Mlinzi wa kiume wa Rais kuvaa juba (vazi la kike) na kuketi msikitini sehemu ya wanawake ni sawa?

Wewe unachoona kina Manufaa ni nini? Rais Kuwa Salama, au Mlinzi kuvaa Hijab? Kama unaona Ajabu huyo kuvaa Hijabu sababu ya ulinzi mbona usione ajabu mtu kuuawa sababu ya Usalama wa Nchi? Au sababu sio wewe umeuawa ndio mana huoni ajabu? Usiniulize nani kauawa. Mimi sio Reporter wako.😏
 
Imenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.

Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?

Inashangaza!
Kanuni za dini haziingiliani na serikali


Zinavunjwa tu

Hayo masuala ya taratibu za imani zenu pelekeni huko misikitini au makanisani kwenu

kudadeki
 
Kwahiyo aliuliwa kwa sababu ya usalama wa nchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…