Mlinda mlango wa Iran kuadhibiwa kwa kumkumbatia shabiki mwanamke




Halafu mnakataza wanaume wasionekane kwenye magoti, mbona hawa huwa hamuwakamati



Jiulize lizee la miaka 50 kuparamia katoto, mumekaa kingono ngono sana nyie watu

 
MK254 ni mkatoliki?

1. Hilo kamwulize yeye.

2. Nimekuwa nikimwona akibagaza ya wengine kuwa ni Madera wewe hujawahi kuliona hilo?

3. Ni kwa kuliona hilo ndiyo maana nilimletea hivyo picha kuupata mwongozo wake au wa awaye yote ambaye amekuwa akiona na akabqkia kimya labda kama wewe pia.

Au nasema uongo ndugu MK254 na ndugu wafia dini wengine?
 
Halafu mnakataza wanaume wasionekane kwenye magoti, mbona hawa huwa hamuwakamati



Jiulize lizee la miaka 50 kuparamia katoto, mumekaa kingono ngono sana nyie watu


Ningali namsubiri mwongozo wako kuhusu haya mavalio tunayoyaheshimu sana ndugu. Nduguyo Yoda anaonekana kutokukusikia ukiyaita vinginevyo.



Unaweza kuthubutu kutamka kwa sauti tena kama wewe ni kidume kweli kweli?
 
Kosa #1 ni kutokimbia alipokuwa anakimbiliwa na hako kademu. Kosa #2 ni kukumbatia mwanamke hadharani. Kosa #3 ni kukumbatia asiye mke wake. Kosa #4 kuidhalilisha dini.

Akikutikana na hatia anaweza kunyongwa.
Dini zingine duniani zimewapa watu ujinga mwingi sana. Dini zimewafanya watu kuwa watumwa na kupoteza uhuru badala ya kuwaweka watu kuwa huru.
 
Dini zingine duniani zimewapa watu ujinga mwingi sana. Dini zimewafanya watu kuwa watumwa na kupoteza uhuru badala ya kuwaweka watu kuwa huru.
Uhuru una mipaka Kiongozi.
 
Iran ni nchi nzuri sana lakini kwa bahati mbaya sana ni miongoni mwa nchi zenye utawala wa hovyo sana hapa duniani.
 
Ningali namsubiri mwongozo wako kuhusu haya mavalio tunayoyaheshimu sana ndugu. Nduguyo Yoda anaonekana kutokukusikia ukiyaita vinginevyo.

View attachment 2973500

Unaweza kuthubutu kutamka kwa sauti tena kama wewe ni kidume kweli kweli?

Ningali nasubiri unieleweshe hiki kitu alichokianzisha yule babu wako muarabu naona mnaiga nyote

 
Kweli wafuasi wa mudi kichwani hamnazo
Siyo hilo tu bali pia ni waongo kweli kweli-Taqqya. Kwa sasa Uongo wao unaumbuliwa na Waislam wenzao ambao, Mungu amewaangazia na sasa wanafichuo Uongo huo. Ona huyu mtumishi huko Kenya anaitwa Ismail akifichua Uongo wa Waislam uliojaa kwenye Quran yao pamoja na midomo yao
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…