Mlio katika ndoa poleni, mnagongewa sana

wanapatikana wapi hawa waoga wa Mungu? bado wapo? sidhani....TAFUTA HELA
 
Hofu ya Mungu...wanagongwa tu
 
ili mradi kila mmoja afaidi neema ya dunia Hiyo ni nature kwenye ubora wake.
 
Wewe jamaa ni mtu wa ajabu sana, yaani ulichokiona kwa mtu mmoja umekitumia kuhukumu Wanawake wote?. Kwenye taratibu za research huwa kuna ishu ya Sample space na Replication,ndio watu huwezi kusema chochote lkn sio kwa kukutumia tu mmoja.
 
Cha msingi aje ameiosha tu basi
 
Kama unaogopa kugongewa basi USIOE bro, otherwise utakufa kwa presha siku sio zako.
 
Hapo ndio walishakosa akili
 
Wavulana wasijifariji maana hawana pesa za kutunza tusichana tuko kwenye umri wa show off matokeo yake wanaume wanawakula kwa vile wanapesa japo za kuwapa wakanunue kipstik
 
yani maisha ni ya ajabu sana yani mtu unakuta unakula mke wa mtu alafu na watu wanakula mke wako.
kiufupi mtu ka hana hofu ya Mungu ni sawa na mtu kujaribu kukinga maji kwa gunia
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hadithi za kwenye biblia na uhalisia wa maisha ya duniani ni vitu viwili tofauti
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hiyo chain ni hatari na hapo HIV itasambaa km moto nyikani..
 
Hiyo chain ni hatari na hapo HIV itasambaa km moto nyikani..

Wanasema siku hizi haitishi eti dawa zipo,
Tena unakuta mtu mzima kabisa na msomi mwenye uelewa mkubwa wa mambo lakini hataki kujua hayo na hana habareee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…