenny Hermoso ndiyo kosa lake na siyo kukumbatia.
 
Huyu Luis Rubiales alimbusu mchezaji Jenny Hermoso ndiyo kosa lake na siyo kukumbatia.
Ww kama unaona ni sahihi kwa Uhisipania kuharamisha kumbusu mwanamke hadharani kwanini uone tatizo kwa Iran kuharamisha mwana mke kukumbatia mwanamke hadharani?
Kwani ukimbusu unakuwa umempunguzia nini kwenye mwili wake?
 
Ww kama unaona ni sahihi kwa Uhisipania kuharamisha kumbusu mwanamke hadharani kwanini uone tatizo kwa Iran kuharamisha mwana mke kukumbatia mwanamke hadharani?
Kwani ukimbusu unakuwa umempunguzia nini kwenye mwili wake?
Hakuna mahali nimetoa mtazamo wangu katika hii mada zaidi ya kusahihisha taarifa zisizo sahihi.
 
Back
Top Bottom