Chadema Ni hopeless wanavaa magwanda ya mgambo na kujiita makamanda wakati hata mgambo hawajakanyaga hawajui hata ABC za jeshi!! Wasamehe bure.Mambo ya Jeshi hufundishwa jeshini iwe mgambo,Jkt ,polisi, JWTZ nk sio jamii forums.Wasamehe bure waache waendelee na ubwege wao wa kujiita makamanda na kuvaa nguo za mgambo wakati mambo ya kijeshi wako zerocamouflaging
sasa chadema anaingiaje hapa kamanda?Chadema Ni hopeless wanavaa magwanda ya mgambo na kujiita makamanda wakati hata mgambo hawajakanyaga hawajui hata ABC za jeshi!! Wasamehe bure.Mambo ya Jeshi hufundishwa jeshini iwe mgambo,Jkt ,polisi, JWTZ nk sio jamii forums.Wasamehe bure waache waendelee na ubwege wao wa kujiita makamanda na kuvaa nguo za mgambo wakati mambo ya kijeshi wako zero
Psychotic??Schizophrenic , bipolar or lunatic?
Wanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
Hivi huyu na Gadafi nani aliwaletea maendeleo zaidi watu wake? Na nini kilimkuta kutoka kwa RAIA wake mwenyeweWavae wasivae WANANCHI wanahitaji maendeleo sio hizi hoja na maswali mfu.
Ngoja nikusaidie kitu, ukisoma sheria ya usalama wa Taifa ya Mwaka 1996 imeweka wazi kuwa watumishi wa Idara hiyo hawabanwi na sheria ya utumishi wa umma.Mtu mwenyewe umeshajiita zeroIQ , kuna nn tena hutaki hata kusoma katiba ya Tanzania kuhusu utumishi wa umma, ieleweke kua mlinzi Wa raisi anatambulika kisheria .
Quote hicho kifungu ukiweke hapa na ukihushishe na watumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa.Basically sheria haziruhusu taasis yoyote inauohusika na usalama kufangamana na chama chochote kile. Au upande wowote wa siasa.
Hata kama ni professional.. hii ni missconduct na poor approach.
Walinzi ni wanajeshi wa jeshi la ulinzi Tanzania hivyo ni watumishi wa umma na Rais anatakiwa alindwe hivyo.Wenzako wako ki professional, wewe unatema pumba. Hivi Rais angekuwa wa Chadema, na hao walinzi wakavaa jezi ya Chadema ungelalamika?
Wananchi wanapataje maendeleo katika hali hii ya matumizi mabaya kupindukia ya raslimali za ummaWavae wasivae WANANCHI wanahitaji maendeleo sio hizi hoja na maswali mfu.
Fuatilia kanuni za utumishi wa umma.Quote hicho kifungu ukiweke hapa na ukihushishe na watumishi wa Idara ya Usalama wa Taifa.
Hakuna ulazima juu ya hilo acheni kulazimisha uvunjaji taratibu na sheriaKuvaa nguo na kuwa mwanasiasa ni vitu tofauti. Yeye kama mlinzi wa karibu na Rais anatakiwa pia awe na camouflage nzuri nzuri. Sehemu ya camouflage ni pamoja na mavazi. Kuna walinzi wengine ambao watakuwa wamejichanganya na wajumbe wakiwa nao wamevalia vivyo hivyo ili kuficha identities zao; hiyo haiwafanyi kuwa wanasiasa.
Wapambe wa Rais si usalama wa taifa, ni wanajeshi.Ngoja nikusaidie kitu, ukisoma sheria ya usalama wa Taifa ya Mwaka 1996 imeweka wazi kuwa watumishi wa Idara hiyo hawabanwi na sheria ya utumishi wa umma.
Hivyo unapaswa kuelewa kwamba kutokana na nature ya majukumu yao (kama ulivyoambiwa hapo juu, watu hao wapo kila sehemu, ikiwemo kwenye hivyo vyama vyenu), isingewezekana wao kufanya kazi katika mazingira yanayofanana na watumishi wengine wa umma.
Ni akili ya kawaida tu inahitajika kuweza kuelewa haya mambo. Soma zaidi ili ujenge uwezo wa kujenga hoja kwenye majukwaa kama haya.
Lowasa akiwa chadema alibakia kuwa na yule Mlinzi wake wa Usalama na haikupata kuonekana kavaa nembo za chadema acheni kulazimisha uvunjaji sheria kwa vigezo hivyo vya kutengeneza kienyejiNgoja nikusaidie kitu, ukisoma sheria ya usalama wa Taifa ya Mwaka 1996 imeweka wazi kuwa watumishi wa Idara hiyo hawabanwi na sheria ya utumishi wa umma.
Hivyo unapaswa kuelewa kwamba kutokana na nature ya majukumu yao (kama ulivyoambiwa hapo juu, watu hao wapo kila sehemu, ikiwemo kwenye hivyo vyama vyenu), isingewezekana wao kufanya kazi katika mazingira yanayofanana na watumishi wengine wa umma.
Ni akili ya kawaida tu inahitajika kuweza kuelewa haya mambo. Soma zaidi ili ujenge uwezo wa kujenga hoja kwenye majukwaa kama haya.