Hiv ni kwmb njaa imekua kali mpk watu mnaleta hasira zetu za maisha magumu kwny uzi ambao unahitaji ushauri kuokoa familia ya mtu..
Kila mtu anapast yake naye huyu mama kakili kuwa na iyo past ya kumcheat mme wake na hayuko huko tena,sasa kwann usitumie uhuru wa kuandika umu kushauri kuliko kutukana acting like you're a perfect human
Tafuteni pesa msiwachukie wanaowazid maisha
Ndo mana me naamini mtu mwny njaa sio wa kuamini ushauri wao,japo umetukana ila hata ungeshaur na uhakika ungeshauri ujinga,watu mnaingia JF na hamjala ndo matokeo yake haya, kuona mtu yuko wizarani mnashusha hasira zenu
Sawa mkuu ulieshiba..
MAana kuna muda mahususi wa kufungua tumbo kama duka au sio?
Lets get to the point, mama huyu ni mtu mzima. Kitendo alichofanya ni cha aibu sana kwa jamii na kwake pia.
Unaeza sema ilikua ni manyege, lakini mkuu ukisoma story yake she was missing nothing from her husband. Hata kama aliamua kuchepuka (na sio mara moja), ni ujinga uliokithiri kufanya mapenz sehem ya biashara. Kqa uwezo wake na mwenzake kifedha kulikua na ugumu gani kutafta eneo la faragha?
Hakuna aibu kama kufumaniwa na mwanao wa kumzaa. Hakuna kitu utamueleza aone ni sawa.
Na jambo la kijinga zaidi ni kujaribu kuununua msamaha wa mtoto.. uliskia wapi? (In bweges voice).
Tuwe wakweli tu, there are consequences to our actions, n huezi ku sugar coat kitu kama hiki .
Sio sawa kutafta cheap popularity kwa kujarib kuonyesha mambo kama haya ni sawa. Tunatengeneza kizazi kibovu kwa kukubaliana na vitu kama hivi.
Swala alilofanya ni ujinga uliokithiri and there is no way ya kusema tofauti.
And also, this is a free forum, kila mtu ana uhuru wa kuongea mawazo yake na hayaendeshwi na njaa kama unavodhani wewe.
Stay woke my nigga.