Mlioko Uingereza, msaidieni huyu mama kufahamu wanawe walipo

Zote kheri hizo.

Vyuo vitano na hiki kimoja, vipi bora?:



Kumbuka hao wote ni wanaume, kondoo na mchungaji wake!
Hawa watu kama FaizaFoxy muwe mnawasamehe watakuwa na stress sana za maisha.kwa akili kama hizi si ajabu ukasikia siku moja kajilipua.
 
Hawa watu kama FaizaFoxy muwe mnawasamehe watakuwa na stress sana za maisha.kwa akili kama hizi si ajabu ukasikia siku moja kajilipua.


Hapo hakuna stress, ukini beep nnakupigia.

Salama yako usini beep. Kumbuka hilo.
 
Wacha biashara, nimetotoa. Wewe umewahi kutotoa watoto?
Hii mada ni very sensitive. Lakini mtu kama FFOxy analeta mambo ya udini na mambo ya kitoto. Utajiheshimu lini faiza?? Utawaheshimu lini binadamu wenzio? Una hisa jamii forum??? Ukinijibu nitakutukana pm maana unakela sana@pistmshai
Huyu mwanamke huyu, bado kidogo atapewa bun
 
kinachoudhi ni pale kulawitiana kukifanywa na wa dini yako ni sawa

sijui shule uliyosoma ulikwenda kosomea ujinga?
 


Hahahahaha, mchungaji ni wa dini ipi?
 
Lol. Dah
 
Hawa watu kama FaizaFoxy muwe mnawasamehe watakuwa na stress sana za maisha.kwa akili kama hizi si ajabu ukasikia siku moja kajilipua.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu umeongea fact......
 
Hii mada ni very sensitive. Lakini mtu kama FFOxy analeta mambo ya udini na mambo ya kitoto. Utajiheshimu lini faiza?? Utawaheshimu lini binadamu wenzio? Una hisa jamii forum??? Ukinijibu nitakutukana pm maana unakela sana@pistmshai
Anatamani dunia nzima wangekua waislamu ila ndo hivo haiwezekani ataendelea kubwabwaja kila siku mpk anakufa..... Kila.mtu na anachokiamini
 
Cha msingi wawe hai. Kupatikana ni rahisi..
 
Aise inasikitisha sana duuu Mungu amsaidie
Kama hii mitoto imekaa miaka yote hii na haiuluzii datails za wazazi wao basi mama mjane ajiandae...,kwa majibu yote
 
Pole zake huyo mama...huwezi kufanya biashara ya watoto....such is a harmful thing to do and it haunts big time
Nimesoma huko juu kuwa walipatikana...rudia kusoma huu uzi kuna mahali kuna taarifa za kupatikana kwao wakiwa salama ,tumshukuru Mungu
 
Tunamshukuru Mungu sana asante
 
Asante kwa kutuelewesha na kuwaelewesha wakosoaji muda wote mpaka wengine tunaogopa kuanzisha Uzi sababu ya uoga wa kukosolewa
 

Ni habari nzuri kuskia kwamba wamepatikana. lakini ninasikitika kwamba hadi sasa hivi March 2022 niko ofisi moja arusha na mama wa huyo binti na binti hajawasiliana na mzazi wake bado, ushauri wenye tija tafadhali kwa ajili ya kumsaidia huyu mama angalau apate kuwasiliana na binti yake. Grace aliyetoa update nilimuandikia kule michuzi lakini hajajibu bado.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…