Mlinzi Suma JKT ajiua kwa kujipiga risasi shingoni

Umri mdogo halafu mzuri sana sijui nini kilimkuta
 
ccm na mama wanaupiga mwingi tushangilie
 
Pole sana haupo peke yako pambana mzee utapata zaid na kuwapita wote ukiona umeshindwa kabisaaaa usijiue nenda katafute kwa njia za giza
 
Aseeee !!!![emoji848][emoji848]Sad reality of today life...Msongo wa mawazo unachangiwa na mambo mengi sana... jitahidi sana kutafuta njia ya kuukimbia huo msongo ...ni hatari sana kuliko kawaida.
 
Kuna siku nilienda benk fulani mkoa wa Kilimanjaro,ile napaki tu jamaa akanifata chap na silaha yake,moyoni nikasema au nimepaki vibaya?basi akasema aisee bro sijala kitu ukitoka uniangalie.nikamwambia poa.kwanza jamaa kimuonekano alionekana mwenye stress na mlevi,sasa kwa tukio hili napata picha
 
Ndiyo afunge mlango?
Huyu inaonekana alienda kulala mule ndani, ktk 1 2 3, huenda aliilalia kwa bahati mbaya au alijisahau akagusa striger risas ikiwa chemba. siamin kwamba alijiua mwenyewe japo nalo linawezekana
 

Pole mkuu
 
kwanini ulicheka ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…