Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Hao wa utu na utulivu ndio wabaya sasa.. Maana kwa unavyomchukulia siku ukigundua what's behind her inaweza ikakufika parapanda
Hahah najua na inaumiza haswa heri udate na Malaya anaetoka na wanaume 70 unafahamu kulkon Huyo unayeamini ana utulivu kukusaliti na mtu mmoja..
En I pray kwa sir GOD nfahamu hili nifanye maamuzi
 
Nakuonea huruma ila nashindwa cha kukushauri maana hata ningekua huyo mtoto wako pia nisingekusamehe.
 
Ulishamwathiri mtoto wako kisaikologia na hatokuja kusahau kabisa! Fikiria kama aliuona uchi wako! Itamchukua muda mrefu kukusamehe.
Kwa kuwa maji yakimwagika hayazoleki la kwanza tubu dhambi hiyo na kuijutia mbele za Mungu ili Mungu akusaidie.Mwone Mchungaji au viongozi wa Kanisa waangalie jinsi ya kufanya.
 
Hapo cha kufanya tafuta watu wenye hekima au wa kanisani, mwaga ukweli kama ulivyomwaga hapo, wakae waongee na mumeo naye ajue. Usubirie kitakachotokea, mume akikubali kukusamehe basi mtamjumuisha na mtoto kwenye mapatano hayo, nadhani hii itasaidia kuliko kukaa nayo moyoni, huenda ukaibua makubwa zaidi
Hapo mtoto pia umeshamuathiri kisaikolojia.
Mungu akubariki kwa ushauri huu. ni vyema kutatua tatizo kuliko kukaa nalo ndani mwishowe liwaumize nyote kwa aina tofauti tofauti. Mimi nashauri tafuta busara hekima na kulikiri kosa na likiisha ni kuomba rehema za Mungu moyo utuwame mahala pamoja usitange tange na ulimwengu tena, pole sana nakuombea kheri upite vyema ktk hilo.
 
Ulishamwathiri mtoto wako kisaikologia na hatokuja kusahau kabisa! Fikiria kama aliuona uchi wako! Itamchukua muda mrefu kukusamehe.
Kwa kuwa maji yakimwagika hayazoleki la kwanza tubu dhambi hiyo na kuijutia mbele za Mungu ili Mungu akusaidie.Mwone Mchungaji au viongozi wa Kanisa waangalie jinsi ya kufanya.
Nahao viongozi wa Dini wajitahidi pia kusema na huyo kijana maana mioyo ya wanadamu hubeba vitu vinavyowezekana kuvishusha kama hekima na busara itatumika.
 
Habari za jioni.

Mimi ni mama mtu mzima nina watoto 4 kwa mume wangu wa ndoa kabisa.

Niende kwenye mada.

Miaka 10 iliyopita nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume (my first born). Sikuamini kilichotokea nilishituka sana kwa hile tukio lilotokea.

Mimi nafanya kazi kwenye wizara moja hivi nipo hapa dsm mpaka sasa. Miaka iliyopita niliingia mahusiano na Baba mmoja hivi anafanya kazi wizara nyingine tofauti na yetu, nilikutana naye kwenye kikao vya ofisini.

Mimi ni kawaida yangu kumcheat mume wangu, japo hajawahi kunitilia hofu kama nimewahi kumcheat maana mara nyingi navizia akiwa safarini ndo ninafanya hivyo. Maana ninajua kumcheta mwanaume ni hatari sana kwani wanaume wana wivu sana na hasira, kama mume wangu namfahamu ni mtu mwenye hasira sana, so nilijitahidi asijue kabisa.

Sasa kuna siku mimi nilienda kwenye duka langu maana kwenye duka langu kabla jioni ijafika lazima niwepo ndo nifunge na wafanyakazi waondoke pale. Sasa kipindi tunamaliza yule Baba alinipigia simu nikamwambia nipo sehemu falani, nikamuelekeza akafika na alipofika wafanya kazi wangu nao wakawa wanaondoka muda huo huo. Mimi nikamkaribisha mchepuka ndani, sasa kwenye duka kuna ofisi kwa ndani si nikaenda nae mapaka kwenye ofisi katika kuongea kama 20 minutes, kwa sababu ni mchepuka tukajisahau akaanza kunishika na kuanza kukiss each other katika kunishikashika nikajisahau.

Kumbe mtoto wangu wa kwanza alikuja pale dukani aliingia baada ya kuona mlango wa flemu moja haujarudishiwa mpaka chini kabisa, so akajua kuna mtu ndani. Aliingia moja kwa moja mpaka ofisini kwenye ndani ya duka, na mlango wa ofisi sikufunga, nilishituka sana mpaka kumtaja (mmiliki wa vyote) ile siku nilitetemeka pale pale, isitoshe mapaja yangu yote yalikuwa nje, japo nashukuru hatukufika ile stage ya kusexy.

Nilitetemeka sana na moyo kwenda mbio kwani yule ni mtoto wangu wa kumzaa. Alituangalia afu akaondoka, mchepuko akaniulize yule ni nani nikamwambia mwanangu, yeye mwenyewe alishituka. Akanishahauri kuwa tulia tuu tuongee tuyamalize nikamwambia subiri niende home kwani namjua atakuwa anaenda home. Akili iliruka siku ile. Nikafunga duka.

Nilikimbilia nyumbani ili kumuwahi mtoto maana Baba yake alikuwa Bagamoyo anarudi kesho, nilifikili ataenda kupiga simu ya nyumbani na kumwambia mume wangu, nilipofika home nilimkuta hajafika bado nilimsubiri alilofika. Nilimuita nje nikaongea nae sana. Nikajua yameisha. Kesho yake nikamwambia unataka nini nikununulie akasema hataki chochote.

Yule Baba akanipigia simu tukaongea sana akaniambia njoo uchukue pesa tumpe mtoto atanyamaza tuu. Yule Baba alinila 1,000,000 nimpe mtoto wangu ili asiseme, nilimpa zile pesa nikajua yameisha.

Sasa kadri siku zinazidi kwenda mtoto wangu alikuwa ananichukia, sana kuna kipindi alikuwa hata kunisalimia hataki kabisa. Nikimtuma hataki kabisa hata kwenda. Ila mimi niliewa kuwa ni lile tukio. Kuna siku alinisikia namuita mume wangu kipenzi, kijana wangu si akasikia aliniangalia sana. Mpaka mimi nikashituka, na nikajua yeye jinsi anavyo jisikia.

Kuna kipindi nililazwa hakuja hata kuniangali hospital. Mara nyingi tukiwa peke yetu nakuwa nakaa nae naongea nae namwambia mimi ni mama yako naomba unisamehe nimemkosea Baba yako, nimeacha sijarudia tena. Ila hanijibu chochote ananyamaza tuu. Najitahidi kumfanyia mambo mazuri ilimradi nirudishe mahusiano na mtoto wangu. Lakini inashidikana. Kuna siku namwambia unapenda nikufanyia nini mwanangu anasema tuu mimi nipo sawa mama. Tangu lile tukio niliacha kucheat.

Ki ukweli ananichukia sana mimi mama yake, huwa nakaa ne mara nyingi naongea nae ila inashindikiana.
Mwaka juzi nilimuona kuna rafiki yake ana gari na mimi nikasema ngoja nimnunulia kagari mtoto wangu. Kwa vile mimi nimeajiriwa na nina mshahara mzuri, nilijikusanya na kuchukua pesa baadhi kwenye biashara zetu na mume wangu, mwaka jana mwezi wa 8 nikaenda mlimani pale nikanunua gari, nikamfanyia kama surprise hivi alisema tuu asante akachukua.

Ila nilishangaa aliendesha kama 2 weeks baadae alilirudisha nyumbani na kuweka funguo mezani, hajaliendesha mpaka leo, mume aliniuliza gari vipi nikazuga zuga tu. Nilishangaa sana nilimuuliza kuwa unajua mimi ni mama yako nimekosa ila kumbuka mimi ni mama yako. Yeye sasa ana umri wa miaka 26.

Sasa wiki 2 zilizopita mume wangu aliniambia kuwa ninaona wewe na first born hamna mahusiano mazuri nawafatilia muda mrefu sana sijajua shida ni nini. Nimeshituka sana kwani sitaki mume wangu ajue hii ishu japo ilitokea 10 years ago ila baada ya kujiambia hivyo niliishiwa nguvu kabisa. Juzi nilijaribu kumuuita mtoto wangu niongee nae lakini still bado ana hasira nami.

Sasa jamani naomba msaada wenu kimawazo nideal vipi na hii kesi. Najua hawezi kumwambia Baba yake ila na mimi nikikaa kimya , mume wangu atajua tuu kuna something tunamficha maana hata juzi katoka kusema shida yenu ni nini nimemrukaruka tu. Mtoto wangu hataki kabisa kunisikiliza.

Nilitaka kushirikisha kiongozi wa dini mmoja ni mwanamke, tumuite ili tuongee nae ila naona haitakuwa siri tena inatavuja tu.

Msaada wa mawazo nahitaji.
Yaani mama wa umri zaidi ya 50yrs unakuwa malaya??
 
Tukio limetokea 10 yrs ago mtoto bado anakuvimbia na wewe unamnyenyekea, kwanza 26 anafanya nini hapo nyumbani atoke akajitegemee mkubwa sana huyo.

Cha kukushauri mwambie mumeo kilichotokea, jiandae na kuvunjika kwa ndoa, upo njema anza Maisha kivyako.
 
Sina chakushauri mshirikishe Mungu , kabisa , maana kwanza lazima wanawake wawe na michepuko Yako ila wewe ni mama mtu mzima sana usingefanya dukani nadhani hivyo tu.

Maana kama una mchepuko mwenye hela lazima uwe na backup kwenye maisha haya ngoja aoe atajua tu .

Wala usimshirikishe mtu wanafiki Kaa kimya alisema basi ndio imefikia hiyo siku . Wala usiwaze wewe ni mama na unalea asikuzingue Bora unge fumaniwa na age yake au Mario Sasa nikifaru why achana naye mpende , mjali basi .. ....

Asikuzingue hujafanya powa ila ndio maisha atake asitake . Backups lazima unadhani akihitaji kazi ni nani atampa kama sio michepuko ya maana mjini hapa . Halafu anaanza majungu mie Wala nisingehangaika na Maza , maana najua hapa backup ziwepo , akae Kwa kutulia usiwaze usiwe karibu naye gari uza weka hizo hela
Sikuwa na yule baba kwa sababu ya pesa.
 
Tukio limetokea 10 yrs ago mtoto bado anakuvimbia na wewe unamnyenyekea, kwanza 26 anafanya nini hapo nyumbani atoke akajitegemee mkubwa sana huyo.

Cha kukushauri mwambie mumeo kilichotokea, jiandae na kuvunjika kwa ndoa, upo njema anza Maisha kivyako.
Hii ngumu mwenzangu. Hali niliyonayo sasa achatuuu
 
pole sana Mama.

mwanao anakuchukia kwa miaka kumi, inaonekana haukukaa nae na kuongea kinaga ubaga kwenye swala la kuchepuka kwako na ulikuwa unaharibu zaidi kwa kumlaghahi na vizawadi na pesa baada ya kumuonesha unajuta makosa.

mwanao ana miaka 26 sasa, kaa naye wewe na yeye tu muombe msahama na muoneshe kwamba bado unajutia ukiweza kulia, lia zile uongo na kweli na makamasi yakutoke. usimpe vizawadi vya kuficha uozo ulioufanya.

then, mwambie matokeo endapo mume wako akijua ni ndoa inaweza kuvunjika na familia kutengana kwahiyo achague yeye akusamehe au akae na kiyongo mpaka baba astukie mchezo.


mkiendelea kukaa kimya hivyo wewe na mwanao ipo siku mwanao atamwambia baba yake.

Usithubutu kuhusisha mwazee wa kanisa au kuweka kikao na mchungaji gani sijui. Ni wewe na mwanao.
Kukaanae nimekaanae sana
 
Ulishakosea ishi nalo hivyo hivyo mwache kijana wako aendelee na maisha yake usijishushe Sana, wewe bado ni mzazi, haitabadirika hata kama angekukuta uchi. kuwa sirious acha kumdekeza unajipendekeza mpaka unapitiliza. Na usimwambie mtu yeyote , viongozi wengi wa makanisa siku hizo ni vimeo.kama umeacha na umejuta basi enjoy life.
Ishu ni mume wangu Ashtabula na wasiwasi kuwa mimi na mwanangu mahusiano sio mazuri , atataka kujua ni shida.
 
Habari za jioni.

Mimi ni mama mtu mzima nina watoto 4 kwa mume wangu wa ndoa kabisa.

Niende kwenye mada.

Miaka 10 iliyopita nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume (my first born). Sikuamini kilichotokea nilishituka sana kwa hile tukio lilotokea.

Mimi nafanya kazi kwenye wizara moja hivi nipo hapa dsm mpaka sasa. Miaka iliyopita niliingia mahusiano na Baba mmoja hivi anafanya kazi wizara nyingine tofauti na yetu, nilikutana naye kwenye kikao vya ofisini.

Mimi ni kawaida yangu kumcheat mume wangu, japo hajawahi kunitilia hofu kama nimewahi kumcheat maana mara nyingi navizia akiwa safarini ndo ninafanya hivyo. Maana ninajua kumcheta mwanaume ni hatari sana kwani wanaume wana wivu sana na hasira, kama mume wangu namfahamu ni mtu mwenye hasira sana, so nilijitahidi asijue kabisa.

Sasa kuna siku mimi nilienda kwenye duka langu maana kwenye duka langu kabla jioni ijafika lazima niwepo ndo nifunge na wafanyakazi waondoke pale. Sasa kipindi tunamaliza yule Baba alinipigia simu nikamwambia nipo sehemu falani, nikamuelekeza akafika na alipofika wafanya kazi wangu nao wakawa wanaondoka muda huo huo. Mimi nikamkaribisha mchepuka ndani, sasa kwenye duka kuna ofisi kwa ndani si nikaenda nae mapaka kwenye ofisi katika kuongea kama 20 minutes, kwa sababu ni mchepuka tukajisahau akaanza kunishika na kuanza kukiss each other katika kunishikashika nikajisahau.

Kumbe mtoto wangu wa kwanza alikuja pale dukani aliingia baada ya kuona mlango wa flemu moja haujarudishiwa mpaka chini kabisa, so akajua kuna mtu ndani. Aliingia moja kwa moja mpaka ofisini kwenye ndani ya duka, na mlango wa ofisi sikufunga, nilishituka sana mpaka kumtaja (mmiliki wa vyote) ile siku nilitetemeka pale pale, isitoshe mapaja yangu yote yalikuwa nje, japo nashukuru hatukufika ile stage ya kusexy.

Nilitetemeka sana na moyo kwenda mbio kwani yule ni mtoto wangu wa kumzaa. Alituangalia afu akaondoka, mchepuko akaniulize yule ni nani nikamwambia mwanangu, yeye mwenyewe alishituka. Akanishahauri kuwa tulia tuu tuongee tuyamalize nikamwambia subiri niende home kwani namjua atakuwa anaenda home. Akili iliruka siku ile. Nikafunga duka.

Nilikimbilia nyumbani ili kumuwahi mtoto maana Baba yake alikuwa Bagamoyo anarudi kesho, nilifikili ataenda kupiga simu ya nyumbani na kumwambia mume wangu, nilipofika home nilimkuta hajafika bado nilimsubiri alilofika. Nilimuita nje nikaongea nae sana. Nikajua yameisha. Kesho yake nikamwambia unataka nini nikununulie akasema hataki chochote.

Yule Baba akanipigia simu tukaongea sana akaniambia njoo uchukue pesa tumpe mtoto atanyamaza tuu. Yule Baba alinila 1,000,000 nimpe mtoto wangu ili asiseme, nilimpa zile pesa nikajua yameisha.

Sasa kadri siku zinazidi kwenda mtoto wangu alikuwa ananichukia, sana kuna kipindi alikuwa hata kunisalimia hataki kabisa. Nikimtuma hataki kabisa hata kwenda. Ila mimi niliewa kuwa ni lile tukio. Kuna siku alinisikia namuita mume wangu kipenzi, kijana wangu si akasikia aliniangalia sana. Mpaka mimi nikashituka, na nikajua yeye jinsi anavyo jisikia.

Kuna kipindi nililazwa hakuja hata kuniangali hospital. Mara nyingi tukiwa peke yetu nakuwa nakaa nae naongea nae namwambia mimi ni mama yako naomba unisamehe nimemkosea Baba yako, nimeacha sijarudia tena. Ila hanijibu chochote ananyamaza tuu. Najitahidi kumfanyia mambo mazuri ilimradi nirudishe mahusiano na mtoto wangu. Lakini inashidikana. Kuna siku namwambia unapenda nikufanyia nini mwanangu anasema tuu mimi nipo sawa mama. Tangu lile tukio niliacha kucheat.

Ki ukweli ananichukia sana mimi mama yake, huwa nakaa ne mara nyingi naongea nae ila inashindikiana.
Mwaka juzi nilimuona kuna rafiki yake ana gari na mimi nikasema ngoja nimnunulia kagari mtoto wangu. Kwa vile mimi nimeajiriwa na nina mshahara mzuri, nilijikusanya na kuchukua pesa baadhi kwenye biashara zetu na mume wangu, mwaka jana mwezi wa 8 nikaenda mlimani pale nikanunua gari, nikamfanyia kama surprise hivi alisema tuu asante akachukua.

Ila nilishangaa aliendesha kama 2 weeks baadae alilirudisha nyumbani na kuweka funguo mezani, hajaliendesha mpaka leo, mume aliniuliza gari vipi nikazuga zuga tu. Nilishangaa sana nilimuuliza kuwa unajua mimi ni mama yako nimekosa ila kumbuka mimi ni mama yako. Yeye sasa ana umri wa miaka 26.

Sasa wiki 2 zilizopita mume wangu aliniambia kuwa ninaona wewe na first born hamna mahusiano mazuri nawafatilia muda mrefu sana sijajua shida ni nini. Nimeshituka sana kwani sitaki mume wangu ajue hii ishu japo ilitokea 10 years ago ila baada ya kujiambia hivyo niliishiwa nguvu kabisa. Juzi nilijaribu kumuuita mtoto wangu niongee nae lakini still bado ana hasira nami.

Sasa jamani naomba msaada wenu kimawazo nideal vipi na hii kesi. Najua hawezi kumwambia Baba yake ila na mimi nikikaa kimya , mume wangu atajua tuu kuna something tunamficha maana hata juzi katoka kusema shida yenu ni nini nimemrukaruka tu. Mtoto wangu hataki kabisa kunisikiliza.

Nilitaka kushirikisha kiongozi wa dini mmoja ni mwanamke, tumuite ili tuongee nae ila naona haitakuwa siri tena inatavuja tu.

Msaada wa

Kwanza pole .... Kumwambia mshua sina hakika ila jeraha alilonalo ni kubwa sana maana cjajua uhusiano wake ma baba upoje ..... kama wew ni mtu wa dini jaribu kutumia vifungu vya biblia mweleze jishushe tafta auting naye zungumza naye kwa kina maana amesha kuwa mtu mzima .... naona ameweka jeraha kubwa sana moyoni kwa siku za usoni
 
Hapo cha kufanya tafuta watu wenye hekima au wa kanisani, mwaga ukweli kama ulivyomwaga hapo, wakae waongee na mumeo naye ajue. Usubirie kitakachotokea, mume akikubali kukusamehe basi mtamjumuisha na mtoto kwenye mapatano hayo, nadhani hii itasaidia kuliko kukaa nayo moyoni, huenda ukaibua makubwa zaidi
Hapo mtoto pia umeshamuathiri kisaikolojia.
Inamana ata tangaza kanisa mambo kama haya hayata leta picha nzuri
 
Back
Top Bottom