Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Kwamba kijana wako kipindi anakufumania mama yake unataka kuliwa uroda alikuwa na miaka 16. Alikuwa kashakuwa na akili kidogo ndo maana alijua kabsa mama yake akili hana.

Miaka 26 sasa kashakomaa akili ila kashajua kwel mama yake akili hana. Hapo ulivojisifu ni kawaida yako kucheat basi inaonesha kweli kabsa akili huna.

Ushauri sasa: Huyo kijana wako ni rangi halisi ya mumeo kitabia kwamba hawezi kuvumilia ujinga kama huo.
Sasa siku akijua hilo hata uwe ushazeeka na mvi kichwani lazma akupe talaka tu. Wee kaa nalo hilo hata usisikilize maneno ya kwenda kushirikisha wazee wa kanisa kikubwa wewe ni kutubu dhambi zako kimya kimya na kumrudia mungu wako.

Kijana wako kwa umri wake hawezi kwenda kuzungumza lolote kwa baba yake anaonekana kijana ni muerevu kama baba yake ila cha kushukuru hana akili kama zako. Kama una mtoto wa kike mungu amjaalie asichukue akili zako.

Tubu dhambi hizo mungu atakusamehe
 
Mwanao bado anakulia timing I'll siku Moja umezingue Kisha avujishe mkanda mzima kwa dingi Yake aisee utaona Cha moto Sana nakwambia.

Nakushauri ishi na mwanao vizuri usimzingue hata kidogo.Zidi kumbembeleza kwa vijizawadi ataendelea kuuchuna tu.

Afu kubwa zaidi Ni uwache kuendekeza zinaa utaleta magonjwa ndani.Tulia kwa mumeo na uyavumilie mapungufu yake maisha yaende.
 
Wewe maza ni boflo kabisa yani unajivunia kabisa eti ni kawaida yako kumcheat mumeo, fvvvvvvvck

Unadhani hajui kuwa wewe ni mama yake adi umkumbushie Hilo Kila mara? Ulishakosea lakini vitu unavyozidi kuvifanya ndio unakosea zaidi(huko kumnunua kwa kumpa hela na gari). Kwa uthubutu huo si ajabu ukiambiwa ulale na mwanao ili yaishe ushindwi.

Mimi nikiwa form | kama sikosei nilishuhudia sister angu niliemuamini Sana akipigwa deep kiss na mhuni Fulani hivi, nilijiskia vibaya mno nkawa sitaki hata kupishana nae koridoni. Sipati picha hayo maumivu ya huyo kijana wako kwa mama yake mzazi.
 
Mbona km hii story inaendana kabisa kimazingira na ninayoyaona nyumbani kwangu???? Au wewe ndiye mke wangu???
 
Ni seroius ishu jamani sio utani.
pole sana Mama.

mwanao anakuchukia kwa miaka kumi, inaonekana haukukaa nae na kuongea kinaga ubaga kwenye swala la kuchepuka kwako na ulikuwa unaharibu zaidi kwa kumlaghahi na vizawadi na pesa baada ya kumuonesha unajuta makosa.

mwanao ana miaka 26 sasa, kaa naye wewe na yeye tu muombe msahama na muoneshe kwamba bado unajutia ukiweza kulia, lia zile uongo na kweli na makamasi yakutoke. usimpe vizawadi vya kuficha uozo ulioufanya.

then, mwambie matokeo endapo mume wako akijua ni ndoa inaweza kuvunjika na familia kutengana kwahiyo achague yeye akusamehe au akae na kiyongo mpaka baba astukie mchezo.


mkiendelea kukaa kimya hivyo wewe na mwanao ipo siku mwanao atamwambia baba yake.

Usithubutu kuhusisha mwazee wa kanisa au kuweka kikao na mchungaji gani sijui. Ni wewe na mwanao.
 
Ulishakosea ishi nalo hivyo hivyo mwache kijana wako aendelee na maisha yake usijishushe Sana, wewe bado ni mzazi, haitabadirika hata kama angekukuta uchi. kuwa sirious acha kumdekeza unajipendekeza mpaka unapitiliza. Na usimwambie mtu yeyote , viongozi wengi wa makanisa siku hizo ni vimeo.kama umeacha na umejuta basi enjoy life.
 
Kwaiyo mkuu ulipokea rushwa[emoji4]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…