Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ni taaluma ya watu. Wengi wetu tunaingilia tu. Na hao hao ndio wataongoza kulalamika pale jambo lisilo la kawaida likimtokea Rais.Imenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
Inashangaza!
Jibu hoja mbona unaandika utumbo??Wewe unachoona kina Manufaa ni nini? Rais Kuwa Salama, au Mlinzi kuvaa Hijab? Kama unaona Ajabu huyo kuvaa Hijabu sababu ya ulinzi mbona usione ajabu mtu kuuawa sababu ya Usalama wa Nchi? Au sababu sio wewe umeuawa ndio mana huoni ajabu? Usiniulize nani kauawa. Mimi sio Reporter wako.😏
Aisee, umeamua kujitoa akili kabisa!Mnajua kukuza mambo, huyo mwanamke
Angekuwa mwanamme angevalia kawaida ila angesimama nyuma kabisa.
Mbona kuna wanawake wenye hormone nyingi za kiume na kuwafanya wawe na ndevu etc
Hilo njemba ni NALIA NGWENAAise nilikuwa sijaona dah njemba imetulia na mustach wake
Kwanini mkuu? Hujamuona huyo Mlinzi leo msikitini?Hii picha ni edited, sio halisi.
Ulitaka akae wapi pia kitu km hiki sidhani km ni busara kukiweka hadharani, for state security mattersImenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
Inashangaza!
Nimeupdate text yangu sikuweka picha... ambayo iko edited..Kwanini mkuu? Hujamuona huyo Mlinzi leo msikitini?
Kuna msikiti jamaa walikua wanaugombea sasa wakati wanaswali jamaa kila anayeinama nyuma linaonekama jambiaHuyo ana uzi machone gun....silaha no 1 likitokea lolote....Rais ni taasisi sio mtu....m
wanaugombea❌Kuna msikiti jamaa walikua wanaugombea sasa wakati wanaswali jamaa kila anayeinama nyuma linaonekama jambia
Nakazia TuUsalama kwanza, hayo mengine baadae
Hayatuhusu sisi hayo. Ilimradi kavaa juba na limemkaa vizuri na msikitini kaingia na ameswali.Imenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
Inashangaza!
Hii nayo ni camouflage??? HahaahCamouflaging
Kwa kweli!! Usalama wa nchi kwanza then imani baadae.Kanuni za dini haziingiliani na serikali
Zinavunjwa tu
Hayo masuala ya taratibu za imani zenu pelekeni huko misikitini au makanisani kwenu
kudadeki