Mlio katika ndoa poleni, mnagongewa sana

Kwa hyo n mwendo wa kugongeana.
 
Kwa hyo n mwendo wa kugongeana.

Yaani huo ndio mwendo...

Wewe ukimgea mwenzio mke ujue na wewe unagongewa mkeo, na anaekugongea pia anagongewa mke wake

Hali ndio iko hivyo🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hapo kinachouma sio kutombewa tu ila kinachouma zaidi ni kutombewa na muuza samaki[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
" Nitakupa samaki unikubalieee" in Galatone voice. Hatari sana wazee hawa baadhi ya wanawake wasio waaminifu kwny ndoa zao.

Ndo maana unaambiwa kuna wanawake wa starehe na wanawake wa kujenga familia asa we kosea ufanye vice versa, utajuta maisha aisee.
 
Kwa hiyo mkuu na wewe unathibitisha kabisa unagongewa?
 
Umeandika kiroho sana, kiuhalisia na maisha ya sasa yalivyo ni tofauti kabisa. Wake za watu(baadhi) ni wanachezea kama kawaida.
 
Ni ukweli tu kuwa hao tunaowaita "wake za watu" baadhi yao kwa sasa ni wanachezea vibaya mno, kuna wakati nadhani hata singles wana afadhali katika hili, nashindwa kuelewa ni nini, stress za ndoa, tamaa za mali, kukosa kuridhishwa au matamanio ya kibinadamu. Kuna uwezekano wababa wanaolea damu zisizo zao wanaongezeka sana kizazi hiki coz baadhi ya hawa wake zetu wanachapika hakuna mfano.
 
Umeandika kiroho sana, kiuhalisia na maisha ya sasa yalivyo ni tofauti kabisa. Wake za watu(baadhi) ni wanachezea kama kawaida.
Dah, bora nife na nyeg* zangu tu mkuu. Tumepitia milima na mabonde. Tumeshakua wakubwa. Tunajua jema na baya. Basi tujilinde jamani. Kheee... unajua unapochepuka kwa wakati huo huwezi ona ubaya wake. Kuna muda unakuja kukaa ukifikiria unajikuta na majuto makuu. Kwanini yote hayo? Heshima zetu mbele ya jamii ndo kila kitu. Magonjwa mengi jamani.
 
Hakuna cha hofu ya mungu wala nini,kuna mama mchungaji huku anatafunwa ,omba upate mke anayejitambua sio mwenye hofu ya mungu
 
Hiyo mbona kawaida toka enzi na enzi. Tatizo siku hizi ndo wanaongoza kwa kupelekwa kwa mpalange
 
Wewe jamaa ni mtu wa ajabu sana, yaani ulichokiona kwa mtu mmoja umekitumia kuhukumu Wanawake wote?. Kwenye taratibu za research huwa kuna ishu ya Sample space na Replication,ndio watu huwezi kusema chochote lkn sio kwa kukutumia tu mmoja.
Mtatumia kila neno hapa,mara simple space,Repli....nini sijui,lakini ukweli ndio huo mtoa mada kauleta
 
Kama unachokiongea ndo unachokimaanisha bhac we n bonge la wife material ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…