Mm numemuelewa aliyekaa kulia kwa mh, hayo mengine hayanihusuImenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
Inashangaza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm numemuelewa aliyekaa kulia kwa mh, hayo mengine hayanihusuImenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
Inashangaza!
Shida wanaopiga wanakosa umakini wa kurekebisha kasoro ndogo kabla ya kupeleka public.Hivi hili limekaaje wakuu, Kuna shidahiyo picha kusambazwa? Je kwenye msafara wa Rais kama huo ni nai ambao wanapewa vibali vya kupiga na kusamabza picha?
Ahaa, sawaJibu hoja mbona unaandika utumbo??
hayo maswali unamuulzia nani??
Mi mwenyewe naona ajabu
AahaaaaaImenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
Inashangaza!
Kulikuwa na haja gani yakuvaa hijabu kiulinzi na kujulikana kama sio jinsia ke,hapo kiusalama sio hata iyo mbinu sio rafiki wanafeli walinza na muuza madafu kumbe sio security sio ishu yakuchkulia poapoa ujueWewe unachoona kina Manufaa ni nini? Rais Kuwa Salama, au Mlinzi kuvaa Hijab? Kama unaona Ajabu huyo kuvaa Hijabu sababu ya ulinzi mbona usione ajabu mtu kuuawa sababu ya Usalama wa Nchi? Au sababu sio wewe umeuawa ndio mana huoni ajabu? Usiniulize nani kauawa. Mimi sio Reporter wako.😏
Kwamba jinsia ya kiume hutambuliwa kwa sharubu? Mnapoleta mambo haya ni vema tukasaka ushahidi ili kukwepa kuwavunjia watu heshima.Imenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
Inashangaza!
Sawa kabisa mkuu. Bora ww umenijibu kwa hoja kuliko Huyo mpuz aliyeniambia naandika utumbo. Lakini hebu Tujiulize pamoja ni kwann kama Kiongoz wa juu maybe Makamu, Au PM wakiwa hata Rais wakiwa kwenye Marathon hao Security pia wanavaa Track suits? Hata Mhe. Akienda Kwenye Harusi akaonekana Maridadi nao pia hubadilisha muonekano. So ukiona Hivyo uelewe pia huyo Bwana kwa umuhimu wake na Nafasi ingekuwa ni lazma aingie huo upande wa pili wa msikiti. Lakin ili asiondoe conduct na atmosphere ya Ibada ndio ikabidi avae ivyo. Lakin kama angevaa kiume ingeweza kuondoa utulivu kwa kuwa Wote wanajua upande huo hawawez kuingia wanaume.Kulikuwa na haja gani yakuvaa hijabu kiulinzi na kujulikana kama sio jinsia ke,hapo kiusalama sio hata iyo mbinu sio rafiki wanafeli walinza na muuza madafu kumbe sio security sio ishu yakuchkulia poapoa ujue
Blending in.kubadilika kuendana na mazingira kama kinyonga.