Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataishi kwa kuwindanaPenzi limeingia dosari japo jamaa nahisi hatamuacha huyo dada.Maumivu lazima yawepo
Huyo Mwanamke Kama kaweza ficha damu yake mwenyewe kwa muda wa miaka 13, Basi hashindwi hata kumficha Mumewe kwa michepuko yake kwa miaka hata 20!!!Yaani aue au ajiue kisa huyo mwanamke ana Mtoto alizaa miaka 13 iliyopita?? Mtoto ambae hajaambiwa ahudumie wala kuishi nae,
Jamaa yako ana yake sio bure.
Usiri wa namna hiyo una implications nyingi sana, ukiangalia juu juu unaweza kuona poa tu, Ila inatoa tahadhari kubwa mno juu ya aina ya mtu unayeishi nayeTatizo liko wapi sasa,kwani wamesema amchukue mtoto akamsomeshe au? Si wamwache hapo waendelee na maisha Yao....Yeye kumzalisha Binti was watu bila ndoa Wala kutambulika hakukosea au? [emoji34]
Asee utasababisha arudi tena ukweni [emoji23][emoji23]Anachanganyikiwa kwa jambo dogo hivo?
Na siku akisikia mtoto mmoja kati ya wale siyo wake itakuwaje? Si atachizi?
Sasa ameondoka ukweni ndio kampa mkewe kujivinjari vizuri na ma ex wake[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha uongo na uchochezi.Wewe ndio katika watu wenye nia potofu na single motherSikufichi mwanamke akiwa na mtoto then umuoe inaboa kithenge labda jamaa ake awe kafariki yaani kijana utakufa kwa mawazo kwa kweli labda awe mchepuko lakini kuoa!!!
Jiulize jamaa wa kwanza mpaka kampa mimba na demu kaibeba mpaka kajifungua na tambua mwanamke anabeba mimba ya mwanaume anayempenda tu .....swali je huyo jamaa kwa Nina asimuoe ? Na kashamvua chupi mara kibao..
5/5Bravo, Delta 1, got your 6. Balls to the wall. Copy.
Tetea tu wenzioAcha uongo na uchochezi.Wewe ndio katika watu wenye nia potofu na single mother
Nimekuelewa mkuuUsiri wa namna hiyo una implications nyingi sana, ukiangalia juu juu unaweza kuona poa tu, Ila inatoa tahadhari kubwa mno juu ya aina ya mtu unayeishi naye
[emoji23][emoji23] Ngwea unazingua.Delta 1, this is Alpha 1 reporting......
Female terrorist in sight.
Man down I repeat man down
Olympus has fallen..
Request for immadiate back up
Liverpool VPN do you copy?
Sitetei naongea ukweli.Sio kila singles mother ni mbaya,na kuwa single mother sio dhambi.Na Kwa Hilo tukio sioni ubaya aloufanya huyo dada.Mtoa mada alipaswa kusema wanaume ulizeni historical background ya wenzi wenu.Labda bibie hakuulizwa chochote angewezaje kukurupuka eti nna mtoto ili iweje?Tetea tu wenzio
Naomba mbinu za kumfahamu mwanamke aliye zaa hasa kwa miaka, utatazama vitu gani hata kwenye sexKama hakukuta Bikra hapo, sioni tatizo la Mwanamke.
Kama hakuulizwa pia sioni tatizo la Mwanamke.
Kama Mwanaume hakuamua kufuata utaratibu akaamua aishi na mtoto wa mtu kiholela, sio tatizo Kwa mwanamke.
Mwanaume mzima unashindwaje kujua mwanamke aliyejifungua? Kama umeshindwa Kwa kumuangalia tuu haya hata wakati unafanya naye sex ukashindwa kujua?
Mwanaume ndio mwenye shida.
Asimuache!
Mbona uko na hasira ivo? Au ndio wewe uliyepigwa na kitu kizito kichwani?TuliaaKuoa single mother ni ufala!!