Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Anataka kupata experience halisi ya wadau. Pia waseme wanaishi ulaya gani. Jukwaa kubwa hili kuna watu wanajifanya wapo US kumbe in usa river, ama wengine wapo hapo tandale. π π πSio kienyeji halisi kwa maana wanawalisha madawa sana na wao ndio wanzilishi wa kuku za kisasa so vitu vingi vyao sio original . Why unauliza si ugoogle
Kwamba kuku wa broiler ni artificial ama?Hata akili za kuvukia barabara hazikusaidii kukwambia kipi bora kati ya artificial and natural foods?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Kauli tata hii. Hebu iweke sawia.Kati kati wakisasa na wakienyeji
Aliekwambia kuku wa kizungu ni artificial ni nani? Unajua maana ya artificial?
Hiyo umeona kwenye kuku peke yake??Hadi makuku mataahira yanayokua kwa wiki 2 tu? Ndiyomaana Vijana siku hizi wanaota manyonyo, kuku mataahira ni sumu tupu, pia ni tasteless kabisa sababu ya midawa, kuwa makini usijizolee kansa zinazoepukika.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Nachojua mzungu ana hela nyingi na kama ni kula daima anapendelea kula vilivyo bora sijajua kwa maendeleo tulionayo hapa duniani kiasi cha kuanza kufuga broiler wa biashara na wanaliwa kwelikweli.
Nachojua hii teckonolojia ni ya kwao mataifa yaliyoendelea sasa swali ni je na wao wanawatafuna hawahawa broiler na je ulaya huko wanafuga pia wa kienyeji kama hawa wa kwetu.?
Kabisa, mimi nashindwaga kuwaelewa hawa wenetu!Hakuna uhusiano wowote wa kuku wa kisasa na vijana kuota manyonyo au kansa. Dawa za kuku ni dawa kama wewe unavyopatiwa chanjo au antibiotics ukiumwa, acha kusikiliza stori za watu wajinga wa mtaani na kwenye vijiwe vya kahawa.
Hiyo umeona kwenye kuku peke yake??
Watu mnakula soda, juice, maji haya mnaita maji safi na mavyakula kibao yaliyoongezewa preservatives alafu kuku ambaye amekuzwa kisasa unasema utapata cancer ?? Hii kauli ya kusema kuku wa kisasa wanamadhara mara nguvu za kiume sijaielewa mpaka sasa bado
Bila kuthibitisha kuwa huwa nahangaika na soda, juice, ni ubatili mtupu, iwe vipi nitambue kuku mataahira yasiyo na baba wala mama afu nishindwe kujua soda ni mrundikano wa sukari kali sana, presative chemical, flavor, color na maji? Pevuka kiakili wewe.Hiyo umeona kwenye kuku peke yake??
Watu mnakula soda, juice, maji haya mnaita maji safi na mavyakula kibao yaliyoongezewa preservatives alafu kuku ambaye amekuzwa kisasa unasema utapata cancer ?? Hii kauli ya kusema kuku wa kisasa wanamadhara mara nguvu za kiume sijaielewa mpaka sasa bado
Wewe baki na ujinga wako wa kijima tu, hakuna kuku asiye na baba na mama.Bila kuthibitisha kuwa huwa nahangaika na soda, juice, ni ubatili mtupu, iwe vipi nitambue kuku mataahira yasiyo na baba wala mama afu nishindwe kujua soda ni mrundikano wa sukari kali sana, presative chemical, flavor, color na maji? Pevuka kiakili wewe.
Sio kienyeji halisi kwa maana wanawalisha madawa sana na wao ndio wanzilishi wa kuku za kisasa so vitu vingi vyao sio original . Why unauliza si ugoogle
Usitake kusema hununui hata mafuta ya kula mkuu, huezi kuepuka hivi vitu kama hutonunua directly basi utakula kwenye bidhaa nyingineBila kuthibitisha kuwa huwa nahangaika na soda, juice, ni ubatili mtupu, iwe vipi nitambue kuku mataahira yasiyo na baba wala mama afu nishindwe kujua soda ni mrundikano wa sukari kali sana, presative chemical, flavor, color na maji? Pevuka kiakili wewe.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Wahaya wanaingiaje hapo mkuu ππππNilijaribu mara mbili kula kuku wa kuchoma Ulaya nilishindwa!
Kuku Wana maji utafikiri Wahaya!
habari yako urassaHapa kuna kienyeji na kisasa
Hapa Los Angeles wapo tunawala sanaππ
Ulikuwa wapi siku zote kujua kuwa mi ni mjinga?Wewe baki na ujinga wako wa kijima tu, hakuna kuku asiye na baba na mama.