Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye kaenda kusali - ni jukumu la wengine kuendelea kutimiza wajibu wao...mnataka mpige makofi kama marehemu Mzee Mwinyi??Yeye msikitini kaenda kama muumini ama kaenda kama kiongozi wa dini?
Haya maigizo na kucheza na Imani za watu Mungu habadiriki. Kama ana Imani na Mungu wake haipo haja ya kufanya kituko hiki
Yes, angetokea kininja.Kuna zile za kufunika uso vp??
And social gatheringHivi kwa nini hakuna mtu anayezungumzia hali ya unyenyekevu wa rais na mfano wake bora kwa kuketi na watu wa kawaida katika nyumba ya kuabudia?
As much as I'm very concerned about her governance, I think what she is doing - setting an example for others in putting God first - is highly commendable.
HII KIDINI IPOJE ????
Huyu hapa mwanamke mwenye mustacheAtakua ni mwanamke sema picha tu.
Yeye kaenda kusali - ni jukumu la wengine kuendelea kutimiza wajibu wao...mnataka mpige makofi kama marehemu Mzee Mwinyi??
Imenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
View attachment 3019543
Inashangaza!
Kwa muktadha wa masuala ya ulinzi, hiyo haina shida katika imani. Kinachoangaliwa ni nia.Imenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
View attachment 3019543
Inashangaza!
Usiingilie mambo ya usalama wa taifa raisi ni kiongozi wakipekee anahitaji kulindwa dini weka pembeni hata MUNGU atasamehe hiloImenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
View attachment 3019543
Inashangaza!
Angevaa miwani kupoteza zaidi ..ila yule mlinzi wa kike wa siku zote wana dada kaondolewa ?Huyu hapa mwanamke mwenye mustache View attachment 3019552
Sawa sawa..hapo walisahau miwani kdg ya macho kuzuga vzrUsiingilie mambo ya usalama wa taifa raisi ni kiongozi wakipekee anahitaji kulindwadini weka pembeni hata MUNGU atasamehe hilo
Hata kule Uarabuni wanafanya hivyo wakati mwingine
Hapo yupo kikazi zaidi
Mungu anasema hata kama unasali ukaona nyoka anakufuata ama mtu anakuja kukudhuru, katisha sala ujihami kwanza. Hakusema atakulinda uendelee. Kwahiyo, tahadhari ni muhimu ktk maisha yako ya kila siku, usisubiri miujiza.Kwahiyo mungu hawezi mrinda mja wake? Basi alienda kufanya Nini kama huyo Mungu Hana uwezo wa kurinda watu wake Hadi wapigwe makofi?
Sijajua badoAngevaa miwani kupoteza zaidi ..ila yule mlinzi wa kike wa siku zote wana dada kaondolewa ?