Pwani ya wapi mbona Zanzibar hawajui kupika mboga.
Kwanza wanawake wa kiislamu asilimia kubwa ni wapishi wazuri hata awe kijijini, lakini pia watu wanaoishi mwambao mwa bahari au ziwa bila kujali itikadi yao hawa wanafahamu mapishi sana, aibu utaipata bara labda kwa watu wachache tu niliwahi kunywa chai kibondo wamechemsha maji tu, wakaweka majani na sukari imeisha hiyo wakati nishazoea chai ina mdalasini, hiriki na tangawizi kwa mbali au wali unakua na harufu safi sana inabidi wanawake wajifunze mapishi ya aina tofautitofauti