Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

kama sio chai.piga kimya tu.acha kumshobokea huyo dogo.unampa bichwa.ila umalaya acha dada
 
Mimi ni kawaida yangu kumcheat mume wangu, japo hajawahi kunitilia hofu kama nimewahi kumcheat maana mara nyingi navizia akiwa safarini ndo ninafanya hivyo. Maana ninajua kumcheta mwanaume ni hatari sana kwani wanaume wana wivu sana na hasira, kama mume wangu namfahamu ni mtu mwenye hasira sana, so nilijitahidi asijue kabisa.
Aisee, una ujasiri sana

Anyway, Huyo mtoto alishuhudia hilo tukio akiwa mdogo kwa hiyo naweza kusema limempa trauma ambayo amekua nayo, anahitaji msaada wa kisaikolojia pengine kuna namna alichukulia hilo tukio inamwathiri hadi leo au amejenga imaginations ambazo hazifutiki
 
kosa lako lilikuwa kutumia nguvu mtoto akusamehe au muelewana tena huyo ndio mzuri hajawa mnafiki kwako wala kwa baba yake vinginevyo mngerekebisha na mzee angejua ndio ungekuwa balaa kwa wote ww na mwanao mwanao amekusadia kukaa mbali na maujinga Yako ww muheshimu kwa Hilo unavyotaka awe ni kuwa mwanaume mjinga mtoto wa kiume anayejitambua na anatajia kuwa baba kesho hawezi kumsaliti baba yake kijinga kwa makosa ya mama yake
@startermama firstborn , Chukua huu ushauri kama ulivyo.
 
Kiukweli hata ningekua ni mm iyo asee ni ngumu kumeza maisha yangu yote,tena km unavyosema ilitokea miaka 10 iliyopita kwamaana wakati jamaa amekutawanya mapaja dogo alikua 16yrs na ulishindwa kumsahaulisha sembuse leo kawa mtu mzima,kwan uyo dg alikua anasoma kayumba nn ,at 26yrs kamaliza chuo ama cos inavyoonekana uyo dg ni wakshua na km alisoma bas kamaliza chuo tayar km yupo nyumbani at 26 sio sawa mpelekeni ulaya uko akaongeze elimu akirud atakua na mwanamke wake tayar akajitegemee
 
You are cheating and proud. Eti, huwa nina kawaida ya kumcheat mume wangu. Nafanya hivyo akisafiri.

Kuna wanawake wapumbavu mno. Wewe ukiwemo.

Anyway, dogo atakurudia endapo tu atapata wa kumuangushia hilo zigo. Ni mzito mno kuubeba, ila anapaswa mtu mwingine ndiye amuapproach na kumueleza. 26 years si haba, ni mtu mzima tayari.

Tafuta mwanaume wa maana, aongee naye. Dogo akiongea atatua hilo zigo na maisha yataendelea.

Unavyonidai kumuambia umeacha huku huenda anaona nyendo zako, anasema Hiiiiiiiii (in Magu's voice).
Bro, acha personal attack instead shauri,tunaambiana kila siku apa tuyaongee tunayopitia tusikae nayo bcos of mental illness watu wanajiua na wengne vitu vya ajabu vinavyocost maisha ya watu wengne

Nawashangaaga sana viumbe nyuma ya ID fake mnavyorukia comment section kutukana
 
Kama watu wote wa wizarani wanaandika kindezi kama wewe, bas ndo maana hii nchi inaliwa kiboya.
Subiri siku yako mumeo akiwa anakukata mapanga af dogo kashika miguu ili usikimbie.
Faken!
Hiv ni kwmb njaa imekua kali mpk watu mnaleta hasira zetu za maisha magumu kwny uzi ambao unahitaji ushauri kuokoa familia ya mtu..
Kila mtu anapast yake naye huyu mama kakili kuwa na iyo past ya kumcheat mme wake na hayuko huko tena,sasa kwann usitumie uhuru wa kuandika umu kushauri kuliko kutukana acting like you're a perfect human

Tafuteni pesa msiwachukie wanaowazid maisha
Ndo mana me naamini mtu mwny njaa sio wa kuamini ushauri wao,japo umetukana ila hata ungeshaur na uhakika ungeshauri ujinga,watu mnaingia JF na hamjala ndo matokeo yake haya, kuona mtu yuko wizarani mnashusha hasira zenu
 
Jf watu Wana Id 30 tupoteze muda tu tuwashauri

Afu id mpya unakuta dume linatuchora tu hapa
I thought tunaangalia content inasema nn, what's the difference ya mtu mwny ID mia ww mwny ID moja na wote mnatumia fake IDS,we deal na context ya thread acheni ujuaji..

Afu kuna haka katabia kakupenda kulazimishana jinsia ya mtu ambae humfahamu, Yaan mtu hata kushaur huwez ulichokiona ww ni kumbadilisha jinsia mwandishi
 
Hiv ni kwmb njaa imekua kali mpk watu mnaleta hasira zetu za maisha magumu kwny uzi ambao unahitaji ushauri kuokoa familia ya mtu..
Kila mtu anapast yake naye huyu mama kakili kuwa na iyo past ya kumcheat mme wake na hayuko huko tena,sasa kwann usitumie uhuru wa kuandika umu kushauri kuliko kutukana acting like you're a perfect human

Tafuteni pesa msiwachukie wanaowazid maisha
Ndo mana me naamini mtu mwny njaa sio wa kuamini ushauri wao,japo umetukana ila hata ungeshaur na uhakika ungeshauri ujinga,watu mnaingia JF na hamjala ndo matokeo yake haya, kuona mtu yuko wizarani mnashusha hasira zenu
Sawa mkuu ulieshiba..
MAana kuna muda mahususi wa kufungua tumbo kama duka au sio?
Lets get to the point, mama huyu ni mtu mzima. Kitendo alichofanya ni cha aibu sana kwa jamii na kwake pia.
Unaeza sema ilikua ni manyege, lakini mkuu ukisoma story yake she was missing nothing from her husband. Hata kama aliamua kuchepuka (na sio mara moja), ni ujinga uliokithiri kufanya mapenz sehem ya biashara. Kqa uwezo wake na mwenzake kifedha kulikua na ugumu gani kutafta eneo la faragha?
Hakuna aibu kama kufumaniwa na mwanao wa kumzaa. Hakuna kitu utamueleza aone ni sawa.
Na jambo la kijinga zaidi ni kujaribu kuununua msamaha wa mtoto.. uliskia wapi? (In bweges voice).
Tuwe wakweli tu, there are consequences to our actions, n huezi ku sugar coat kitu kama hiki .
Sio sawa kutafta cheap popularity kwa kujarib kuonyesha mambo kama haya ni sawa. Tunatengeneza kizazi kibovu kwa kukubaliana na vitu kama hivi.
Swala alilofanya ni ujinga uliokithiri and there is no way ya kusema tofauti.
And also, this is a free forum, kila mtu ana uhuru wa kuongea mawazo yake na hayaendeshwi na njaa kama unavodhani wewe.
Stay woke my nigga.
 
Back
Top Bottom