Mliokulia kijijini poleni sana, mnakula vyakula duni sana

Mliokulia kijijini poleni sana, mnakula vyakula duni sana

Na vijijini wanategemea pesa kutoka mjini kununua vyakula vyao. Pia uzuri wa mjini kila aina ya vyakula vinakuwepo kwa bei nzuri ila kuna vijiji nyama, karanga, samaki ni anasa na vinapatikana kwa anasa.
Hata vijiji vyenye "neema" vipo vingi sana ambavyo utapiamlo umekithiri hasa sehemu za Iringa na Mbeya.
Mijini wanategemea chakula kitoke vijijini wanunue.
Katika vijiji vyenye njaa ni kweli ulichosema. Ila vijiji vyenye neema ya mvua si kweli.
 
Mtoa post amekopi tuu story ya UMUGHAKA khs vyakula alivyokua akivitaja huko kwa kina Monica
 
Kwangu ndio vyakula vyangu hivyo kuku wa kienyeji,karanga,alizeti,viazi vitamu,korosho,mboga za majani nk vinalimwa hapo hapo nyumbani kifupi nakula vyakula vya asili.
Ila changamoto ni pombe tu pombe siwezi kuacha abadani
 
Na vijijini wanategemea pesa kutoka mjini kununua vyakula vyao. Pia uzuri wa mjini kila aina ya vyakula vinakuwepo kwa bei nzuri ila kuna vijiji nyama, karanga, samaki ni anasa na vinapatikana kwa anasa.
Hata vijiji vyenye "neema" vipo vingi sana ambavyo utapiamlo umekithiri hasa sehemu za Iringa na Mbeya.


Hivi tukisema mjini tunazungumzia wapi? Maana ukiacha dar es salaam Maeneo mengine ni mji mkubwa sehemu ndogo kisha vijiji vya kutosha vinavyojishughulisha na kilimo,uvuvi na ufugaji.

Sasa kama upo sahihi basi tuseme Tz kuna utapiamlo nchi nzima kasoro dar.
 
Hivi tukisema mjini tunazungumzia wapi? Maana ukiacha dar es salaam Maeneo mengine ni mji mkubwa sehemu ndogo kisha vijiji vya kutosha vinavyojishughulisha na kilimo,uvuvi na ufugaji.

Sasa kama upo sahihi basi tuseme Tz kuna utapiamlo nchi nzima kasoro dar.
Mjini ni sehemu ambayo watu hawategwmei kilimo katika kujipatia kipato chao
 
Kupika esp mboga kunaharibu nutrients. Kuchemsha ndo sahihi.
Unadhani watu wa kijijini wanapika michemsho sababu ya uelewa wao?hawajui kupika,jaribu kuwapikia kimjini mjini kwa material yao hayohayo utaona wanajiramba
 
Pole tukupe wewe,

Asaubuhi hii nakunywa zangu uji dona safi[emoji39],dona mahindi safi tuliyoyalima wenyewe

Maziwa mazito na viazi vitamu plus mboga za majani mchemsho,tunalima wenyewe,

Mchana, ugali dona hapa nawaza nikamate kuku au dagaa wa bich plus mboga za majanii[emoji8]

Usiku hapa..........,

Karibu kijijini.
 
Ni kudra za mwenyezi Mungu tu kuwa bado mnaishi. Niko kijiji fulani sitataja mkoa. Niko na wenyeji wangu.

Asubuhi uji hauna sukari, mchana tumekula michembe. Usiku udaga na dagaa kama saba hivi kwenye bakuli.

Maisha haya magumu sana kijijini. Tuwaombee
Halafu wanakwambia Tanzania uchumi wa kati ,pumbafu ,nchi ambayo wananchi mlo tu ni shida ,uchumi wa nioko .
Hii nchi bado poverty ni janga kubwa na siku jamii ikichoka na kujitambua ndio yatapatikana Mapinduzi ya kimfumo na maendeleo ya kweli na si huu upumbavu wa wachache kunufaika with millions living in miseries & poverty stricken hell
 
Dar es Salaam, Mwanza, Arusha, Morogoro, Mbeya na Dodoma zina sehemu kubwa ya maeneo ambayo ni mjini.
Hivi tukisema mjini tunazungumzia wapi? Maana ukiacha dar es salaam Maeneo mengine ni mji mkubwa sehemu ndogo kisha vijiji vya kutosha vinavyojishughulisha na kilimo,uvuvi na ufugaji.

Sasa kama upo sahihi basi tuseme Tz kuna utapiamlo nchi nzima kasoro dar.
 
Moja ya watu wanao kula vitu natural thing ni wanakijiji

Mim nimekulia kijijin ova 30 year sijawai kula mavyakula vya kwenye friji kila kitu Ni fresh ,maziwa, nyama,unga ,matunda,kila kitu fresh rah sana
 
Uko Kijiji gani kak hao masikini tu na wavivu kulima sio vijiji vya kwetu manda

Manda-Nsungu pana mbufu na mberere na ugali wa muhogo, hua pana dagaa wanaanza mwezi wa saba hadi wa kumi na moja soko lake kubwa hua ni Botswana na zimbabwe, Angola na Congo, hua nikiwa huko nafikia sehemu inaitwa Botswana nilikaa pale kimtindo japo pale manda migahawa wanachelewa kufungua japo ni pazuri sana kule. Upepo safi ziwani napakumbuka kila mwaka hua naenda
 
Unadhani watu wa kijijini wanapika michemsho sababu ya uelewa wao?hawajui kupika,jaribu kuwapikia kimjini mjini kwa material yao hayohayo utaona wanajiramba
Hahaha
 
Moja ya watu wanao kula vitu natural thing ni wanakijiji

Mim nimekulia kijijin ova 30 year sijawai kula mavyakula vya kwenye friji kila kitu Ni fresh ,maziwa, nyama,unga ,matunda,kila kitu fresh rah sana

Tatizo la wakulima waokuweka akiba hawajui ndio maana ikifika mwezi wa 10 hadi mwezi wa nne wanapitia msoto wa njaa maana huuza chakula chote
 
Nilishaonaga hiyo hali vijiji vingi nilivyowahi kufika lakini kilichonishangaza zaidi ni kwamba unakuta familia inakula ivo lakini baba ana ng'ombe zaidi ya 30 na mbuzi zaidi ya 50.

Unakuta ana uwezo wa kuuza ng'ombe wawili tu na kufungua biashara ambayo itaingiza kipato cha kuwahakikishia chakula kizuri kwa familia lakini kwao kuwaambia habari za kuuza ng"ombe hawakuelewi kabisa. Wanakwambia hawa ndo wanalinda familia. Umasikini upo akilini!!!!!!

Nilishuhudia mzee mmoja ameumwa mpaka akafariki lakini aligoma kabisa kuuza ngombe ili ipatikane hela akafanyiwe matibabu hospitali.
Niliendaga kijijini nilipofikia yaani wanafuga kuku 300+,mayai ng'ombe,mbuzi,

Sasa basi hivyo wanavyokula ugali dagaa shombo,Ugali kuanzia asubuhi hadi usiku[emoji23]

Nikawauliza mnafuga hili iweje? Maana hawauzi na hawachinji, na wakasema ng'ombe hawakamui maziwa wanahofia watakonda[emoji23]

Mgeni nikawa napewa tu mayai plus kuku nichinje[emoji16]

Nilivyo na uchu,home nikiwa na hamu nakamata napiga kisu,
 
Nilienda usukumani. Picha linaanza wamechinja mbuzi hawaweki vitunguu swaumu kukata shimbi wala ndimi nkawaambia naombeni nipike mchuzi walibloo wenyewe wakashangaa eti htujui km kitunguu swaumu kinakata shombo, Wana karanga ila kande hawaweki karanga nikawawekea siku hyoo weee walikula balaa, kupika mi ndo nilikabidhiwa jiko,asubuhi chapati za mafutazsiku moja nkapika tambi kulikua na mgonjwa bwana wee waliinjoi mgonjwa alikula mpk akatamani tena.

Inshort mapishi Yako pwani bwanaaa tunajua hasaaa,nilikua napika wali Nazi plus ndondo wanakula hawabakishi hapo mi kwetu ndo sijui kupika sasa, nikawa nasema kimoyo wangekua wanakula vya wadogo zangu Hawa [emoji1][emoji1][emoji1]wangepagawa ila mlenda, mtindi na ugali vilinishinda aseehh.
Pwani ya wapi mbona Zanzibar hawajui kupika mboga.
 
Kuna mkoa siutaji niliendavkikazi huko kwenye kata fulani nikaagiza wali nyama nilishindwa kula,nyama imeungwa kwa mafuta mengi sana,shombo tupu,na ni migahawa yote,niliishia kula wali maharage wiki nzima
Toka lini Nyama ikawa na shombo ?
 
Back
Top Bottom