Halafu unakuta huyo mvuvi nae anagongewa mkewe na muuza supuHakuna watu rahisi kulana Kama wanandoa yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu Ana watoto wawili na Tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe Ni dreva wa bajaji wakapata mtoto Sasa Jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki.imeniuma Sana kwa Kelli nawapa pole mlioa mnapigiwa Sana.Mnisamehe Kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli Kama mkeo Hana tabia hio Basi hongera kwa familia zenu.ila huo ndo ukweli wenyewe Mimi ni shahidi kabisa.
Kwanini kijana wa bajaj alioa single maza?Hakuna watu rahisi kulana Kama wanandoa yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu Ana watoto wawili na Tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe Ni dreva wa bajaji wakapata mtoto Sasa Jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki.imeniuma Sana kwa Kelli nawapa pole mlioa mnapigiwa Sana.Mnisamehe Kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli Kama mkeo Hana tabia hio Basi hongera kwa familia zenu.ila huo ndo ukweli wenyewe Mimi ni shahidi kabisa.
Mama D,duniani kuna fujo sana....
Ndoa ni mkataba wa rohoni, binadamu huwezi kumchunga wala kumrekebisha. Kikubwa ni kwenda na Mungu wako kwenye haya maamuzi na kufanya yanayostahili
Hapo utakuta dereva bajaji anayeongewa mkewe na mvuvi nae anagongana na mke wa mwenye bajaji, halafu unakuta mvuvi nae anagongewa mkewe na kondakta kondakta nae anagongewa na bodaboda
Mama D,
Hebu muulize "ILIKUAJE AKAOA SINGLE MAZA??""
#YNWA
Acheni kutuweka roho juu bana...Hakuna watu rahisi kulana Kama wanandoa yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu Ana watoto wawili na Tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe Ni dreva wa bajaji wakapata mtoto Sasa Jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki.imeniuma Sana kwa Kelli nawapa pole mlioa mnapigiwa Sana.Mnisamehe Kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli Kama mkeo Hana tabia hio Basi hongera kwa familia zenu.ila huo ndo ukweli wenyewe Mimi ni shahidi kabisa.
Wanawake ndivyo walivyo mkuu, wanarudisha fadhila kwa vitu vidogo vidogo sana ani[emoji23]Sasa kama unampa mkeo pesa ya kwenda sokoni kufanya maemezi.
Lkn boda anayempakia, kitendo cha kumpeleka bure na kumrudisha bure
Kinafanya boda apewe utamu
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] duuh kweli dunia ina mamboKwa Mwanamke kugongwa iwe mke wa mtu au sio mke wa mtu ni kawaida ingekuwa mwanamme ndio anagongwa hapo ungekuwa na hoja nzito.
Mwanamke ni kiumbe dhaifu kimwili, kiakili na kifkira.
Ukimtania yeye tayari ashahisi vingine
ukimsaidia tayari ashahisi vingine
Ukimsalimia kila siku tayari ashahisi vingine
ukimwangalia tayari ashahisi
Sio hawa tu hii ni toka wale wanawake waliokuwepo toka enzi za Eva, kabla ya ukoloni na baada ya ukoloni kwa hiyo ni nature yao tu, hakuna wa kubadilisha hili swala, tutaondoka duniani watakuja wengine watalalamika hivi hivi ila jibu halitapatikana hadi mwenyezi Mungu aamue vinginevyo
Wanagongwa .Wanawake ambao hawajaolewa hawagongwi sana mkuu?
[emoji28][emoji28][emoji28]Acheni kutuweka roho juu bana...
Ukerewe au MusomaHakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.
Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.
Ni mawazo ya kitoto tu..Hakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.
Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.