Point yangu ipo kwenye uhitaji ikiwa tutasema hizo hela tulizotoa ni msaada kwa Turkey, maana wenye kupinga hili suala mnawaona hawana ubinaadamu kwamba wanapinga kuwasaidia waliyopata majanga.Nani kasema Hana huhitaji? Kwani matajiri huwa hawapewi salamu za rambirambi? Au umewahi ona harusi ya tajiri watu hawatoi zawadi kisa ana pesa?
It's economic diplomacy maana Turkey ni business partner. Haya mambo kama ni sukuma gang huwezi elewa.
Wakati tunafikiria kuwapa hizo hela tuliona kuwa ndio msaada waliyokuwa wakiuhitaji? Au tumetoa tu ili tuonekane nasi tulichangia?are you serious? Tetemeko lote lile unasema hawana uhitaji wa msaada?
Wakati tunafikiria kuwapa hizo hela tuliona kuwa ndio msaada waliyokuwa wakiuhitaji? Au tumetoa tu ili tuonekane nasi tulichangia?
Wakati mnamkosoa JK kuwa nchi ilichezewa, tumecheleweshwa n.k hamkujua ni hakua madarakani kipindi mnamtukana awamu ya 5??Unakosoa maiti na kuwaacha waliyohai?
Ndio zinauhitaji otherwise wasingezipokea.Point yangu ipo kwenye uhitaji ikiwa tutasema hizo hela tulizotoa ni msaada kwa Turkey, maana wenye kupinga hili suala mnawaona hawana ubinaadamu kwamba wanapinga kuwasaidia waliyopata majanga.
Sasa hayo ya zawadi ni tofauti.
Hizo ni zako wewe,nimemkataa shetani jumla.Kwamba umeacha uzinzi,ulevi,wizi,ushirikina n.k?
Kwa sababu JPM si mtendaji tena matendo yake yamekoma hana analotenda tena, sasa ukisema unamkosoa haileti maana. Kinachobaki ni lawama ila wa kukosolewa ni Samia maana ndio mwenye kuweza kutekeleza hayo anayokosolewa.Wakati mnamkosoa JK kuwa nchi ilichezewa, tumecheleweshwa n.k hamkujua ni hakua madarakani kipindi mnamtukana awamu ya 5??
Sisi JPM tumemkosoa alivyokua madarakani kma tulivyomkosoa JK na Mkapa sasa how comes Leo tuonekane ndio tumelipwa sijui tunamchafua??
Sukuma gang mna tatizo
Inajulikana shetani anashawishi maovu sasa ndio ututajie maovu gani umeacha kwa kumkataa shetani? Au hujui unachokiongea? Kwamba unasema umemkataa shetani halafu bado unaendelea na uzinzi wako uliyokubuhu?Hizo ni zako wewe,nimemkataa shetani jumla.
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Hata Samia akigawa pesa Kwa wananchi. ..bado atatukanwa Tu na wafuasi wa lile kundi ...
Hata akigawa vipande vya Dhahabu Kwa kila Mtanzania bado lile kundi litamtukana tu
Hawa watanzania wa humu mitandaoni ndio wako hivyo na hata hivyo serikali yenyewe haijui inachofanya.Sometimes naona viongozi wapo right. Ukifanya kazi huku unasikiliza kelele za watanzania unapoteza nguvu zako bure. Watanzania ni lile kundi ambalo hawajui wanataka nini
Yaani upeleke chakula kwa tajiri wakati mwenyewe Kula yako inakushinda,,?Hivi nikuulize; Maskini hatakiwi kutoa rambirambi kwenye msiba wa tajiri??
Halafu tushakuwa donor country jamani au mshashau...Lakini mbona hata Mwendazake alitoa msaada huko Msumbiji ?
Ila msivyo na akili bado mkawachaguaBukoba siku ya Tetemeko serikali ilikataa kutoa msaada kwa wahanga I felt the pain, nadhani utu ni muhimu.
Mtumikie Mungu kwanza hivyo vingine ni mapito tu.
Yaani upeleke chakula kwa tajiri wakati mwenyewe Kula yako inakushinda,,?
Kweli Trump alikuwa sahihi.
Sent from my 2201117SG using JamiiForums mobile app
Ukiwa kwenye kundi la Walamba asali au ukiwa Mtoto wa Mama huwezi ona hoja ya wanaolalamika juu ya hili, hoja si kwamba kosa Serikali yetu kuisaidia Uturuki au Malawi katika majanga yaliyowakabili hoja ya msingi hata nchi yetu ina janga la mfumuko wa Bei hasa kwa bidhaa muhimu kama chakula hivyo ilitakiwa ifanyike jitihada kama hizo lakini kinachoonekana jitihada sasa ni kuwauzia Wananchi mahindi kwa bei ya kilogramu moja shilingi 780 hadi 850 kutegemeana na eneo.Kuna watu wana makasiriko hadi mambo kama haya!! Sasa kuna ubaya gani kwa nchi kusaidia wahanga wa tetemeko? Hivi tumekuwa wabinafsi kiasi gani? Tunasahau kuwa majanga ya asili hayana mwenyewe na hayazuiliki kirahisi.
Tunasahau kuwa leo kwao kesho kwetu, tusipojitoa kwa kidogo chetu siku yatatukumba ni nani atatukimbilia? Famasiala nini? Usiombe yakukute.
Mtu analeta hoja za kijinga eti tunatoa msaada wakati vitu vimepanda bei, hizo bilioni 2.3 ndo zinawahenyesha na kuwatoa watu mapovu hivi? Bilioni 2.3 zinaweza vipi kupunguza bei ya unga au vitu kupanda kama sio roho mbaya tu?
Tumezoea kupewapewa tu, na sisi siku moja tukijitoa sio mbaya!! Tatizo bongo wengi hawajui diplomasia ya kiuchumi, Samia sio hayati mwendazake yule ambaye hela za tetemeko rambirambi alikula yeye na genge lake bila aibu. Alikuwa rais wa hovyo sana na hakuwa na hata na chembe ya aibu usoni na moyoni mwake.
Tujikumbushe [emoji1313][emoji1313][emoji1313]: "Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kufanya jitihada za kujijengea nyumba zao wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali. Mkuu wa Mkoa amedai kuwa jumla ya fedha zilizochangwa ni zaidi ya Bilioni 5.4 na kusema kuwa zimeelekezwa katika kukarabati miundombinu ya taasisi za Serikali na kuwataka wananchi wanaosubiri msaada wa serikali kusubiri mchango itakayotolewa na wadau walioahidi kuwasaidia waathirika moja kwa moja."Serikali: Fedha za Maafa ya Tetemeko Kagera zimeelekezwa kwenye Taasisi za Umma
Wakuu, Kuna habari picha ambayo inasambaa mitandaoni (hususani Whatsapp) yenye maneno kuwa.. "Serikali imewaomba wakazi wa Kagera walioathirika na tetemeko kujijengea wenyewe kwani michango iliyochangwa na wadau imeelekezwa kwenye taasisi za serikali." Picha hiyo ni ya kutoka ukurasa wa...www.jamiiforums.com
Uturuki wametusaidia mangapi nchi yetu tokea uhuru? Yaani tatizo ni hiko kibilioni 2.5 ndo tunang'aka kiasi hiki angetoa bilioni 100 jee??
Kuna watu hawafurahii utawala na mageuzi aliyoyafanya Rais Samia hususan maridhiano na kurudisha maridhiano na demokrasia iliyokuwa imeporwa na dikteta katili wa awamu ya tano. Hawa Sukumagang ndio wanaopinga kila kitu. Mimi naona kama wamenunishwa na maridhiano kati ya Chadema na Mama, basi wahame nchi.
Unawajua Watanzania wote wewe? Ulishawahi kufanya utafiti juu ya hili unaloliamini?Sometimes naona viongozi wapo right. Ukifanya kazi huku unasikiliza kelele za watanzania unapoteza nguvu zako bure. Watanzania ni lile kundi ambalo hawajui wanataka nini
Atumie mbinu gani kugundua kama thread hizo ni za Wapinzani na si Sukuma gang kama inavyoaminika?Basi itakua ulikua sukuma gang maana majority ya waTanzania wanajua Chadema ni chama Cha upinzani and obviously watapinga sera mbovu za CCM.
Wanaitwa hivyo sababu ukisoma post zao humu walikua wanamsifia sana JPM akiwa Rais mfano takwimu za TRA, ujenzi wa miradi n.k ila mambo hayo hayo yakifanywa na Samia utasikia takwimu za uongo, mara sijui miradi unapigwa Hela hata kama umemalizika!! Hiyo double standard Yao ndio imetufanya tuseme wanapinga Kila kitu.
Sio kweli, tatizo wapinzani wakikosoa utawala wa JPM haraka haraka mnasema wamelamba asali as if mmeambiwa yeyote anayemchukia JPM basi anampenda Samia!! What the hell?? Msifungamanishe haya mambo otherwise tafuta thread zote zinazoongelea mikopo, bando, gharama za maisha, na teuzi uniambie wapi Kuna mpinzani kamsifia Mama Samia ukipata hata moja najiondoa JF.