MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Mkuu tema mate chini.Nawaza tu[emoji848] kuna baadhi hapa mnasema stress juu ya mshahara mdogo nk.
What about jobless? Mmefikiria japo na upande huu, how do they feel??
Izi mambo sio za kufagilia kabisa, kujitoa uhai kizembe damn!!
Mtoto wa kiume ni kugangamanya[emoji1491] vijana acheni hizi mambo kabisa.
Nikawaza vile life’s good. Afu huku kuna watu wanajitoa uhai damn useless kabisa[emoji706]
Give me a break!!
Mungu atuepushe na ujinga huu wa kifkra[emoji1488]
Kaka haya maisha ukiwa na roho ndogo ni shida.Kwa kweli kwa haki ya maisha ya ubepari kama huna Mungu ndani yako au mental na psychological calmness unaweza kufanya vitu ambavyo watu watakuona hauna akili kumbe mwisho wako wa kufikiri ndipo ulipoishia.
Unaweza in au kusikia watu mliokuwa nao shuleni au kambini washatoboa. Au unaenda maeneo kama Mlimani ukiona jinsi vijana au watu wanavyospend unaweza kujisonya sana.
Ktk nchi za Ulaya na US suicide na kuuana cases ni nyingi koz ubepari umekomaa. Sitamani tufike huko lakini kwa hali ilivyo ni kama vile safari imekaribia.
Zamani mtu akijinyonga inakuwa taabu kila mtaa utajua au kusimulia kwa mwili na mawiki ila Sasa imekuwa kawaida na sababu ni nyingi kuanzia maisha, mapenzi, kazi, kukataliwa, Kukosa tumaini, Kukosa Mali, kudharauriwa, masomo, kubakwa, kushindwa kuhimili tatizo nk.
Hivi karibu kuna kijana wa hapa Stend ya Magufuri wale wanaoshika chati za magari naye kajinyonga kwa sababu ya mapenzi. Mke wake alikuwa anamsumbua jamaa sana.
pay ndogo mno ukiangalia .. mtu anashikishwa pump action masaa 12 dah hatari sana[emoji15] Katika mlengo upi sheikh wangu
😥😥😥Kwa kweli kwa haki ya maisha ya ubepari kama huna Mungu ndani yako au mental na psychological calmness unaweza kufanya vitu ambavyo watu watakuona hauna akili kumbe mwisho wako wa kufikiri ndipo ulipoishia.
Unaweza in au kusikia watu mliokuwa nao shuleni au kambini washatoboa. Au unaenda maeneo kama Mlimani ukiona jinsi vijana au watu wanavyospend unaweza kujisonya sana.
Ktk nchi za Ulaya na US suicide na kuuana cases ni nyingi koz ubepari umekomaa. Sitamani tufike huko lakini kwa hali ilivyo ni kama vile safari imekaribia.
Zamani mtu akijinyonga inakuwa taabu kila mtaa utajua au kusimulia kwa mwili na mawiki ila Sasa imekuwa kawaida na sababu ni nyingi kuanzia maisha, mapenzi, kazi, kukataliwa, Kukosa tumaini, Kukosa Mali, kudharauriwa, masomo, kubakwa, kushindwa kuhimili tatizo nk.
Hivi karibu kuna kijana wa hapa Stend ya Magufuri wale wanaoshika chati za magari naye kajinyonga kwa sababu ya mapenzi. Mke wake alikuwa anamsumbua jamaa sana.
unawatia spana tuSumajkt hamna kitu, wangejikita jeshini.. Hata kwenye miladi mingi jamaa wana fail sana
Pambana ww hela zipo na sio lazima uajiliweWazee hili laifu sio poa hasa ukiwa mzaliwa wa kwanza...kwa kifupi mimi pia napita hardtime sana
Sina kazi (jobless)
Kodi yangu inaisha December (kichwa kinauma machozi yanatoka)
Umri umesogea miaka 26 mates wenzangu wengi wana maisha na darasani nilikuwa bora kuliko wao.nimeomba makazi ya majeshi yote mwaka jana mpka nimekataa tamaa
Kula yangu mzozo,unaumwa ila unapona kwa nguvu za Mungu...
Kushinda week mfukoni huna mia ni kawaida
Kwa kifupi depression is real ukiona unaaamka unakula unavaa mshukuru Mungu
Mungu anisaidie nivuke salama nakiri sometimes najifikiriaga sana kujipoteza(kujitoa uhai) sema namuonea huruma mama na madogo zangu.
Kijana aliyejiua, akamatwe na kupelekwa mahakamani kwa kosa la kuua!
Mshahara kisanga kazi roho mkononi anytime unakufa anytime unafukuzwa kazi anytime unabambikwa kesi isiyokuhusu kisha unafukuzwa kazi, full depression sasa ukifikiria msoto wa mtaani ulivyo na mshahara ulikua unapata kiduchu ila ulikua unakomaa tu kibishi, shotgun ipo wapi unaingia nayo ndani taratibu unafunga mlango unapiga sala/dua zako za mwisho puuuuuuMshahara Tsh.120,000.
Yupo wapi alietangazwa kwenye vyombo vya habari kafa kwa njaa?Hawa wanaokufa kwa njaa ndio walupaswa kuonewa huruma zaidi
Yupo wapi alietangazwa kwenye vyombo vya habari kafa kwa njaa?
Wapi huko Chalinze au Nzovwe? Taja location mkuu
100,000 - 120,000Suma mishahara yao inarange kwenye sh ngapi???