Mlinzi wa kiume wa Rais kuvaa juba (vazi la kike) na kuketi msikitini sehemu ya wanawake ni sawa?

Mlinzi wa kiume wa Rais kuvaa juba (vazi la kike) na kuketi msikitini sehemu ya wanawake ni sawa?

Hutaki rais alindwe,unajua gharama za rais mpya na cabinet recycling,na RC recycling?
Hakuna mtu asiyetaka Rais alindwe. Lakini makosa kama haya hayatakiwi na ndio yanatia doa.

Mosi, Lengo la Ulinzi limekamilika lakini mhusika amekuwa 'exposed'.
Kwa lugha rahisi ni kwamba idara haikujiandaa na kumpenyeza huyo 'Mzugaji'.

Je, Rais kwenda kwenye Swala ya Eid ilikuwa ni dharura? Jibu hapana, hivyo Taasisi ilitakiwa ijiandae kikamilifu na tukio.
 
Alivaa ili kutojulikana...sasa mbona imejulikana au wenzie ndo waliovujisha!?
 
Sasa huoni mwamba ana mustache kabisa?!
Aisee nyie mijitu ni mipumbavu sana mmezaliwa na wanawake na wamebeba mimba zenu miezi 9 leo mnaletewa utamaduni usio wa Kiafrika misikitini mnawatenga wanawake lakini vitandani mnawakumbatia kisa uislam huo ni upumbavu uliopitiliza
 
Aisee nyie mijitu ni mipumbavu sana mmezaliwa na wanawake na wamebeba mimba zenu miezi 9 leo mnaletewa utamaduni usio wa Kiafrika misikitini mnawatenga wanawake lakini vitandani mnawakumbatia kisa uislam huo ni upumbavu uliopitiliza
Matusi ya nini mkuu?! Kuna sehemu yoyote kwenye comment yangu kumeashiria udini?!
 
Matusi ya nini mkuu?! Kuna sehemu yoyote kwenye comment yangu kumeashiria udini?!
Upumbavu siyo tusi ni sifa yako hilo jambo limekupunguzia nini kwenye upumuaji wako?umekosa kabisaaa vitu vya kujadili ukaona hili?wanawake mnalala nao vitandani eti misikitini ndiyo muwatenge na mmekaa kwenye matumbo yao miezi 9 hiyo ni akili unaona?
 
Tafuteni vitu vya kujadili humu kwani mmeona Mungu kasimamisha siku kwa kitendo hicho au kumetokea madhara gani??
Mkuu kinachoongelewa ni utaratibu...Hivi wewe ukikuta jamaa yupo kwenye chumba za mabinti zako ili hali chumba cha wavulana kipo kisa tu kwa vile kamsindikiza rafiki wa binti zako utachukulia poa?!
 
Mkuu kinachoongelewa ni utaratibu...Hivi wewe ukikuta jamaa yupo kwenye chumba za mabinti zako ili hali chumba cha wavulana kipo kisa tu kwa vile kamsindikiza rafiki wa binti zako utachukulia poa?!
Ndiyo maana nawaambia waislam waakiafrika hamna akili mnaiga na kukariri tu hivi huu mfano unaweza kulinganisha kinachoongelewa hapa kweli?msikitini na chumbani au mabinti na wanawake watu wazima wapi na wapi huoni ni vitu viwili tofauti?mnaoa zaidi wa wanawake 4 na mnalala nao majumbani kwenu ila msikitini muwatenge mna akili kweli nyie au ujuha??
 
Back
Top Bottom