wacha maneno wewee, wote mnasemaga hivi hiviMpaka mwanamke anafikia stage ya kukubali kuw amke wa mtu inakuaje anakubali kuchezewa hekalu lake?
Kwangu naamini mwanamke aliyeolewa no matter what anapitia katika ndoa yake hapaswi kuchepuka. Biblia haiwasahii kunguni kabisa wanaume. Ni wanawake tu. Ni vyema tukajitambua thamani zetu. Na kama ndoa imeshindikana basi achaneni rasmi. Mwanamke mwili wako ni hekalu. Ilinde.
[emoji706][emoji706]wacha maneno wewee, wote mnasemaga hivi hivi
Watu wanajitoa ufahamu ila mtu aneasema Ukimwi haupo huyo nina mashaka km yupo salama.Wanasema siku hizi haitishi eti dawa zipo,
Tena unakuta mtu mzima kabisa na msomi mwenye uelewa mkubwa wa mambo lakini hataki kujua hayo na hana habareee
Hofu ya Mungu...wanagongwa tu
Naona umeamua kumsagia kunguni.Ni mawazo ya kitoto tu..
Hayo mambo yalikuepo tangu zamani, hata mama yako amegongwa sana na wanaume tofauti na baba yako na yawezekana mpaka huyo unayemwita baba yako sio baba yako.
Najua umeukuta msemo usemao kitanda hakizai haramu.. waliyajua haya. Ila kwakuwa ww ni mtoto ndio maana unashangaa leo.
Form six mnatabuHakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.
Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.
Acha wivu wewe mbona wewe unawanyandua wake za watuHakuna watu rahisi kulana kama wanandoa, yaani nimeshuhudia kwa macho yangu kabisa mke wa mtu ana watoto wawili na tena alikuwaga single mother akaolewa na mumewe ni dereva wa bajaji wakapata mtoto sasa jana nimeona akitoka guest house na jamaa fulani mvuvi wa samaki imeniuma sana kwa kweli nawapa pole mliooa mnapigiwa sana.
Mnisamehe kama nimekosea kusema haya ila kwa kweli kama mkeo hana tabia hio basi hongera kwa familia zenu ila huo ndo ukweli wenyewe mimi ni shahidi kabisa.
Wapo mkuu, bahati mbaya sana unakutanishwa na yule mwenye Tabia kama yako[emoji23]wanapatikana wapi hawa waoga wa Mungu? bado wapo? sidhani....TAFUTA HELA
Hao wanaigiza hofu ya Mungu na ndio maana wanagongwa mzee ππHofu ya Mungu...wanagongwa tu
Hii ndio point. Dela with what u can control. Mbususu ya mke ninyake na huwezi control kama vile yeye mke hawezi control mgegedo wako.Ukiwaza kugongewa, hautaoa. We tafuta pesa, waza kile unachoweza kuki control, vingine achana navyo,
Muuza supu samakiHalafu unakuta huyo mvuvi nae anagongewa mkewe na muuza supu
Mwanamke mwenye hofu ya Mungu anapatikana wapi maana wengi naowaona wana hofu ni wale ambao hawana mbele wala nyuma π π π no chura no flexAnhaa!....Ila ukioa mwanamke ambaye hana hofu ya Mungu basi ni rahisi mno Kuumia kila kukicha mkuu
Kama mwanamke wa kwanza(Hawa) ambaye ni mama wa wanawake na viumbe wote jamii ya wanadamu kadanganywa unafikiri hawa wengine itakuaje mkuu???
Kikubwa awe na hofu ya Mungu la sivyo lolote linaweza kutokea safarini
Kwahiyo umeamua kuja kujitangaza huku kisa Jana umeniona, ngoja nianze kufukuzia wa kwako sasaSio mvuvi mdogo hapana ni yule mwenye ngalawa zake tatu
Wapo kiongozi sema sasa kwa kutuliza kichwa na ukimpata usianze kumpekua sana maana mwishowe unachokitafuta kwa kumpekua utakipata tu kikubwa muamini halafu ishi tu sio kuanza kupekuana sana πMwanamke mwenye hofu ya Mungu anapatikana wapi maana wengi naowaona wana hofu ni wale ambao hawana mbele wala nyuma π π π no chura no flex
Demu anapigiwa na madume kila saa mbele yako huo ujasiri wa kuacha kumpekua unautoa wapi?Wapo kiongozi sema sasa kwa kutuliza kichwa na ukimpata usianze kumpekua sana maana mwishowe unachokitafuta kwa kumpekua utakipata tu kikubwa muamini halafu ishi tu sio kuanza kupekuana sana π