Mlinzi wa kiume wa Rais kuvaa juba (vazi la kike) na kuketi msikitini sehemu ya wanawake ni sawa?

Mlinzi wa kiume wa Rais kuvaa juba (vazi la kike) na kuketi msikitini sehemu ya wanawake ni sawa?

Angekua ameingia kanisani hivyo wangesema ni upinde, kanisa limebariki na blah blah za hivyo.
Sasa njema imeingia msikitini kabisaa 😂😂😂 hii nchi ina vituko sijapata ona
 
Walikosea kumuandaa mapema, ndevu zile wangetoa zote wampake na enjo face.

Huko mbele huwa wanatengenezwa mapema.


Ule mtandio duuuu , sijui aliupata wapi mweee
Ukiona ng'ombe anakofia kichwani, utaniambia kaitoa wapi?
 
Tatzo lenu waarabu waliwajaza upuuzi kichwani... Mnajifanya wajuaji wa dini wakat waliozileta wanawacheka...
 
Mungu anasema hata kama unasali ukaona nyoka anakufuata ama mtu anakuja kukudhuru, katisha sala ujihami kwanza. Hakusema atakulinda uendelee. Kwahiyo, tahadhari ni muhimu ktk maisha yako ya kila siku, usisubiri miujiza.
Mfano wako hauendani hata robo.
Nyoka kakukuta Tyr sehemu upo unasali Sasa huyu Hadi kajaribisha na dera kama linamtosha ama kama linapendeza au lah uje unambie habar za nyoka hapa?

Kamanwalihofia hakuna usalama kwanini waende ni lazima?
 
Back
Top Bottom