cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanajijua walivyo magaidi hawachelewi kumlipua [emoji1787]
Bimkubwa hawaamini kabisa mashost zake katika Imaan.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanajijua walivyo magaidi hawachelewi kumlipua [emoji1787]
Bimkubwa hawaamini kabisa mashost zake katika Imaan.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna ubaya gani? Akirudi kwake anaambiwa pole baba kwa kazi.
Nzito
Anaeka Ugali maisha yanaenda
Kumbe anavaa ushungi huko.
Kazini haswaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwanaume kazini
Umeenda mbali sana jamaniii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila Kaz nyingne hizi hata kama zina Hela hapana unaweza jikuta unavalishwa had chupi ya kike na pedy hvhv Kwa niaba ya boss wako dadeki[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Imefeli! Au ili-work wakati wa tukio?!Camouflaging
Ungesikia hadi Wazungu wangetajwa hapaa, ila imekaa upande wao wako kimyaaaa.Nawaza tu hapa kama Rais angekuwa ni Mkatoliki! Halafu akafanya kitendo kama hicho kwa hawa ndugu zetu!!! Nahisi takbiiir zingekuwa ni nyingi sana mtaani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu akhii, woiiiiihKwa hyo bi aisha wa mchongo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hichi kilicho tokea , tujiandae Kwa PDF linguine[emoji23]
Mmeanza Waja, kwann lakini?Ushoga hautaisha bongo. Yani wanapromote ushoga msikitini?. Very bad.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Si wangempaka ata make-up awe mweupe[emoji23][emoji23][emoji419][emoji854][emoji854]
Yeah,amenena vyema kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Angekua ameingia kanisani hivyo wangesema ni upinde, kanisa limebariki na blah blah za hivyo.
Sasa njema imeingia msikitini kabisaa [emoji23][emoji23][emoji23] hii nchi ina vituko sijapata ona
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walikosea kumuandaa mapema, ndevu zile wangetoa zote wampake na enjo face.
Huko mbele huwa wanatengenezwa mapema.
Ule mtandio duuuu , sijui aliupata wapi mweee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anatamani misikitini nako waone ushoga kawaida Kama alivyofanya papa
Ila wajaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tukimpiga saundi na kushika taa la koo atupige. [emoji16]
Angejifunika ya kininja hii mikelele isingekuwepo nafikiri alikosea kidogo siku nyingine ajifunike koteImenishangaza sana, nadhani sababu ya kuwatenga wanawake na wanaume ni faragha.
Sasa kama vidume wanakaa sehemu za wanawake kuna maana gani?
View attachment 3019543
Inashangaza!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au labda huyo jamaa ni "trans", Who knows..!