Anakuona MalayaNajua hilo kuna kipindi nilipuuza tuu. Ila si unajua yule ni mtoto wangu, sasa mahusiano naye yamekufa kabisa kwa sasa.
Nawaza sana sijui ananionaje mimi mama yake.
Dogo huwezi mtofautisha na ule msemo usemao "tajiri hanuniwi" mpaka hapo dogo hana cha kupoteza kwa mama, keshajivua gamba ndo maana hata gari kaamua kulisusa coz kuendelea kuliendesha ni sawa na kuhalalisha dhambi ya mama kwa baba , maisha hua mepesi na simple kwa mtu asietumia vema ubongo,tulia fanya kama hakijatokea kitu na ujiandae tu kisaikolojia kwa chochote kile kitakachotokea,, halafu huyo mtoto unavyomnyenyekea ndo unampa kichwa aendelee kukunyanyasa
Wanawake wajinga sana aiseeMie mother alitengana na Baba badaye akawa na mchepuko wake anakuja nae nyumbani-nilikuwa naona aibu sana mbele za watu.
Asubuhi jamaa anatoka chumbani kwa mother,nikimueleza mother hata aelewi anasema pale ni kwake na hatuwezi kumpangia.
Asee nilikata mawasiliano na mother karibu miezi 5 sikuwahi kumpigia hata simu-simu anapiga yeye na akipiga namsalimu shikamoo-imeisha na mie na wadogo zangu 3 wote hatukukanyaga nyumbani kwa miezi 5.
Badaye alijirudi mwenyewe,ndipo tukaanza kuwasiliana na kwenda nyumbani.
Tena sanaWanawake wajinga sana aisee
Unamshauri aonje sumu?Mwambie ukweli mumeo kuhusu hilo tukio ili ajue namna ya kuwapatanisha wewe na mwanao.
Wanawake Hawa ,vyovyote iwavyo ,kubwa hapa mazingira nikwamba mama alidata na mbungisa la msela (linaonekana nalo singofather)Kinachomuumiza dogo ni kuwa baba yake ni responsible father. Anahudumia kila kitu na anajali welfare ya familia pamoja na kumuonesha mama yao highest degree of love and affection.
Laiti kama baba angekuwa hajali familia na irresponsible haoneshi upendo kwa mama na watoto hapo dogo asingemaindi kabisa. Tena angeona mama amefanya vile kama kutafta relief tu of which ingekuwa valid kulingana na uwajibikaji wa baba kwa familia.
Naona umeweka picha ya mzee wa official accident π€£π€£π€£Tena sana
Mama la Wizarani
Yani Lishangazi kama Lishangazi
Oya Wanangu hii mijimama ni mitamu kinoma
Unalikula na linapokea mikito Kwa miguno na milio ya kwenda.
Mi Nimependa sana ulivojitanabaisha kuwa unapenda sana kuchepuka Maaanina nahamia Wizarani kwako.
Ukitekeleza hili jua ndo imekwisha, weka uso mdudu na dogo mwache ajishongondoe.Kwa kuwa kama kweli umeacha acha maisha yaendelee yalivyo na usipoteze muda kumbembeleza utashtukiwa zaidiHapo cha kufanya tafuta watu wenye hekima au wa kanisani, mwaga ukweli kama ulivyomwaga hapo, wakae waongee na mumeo naye ajue. Usubirie kitakachotokea, mume akikubali kukusamehe basi mtamjumuisha na mtoto kwenye mapatano hayo, nadhani hii itasaidia kuliko kukaa nayo moyoni, huenda ukaibua makubwa zaidi
Hapo mtoto pia umeshamuatjiri kisaikolojia.
Dada angu Mimi hapa Mtaalamia mwenyeweSmart Gang[emoji52][emoji52][emoji52][emoji52][emoji52]