Mliokutana mjini nendeni ukweni mkatambulishane

Wap
Unatetea ujinga, kwa nini Mwanamke alificha kua ana Mtoto!!? Kesho akipata Mwanaume mwenye pesa na akampenda,atamficha hadi Mume wake na Watoto! Wanawake mnafanyaga ujinga wenu alafu bado mnataka kuonewa huruma!!!
Wapuuzi
 
Japo bado jukumu lakusema ukweli lilikuwa la mwanamke
 
Duh,si ajabu alivyokuwa anakwendaga kivyake likizo kwao babati huyo mwanamke alikuwa anakwenda kumpelekea mbunye mzazi mwenzake wa mwanzo,ndio maana jamaa anapagawa sana
Inawezekana kbs
 
Daaaaaah! hivi Kuna mahusiano ya miaka9 yatakosa taarifa muhimu Kama hii kweli? Yaani hata Ingetokea hilo swali halikuulizwa(japo ningumu),huyo dada angeshindwa kueleza kitu muhimu Kama hicho?
Na inamaana wakiwa wote yule mwanamke alikuwa anajihesabu anawatoto wawili wale alozaa na jamaa. Mahusiano yangekuwa ya wiki au mwezi tungemtetea huyo mwanamke Ila sio miaka yote hiyo.
 
Hili nalo muende mkalitizame.... πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mbona huyo jamaa ni mpumbavu aisee,,hilo jambo ndo la kukasirisha?
 
Hata Kama ana mtoto mkubwa kwa vile hakumuhusisha tangu mwanzo naye atulie walee watoto wa, hizo hasira ni za hovyo maana tayari wana watoto au baada ya kumuona binti ndio kahisi mzazi mwenzie ni mzee? Waendelee kupendana na kupanga mipango yao ya baadae vizuri tu sioni tatizo hapo ila akae akijua mwenza wake ni msiri sana anaweza kufanya chochote peke yake bila kuhumusisha hasa kwa maendeleo ya binti yake mkubwa

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Mwambie apige chini iyo mama ..chukua watoto is mwingine maisha Ni mafupi maumivu hayana maana.
 
Jamaa yangu mmoja alikutana na binti wakaamua kuishi naye wote wapo Dar bint wa Manzese na wao waliishi Magomeni. Wakienda kusalimia wanaona vitoto vinakuja mama mama mara baba baba jamaa anajua NI watoto wa ndugu na tayari wana mtoto mmoja.

Ikatokea binti kafiwa na mama kakaa msibani baada ya arubani na jamaa alikuwepo kwenye kikao Cha familia kaka mkubwa akasema Sasa mama kafa kila mtu abebe mwanae nyumba tupangishe itusaidie [emoji3][emoji3][emoji3] jamaa anashangaa mwenza anawaambie X na Y kachungukueni nguo zenu tuondoke, jamaa hakuongea kitu wala hakumuiliza hata siku moja ila hawakudumu maana bint ni kama hakujielewa akaanza tabia za ajabu wakatimuana.

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Amekosea kuondoka bila kuonyeshwa kaburi la baba wa huyo mtoto. Huenda hizo likizo anapoendaga kwao jamaa linapasha kiporo kwa mzazi mwenza. Zaidi sina la kushauri. Mambo yao nawaachia wenyewe.

Ewe bachela mwenzangu. KATAA KUOA SINGLE MOTHER, hao ni kwa ajili ya kupiga na kusepa!
 
Kuna mzee alinihimiza sana kama nataka kuoa basi nijitahidi kumfahamu vizuri binti na familia yake kwa ujumla.

Ongea na majirani wawili watatu kuijua familia yao na yeye pia.

Hizi mambo za kuchukuana tu, utakosa wa kumlilia..
 
Alipigwa upofu wa mapenz
Ukizingatia wanawake wa huko manyara ni white basiii jamaa akaona amepatia ngoja amuwahi yeye kumbe wahuni walishapita siku nyingi na kuacha alama

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Alipigwa upofu wa mapenz
Ukizingatia wanawake wa huko manyara ni white basiii jamaa akaona amepatia ngoja amuwahi yeye kumbe wahuni walishapita siku nyingi na kuacha alama

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Kama wanaelewana na Mke ana adabu Mimi nashauri waendelee tuu.

Uongo unasababu nyingi moja wapo ni hiyo ya huyo demu
 
Ni vizuri kujua taratibu za ukweni zikoje kabla hujaoa! Huko babati mbona bi kawaida Binti kabla hajaolewa huzaa kwanza na huyo mtoto anakuwa Mali ya familia yake!! Jamaa kama anampenda huyo single mom basi aendelee nae maana hakuna namna ! Mwanamke kakosea kutokua wazi ila pia mume nae kayumba kutokufanya utafiti na kumjua vizuri mpenzi wake
 
Haya mahusiano ya siku hizi ni shida. Mnapoanza mahusiano kabla hata ya kuanza kula mbususu lazima muulizane maswali muhimu kuhusu background zenu. Je mna watoto, ulishwahi kuoa au kuolewa, asili yenu etc. Hii itapunguza mambo mengi huko mbeleni kama mnataka kwenda next stage. Mmeishi 9 yrs halafu usimuambie mwenzako una mtoto? Na huyo bwana naye hakuwahi kuuliza au? Au mwanamke alimdanganya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…