Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Wewe mkristo uislamu unaujulia wapi kama sio shobo ? upigwe na maisha ulete hasira zako hap 😀 😀Ndiyo maana nawaambia waislam waakiafrika hamna akili mnaiga na kukariri tu hivi huu mfano unaweza kulinganisha kinachoongelewa hapa kweli?msikitini na chumbani au mabinti na wanawake watu wazima wapi na wapi huoni ni vitu viwili tofauti?mnaoa zaidi wa wanawake 4 na mnalala nao majumbani kwenu ila msikitini muwatenge mna akili kweli nyie au ujuha??