Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Ushauri hapa ni kufanya kosa jingine !

Firstborn kaoa!!?kama kaoa mtafutie mchepuko piss kali sana ratibu KILA kitu HALAFU tafuta namna ajue unajua!!

Labda hapo KIDOGO mta share ujinga wenu KWA pamoja!!
 
Umemuathiri mtoto kisaikolojia. Kwanza kaona mapaja ya mama yake, hii inavuruga akili za watoto wa kiume, pili anaweza kuanza kuhisi labda yeye au ndugu zake siyo watoto wa baba yake.

Tatu ataogopa hata wanawake, hatomuamini mkewe kirahisi na atahisi kumbe wanawake ni walewale.

Cha msingi tubu kwa Mwenyezi Mungu, uache dhambi na umuombe akunyooshee mambo yako.
 
Wewe mwanao kishaathirika kisaikolojia hivyo mtafute mwanacycology yeyote mhusishe na hii inshu Kisha mwanao aitwe na huyo mwanacycology nakujaribu kumweka sawa tofauti na hapo unachokitafuta utakipata maana chuki imeathiri ubongo wake tyr
 
Hapo cha kufanya tafuta watu wenye hekima au wa kanisani, mwaga ukweli kama ulivyomwaga hapo, wakae waongee na mumeo naye ajue. Usubirie kitakachotokea, mume akikubali kukusamehe basi mtamjumuisha na mtoto kwenye mapatano hayo, nadhani hii itasaidia kuliko kukaa nayo moyoni, huenda ukaibua makubwa zaidi
Hapo mtoto pia umeshamuatjiri kisaikolojia.
Hell NO!!
 
Wewe maza ni boflo kabisa yani unajivunia kabisa eti ni kawaida yako kumcheat mumeo, fvvvvvvvck

Unadhani hajui kuwa wewe ni mama yake adi umkumbushie Hilo Kila mara? Ulishakosea lakini vitu unavyozidi kuvifanya ndio unakosea zaidi(huko kumnunua kwa kumpa hela na gari). Kwa uthubutu huo si ajabu ukiambiwa ulale na mwanao ili yaishe ushindwi.

Mimi nikiwa form | kama sikosei nilishuhudia sister angu niliemuamini Sana akipigwa deep kiss na mhuni Fulani hivi, nilijiskia vibaya mno nkawa sitaki hata kupishana nae koridoni. Sipati picha hayo maumivu ya huyo kijana wako kwa mama yake mzazi.
Mkuu una wivu sana
Mimi dogo nlimuona kamuweka Dp mchezaji mmoja wa team ya ligi kuu alafu mbaya zaidi huyo boya namjua ila nadhan hajui kama yule dem ni mdogo angu wa mwisho
Roho iliniuma mbaya mbov nikampigia simu akamtoa mwisho wa mwezi anaomba ada ya chuo almanusra nsimpe sheenz
 
Back
Top Bottom