Mlinzi wa kiume wa Rais kuvaa juba (vazi la kike) na kuketi msikitini sehemu ya wanawake ni sawa?

Mlinzi wa kiume wa Rais kuvaa juba (vazi la kike) na kuketi msikitini sehemu ya wanawake ni sawa?

kubadilika kutokana na mazingira kama kinyonga inaitwa mimicry, camouflage ni ishu nyinine kabisa, au nikusaidie kwa lugha rais camouflage ni kama vile kuku anavowafunika vifaranga wake, ephen_ embu tia neno
Sielewi hata mnachoongea
Nipe summary
 
Si wangempaka ata make-up awe mweupe😂😂📌🙃🙃
 
HII KIDINI IPOJE ????
Kidini haikubaliki kwa sababu kubwa mbili
. Kwanza ni haramu na ni shub'ha kuchanganyika kwa jinsia mbili tofauti katika ibada za pamoja kama hiyo.
. Sababu ya pili kutokana na Quran tukufu, amelaaniwa mwanaume anayevaa mavazi ya kike , na mwanamke avaaye mavazi ya kiume. So huyo jamaa hapo na aliyemtuma na kumruhusu wote kidini wana makosa tena makubwa.
 
Kw
Kanuni za dini haziingiliani na serikali


Zinavunjwa tu

Hayo masuala ya taratibu za imani zenu pelekeni huko misikitini au makanisani kwenu

kudadeki
Kwani hilo jambo limetokea ikulu au msikitini. Na kwa nini mlete siasa kwenye nyumba za ibada?!
 
Kwani shida iko wapi? Hata huko Makka wanachangamana wanaume na wanawake kwenye hija.
 
Huyo jamaa naye akasahau kunyoa ndevu vizuri hata afananie na script ya igizo lenyewe??
 
Siku nyingine yaingie madume ya uhakika yavae hayo majuba yakae hukohuko wanakokaa wanawake wamlinde rais. Hamna namna ndio utamaduni wa dini yao kutenga wanawake katika ibada. Akija kanisani atajumuika na wakristo bila utata hata kama hajui sala zao. Kuna wale wa sifa na kuabudu huko ndio ndio hakuna shida kabisa ni kupiga makofi tu pamoja na waumini. Kukaa ataandaliwa panapomstahili kwa heshima yake kama mkuu wa nchi/mfalme/malkia.
 
Back
Top Bottom