Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Hivi kama angeenda msikitini, Rais akavaa kanzu na walinzi wake pia wakawa sare nae kuna tatizo?
Mie sioni tatizo hapo
Mie sioni tatizo hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huoni tatizo fatilia tu mjadala labda utaona.Hivi kama angeenda msikitini, rais akavaa kanzu na walinzi wake pia wakawa sare nae kuna tatizo?
Mie sioni tatizo hapo
Hili swala si lakushangilia tu nakusema hoyeee..Mkiambiwa TISS wengi wamechukuliwa UVCCM mnaona tunachuki na CCM.
Labda ndio camouflage
Chuki..!!!Hili si jambo geni, Mlinzi wa Raisi amekuwa akivaa nguo za ccm toka wakati wa kampeni 2015 kabla hata mjomba hajawa Raisi, ni chuki tu ulizonazo
Unatapika upumbavu,Wenzako wako ki professional, wewe unatema pumba. Hivi Rais angekuwa wa Chadema, na hao walinzi wakavaa jezi ya Chadema ungelalamika?
Wanalipwa nachama pesa inaingia serikaliniWale wafungwa NI wafanyakazi wa magereza....na tenda walipewa magereza.....
Mbona hushangai SUMA JKT kupewa tenda za ulinzi makao makuu ya CCM?!!!
TUNASUBIRI MAJIBU YA WAJUZI....................................................Wanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
Wewe wa wapi hata kocha wa timu pinzani anaangalia mechi ya mshindani wake ajayeChadema wanafuatilia mikutano ya ccm halafu unategemea tushindwe?
👊👊Wanalipwa nachama pesa inaingia serikalini
Umemaliza?Unatapika upumbavu,
Walinzi ni wa serikali siyo wa chama
Askari hawatakiwi kuwa na vyama.
Kuwa na akili japo kidogo
Mkuu ulirudia kusoma mara mbili kabla haujaandika haya maelezo? Humo kuna wakurugenzi, ma-DAS, waalimu, madaktari, wahadhiri, na wengine ambao ni watumishi wa umma lakini wanachama wa vyama vya siasa nao wamevaa sare za chama chao. Pia kuna watumishi wa umma waliokuwa upinzani wakavaa sare za chama chao.Mkuu uprofessional kwa ccm ni kwa watumishi wa umma kuvaa sare za vyama vya siasa? Jamani wenzetu huu ujinga mmeusomea wapi? This is unsual
Picha siwezi kuzipata kwa sasa kuitafuta katika mamia maelfu ya mapicha online si kazi rahisi, ila ilikuwa enzi za JK akiwa katika kampeni ya moja ya mikoa, mmoja wa walinzi wake alikua mwembamba hivi kama mmasai alikuwa amevaa jezi ya kijaniYawezekana kuna ukweli, unaonaje ukitupia picha ya aliyekuwa akimlinda Kikwete, Mkapa, Mwinyi au hata Nyerere akiwa na jezi za.CCM