Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Hizi thread za kuwacheat waume zenu mkikamatwa mnakuja kulia lia humu mbona nyingi sana siku hizi? Ni kama mko proud na mnachokifanya sio?

Kiukweli pambaneni na hali zenu, binafsi sinaga ushauri kwenye mambo kama haya.
Jorani, binafsi nimejikuta naumia kana kwamba mimi ndio muhusika.
Anyway, kwakifupi huyu mama amemuaribu mtoto wake kwa mikono yake. Na hata ikitokea mume wake akija kujua kamwe bado mtoto hatoweza kumsamehe mama yake kwa upuuzi huu.
Katika jambo ambalo watu wengi hawalijui ni kwamba mtoto wa kiume anawivu sana kwa mama yake, hata mama yake anapo olewa na mwnaume ambae sio baba yake bado kijana hua anaumia kwa mwanaume mwingune ambae sio baba yake kumkula mama yake.
Huyu mama ameolewa, lakini ni malaya kama malaya wengine tu.
 
Hapo cha kufanya tafuta watu wenye hekima au wa kanisani, mwaga ukweli kama ulivyomwaga hapo, wakae waongee na mumeo naye ajue. Usubirie kitakachotokea, mume akikubali kukusamehe basi mtamjumuisha na mtoto kwenye mapatano hayo, nadhani hii itasaidia kuliko kukaa nayo moyoni, huenda ukaibua makubwa zaidi
Hapo mtoto pia umeshamuatjiri kisaikolojia.
Weeee thubutu, usijaribu dadaangu, huyo mtoto ulishamuomba msamaha sana....kama hataki we acha tu

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Habari za jioni.
Mimi ni mama mtu mzima nina watoto 4 kwa mume wangu wa ndoa kabisa.

Niende kwenye mada.
Miaka 10 iliyopita nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume(my first born). Sikuamini kilichotokea nilishituka sana kwa hile tukio lilotokea.

Mimi nafanya kazi kwenye wizara moja hivi nipo hapa dsm mpaka sasa. Miaka iliyopita niliingia mahusiano na Baba mmoja hivi anafanya kazi wizara nyingine tofauti na yetu nilikutananae kwenye kikao vya ofisini.
Mimi ni kawaida yangu kumcheat mume wangu, japo hajawahi kunitilia hofu kama nimewahi kumcheat maana mara nyingi navizia akiwa safarini ndo ninafanya hivyo. Maana ninajua kumcheta mwanaume ni hatari sana kwani wanaume wanawivu sana na hasira, kama mume wangu namfahamu ni mtu mwenye hasira sana , so nilijitahidi asijue kabisa.

Sasa kuna siku mimi nilienda kwenye duka langu maana kwenye duka langu kabla jioni ijafika lazima niwepo ndo nifunge na wafanyakazi waondoke pale. Sasa kipindi tunamaliza yule Baba alinipigia simu nikamwambia nipo sehemu falani , nikamuelekeza akafika na alipofika wafanya kazi wangu nao wakawa wanaondoka mda huo huo. Mimi nikamkaribisha mchepuka ndani , sasa kwenye duka **** ofisi kwa ndani si nikaenda nae mapaka kwenye ofisi katika kuongea kama 20 minutes, kwa sababu ni mchepuka tukajisahau akaanza kunishika na kuanza kukiss each other katika kunishikashika nikajisahau.

Kumbe mtoto wangu wa kwanza alikuja pale dukani aliingia baada ya kuona mlango wa flemu moja ujarudishiwa mpaka chini kabisa so akajua kuna mtu ndani.
Aliingia moja kwa moja mpaka ofisini kwenye ndani ya duka, na mlango wa ofisi sikufunga , nilishituka sana mpaka kumtuja (mmiliki wa vyote) ile siku nilitetemeka pale pale , isitoshe mapaja yangu yote yalikuwa nje , japo nashukuru hatukufika ile stage ya kusexy.
Nilitetemeka sana na moyo kwenda mbio kwani yule ni mtoto wangu wa kumzaa. Alituangalia afu akaondoka, mchepuko akaniulize yule ni nani nikamwambia mwanangu, yeye mwenyewe alishituka. Akanishahauri kuwa tulia tuu tuongee tuyamalize nikamwambia subiri niende home kwani namjua atakuwa anaenda home. Akili iliruka siku ile. Nikafunga duka.

Nilikimbilia nyumbani ili kumuwahi mtoto maana Baba yake alikuwa Bagamoyo anarudi kesho , nilifikili ataenda kupiga simu ya nyumbani na kumwambia mume wangu, nilipofika home nilimkuta hajafika bado nilimsubiri alilofika. Nilimuita nje nikaongea nae sana. Nikajua yameisha.
Kesho yake nikamwambia unataka nini nikununulie akasema hataki chochote .

Yule Baba akanipigia simu tukaongea sana akaniambia njoo uchukue pesa tumpe mtoto atajamaza tuu , yule Baba alinila 1,000,000 nimpe mtoto wangu niliasiseme nilimpa zile pesa nikajua yameisha.

Sasa kadri siku zinazidi kwenda mtoto wangu alikuwa aninichukia sana kuna kipindi alikuwa hata kunisalimia hataki kabisa. Nikimtuma hataki kabisa hata kwenda. Ila mimi niliewa kuwa ni lile tukio.
Kuna siku alinisikia namuita mume wangu kipenzi, kijana wangu si akasikia aliniangalia sana.
Mpaka mimi nikashituka, na nikajua yeye jinsi anavyo jisikia.

Kuna kipindi nililazwa hakuja hata kuniangali hospital.
Mara nyingi tukiwa pekeetu nakuwa nakaa nae naongea nae namwambia mimi ni mama yako naomba unisahame nimemkosea Baba yako, nimeacha sijarudia tena. Ila hanijibu chochote ananyamaza tuu. Najitahidi kumfanyia mambo mazuri ilimradi nirudishe mahusiano na mtoto wangu. Lakini inashidikana.
Kuna siku namwambia unapenda nikufanyia nini mwanangu hanasema tuu mimi nipo sawa mama.
Tangu lile tukio niliacha kucheat.

Ki ukweli ananichukia sana mimi mama yake uwa nakaa ne mara nyingi naongea nae ila inashindikiana.
Mwaka juzi nilimuona kuna rafiki yake anagari , na mimi nikasema ngoja nimnunulia kagari mtoto wangu , kwa vile mimi nimeajiriwa na nina mshahara mzuri, nilijikusanya na kuchukua pesa baadhi kwenye biashara zetu na mume wangu, mwaka jana mwezi wa 8 nikaenda mlimani pale nikanunua gari , nikamfanyia kama surprise hivi alisema tuu Asante akachukua ,
Ila nilishangaa aliendesha kama 2 weeks baadae alilirudisha nyumbani na kuweka funguo mezani ajariendesha mpaka leo, mume aliniuliza gari vipi nikazuga zuga tuu.
Nilishangaa sana nilimuuliza kuwa unajua mimi ni mama yako nimekosa ila kumbuka mimi ni mama yako. Yeye sasa anaumri wa miaka 26.

Sasa wiki 2 zilizopita mume wangu aliniambia kuwa ninaona wewe na first born hamna mahusiano mazuri nawafatilia mda mrefu sana sijajua shida ni nini. Nimeshituka sana kwani sitaki mume wangu hajue hii ishu japo ilitokea 10 years ago ila baada ya kujiambia hivyo niliishiwa nguvu kabisa. Juzi nilijaribu kumuuita mtoto wangu niongee nae lakini still bado anahasira nami.

SASA JAMANI Naomba msaada wenu kimawazo nideal vipi na hii kesi. Najua hawezi kumwambia Baba yake ila na mimi nikikaa kinywa , mume wangu atajua tuu **** something tunamficha maana hata juzi katoka kusema shida yenu ni nini nimemrukaruka tuu.
Mtoto wangu hataki kabisa kunisikiliza.

Nilitaka kushirikisha kiongozi wa dini mmoja ni mwanamke , tumuite ili tuongee nae ila naona haitakuwa siri tena inatavuja tuu.
Msaada wa mawazo . Nahitaji.
Hua nasema siku zote hapa kua

#Uzinzi haujawahi kumuacha mtu Salama#
 
daaaah huyo Jamaa ni mhuni, yaani alikuwa anawafundisha...? Kumbe alikuwa anamtaka dada yako...😃😃😁 Mambo ya kizungu hayo mkuu....
Mhuni sana nilivyokuwa dogo nlikua najua waseminari hawawaki tamaa na vile Kila asubuhi alikua anaenda ibada nikawa namuona mtakatifu huyu hapa, kumbe kujitolea kwake kufundisha kulikuwa na sababu. Sijui kilitokea nini lakin baada ya ile siku sikuwahi kumuona tena.
 
Mimi nimeweza kutunza siri ili nisivunje ndoa ya wazazi mpaka Maza amefariki na bdo dingi hajui kama kuna mtoto co wake, shida ni kwamba saizi baba halali wa mtoto anamtaka mwanae. Dogo ako na 19yrs nw. Mzee hajui lolote maskini.
Dah pole sana mkuu
 
Jorani, binafsi nimejikuta naumia kana kwamba mimi ndio muhusika.
Anyway, kwakifupi huyu mama amemuaribu mtoto wake kwa mikono yake. Na hata ikitokea mume wake akija kujua kamwe bado mtoto hatoweza kumsamehe mama yake kwa upuuzi huu.
Katika jambo ambalo watu wengi hawalijui ni kwamba mtoto wa kiume anawivu sana kwa mama yake, hata mama yake anapo olewa na mwnaume ambae sio baba yake bado kijana hua anaumia kwa mwanaume mwingune ambae sio baba yake kumkula mama yake.
Huyu mama ameolewa, lakini ni malaya kama malaya wengine tu.
Sahihi jirani, kuna mtu alisema wanawake hawawezi kumlea mtoto wa kiume vizuri, it makes sense now…….. malezi ni pamoja na kuelewa nature ya kiumbe na kufahamu athari za kutokuitimiliza asili hiyo.

Huenda ni kweli wanawake wengi hatufahamu hili la watoto kuona wivu kwa niaba ya wazazi wao. Hata nikiachika nikaolewa na ME mwingine mtoto wangu wa kiume hatopenda ng’o! Wakumbusheni wake zenu hili jambo.

Anyways… Miss u jirani.
 
Screenshot_20230529-230432_(1).png
 
Hizi thread za kuwacheat waume zenu mkikamatwa mnakuja kulia lia humu mbona nyingi sana siku hizi? Ni kama mko proud na mnachokifanya sio?

Kiukweli pambaneni na hali zenu, binafsi sinaga ushauri kwenye mambo kama haya.
Leo naona ni mwendo wa wanaume kupigwa matukio tuu.
Aisee hizi mbususu za wake zetu kwa kweli ni mwendo wakushare tuu. Hatari!
 
Mhuni sana nilivyokuwa dogo nlikua najua waseminari hawawaki tamaa na vile Kila asubuhi alikua anaenda ibada nikawa namuona mtakatifu huyu hapa, kumbe kujitolea kwake kufundisha kulikuwa na sababu. Sijui kilitokea nini lakin baada ya ile siku sikuwahi kumuona tena.
Kumbe ulikuwa bado young, na mapenzi unafahamu...?? 😊😁😃 Wewe ni hatari....
 
Back
Top Bottom